Kesi ya Mbowe imetufanya kuparaganyika. Lissu amebakia kulalama Twitter, Bavicha wanazurura kwenye vijiwe vya kahawa. Hakuna dira kabisa

Kesi ya Mbowe imetufanya kuparaganyika. Lissu amebakia kulalama Twitter, Bavicha wanazurura kwenye vijiwe vya kahawa. Hakuna dira kabisa

Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.

Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.

Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhiwa wake wanalilia Chakula.
Kesi ya Mbowe imeipayusha zaidi Chadema.
Usijali gari likipata beakdown linatengenezwa na safari inaendelea.
 
Hahaaaa!!!!hongera bi. Mdogo wa mwenyekiti kwa kutoa ushuhuda
Mbowe akilewa konyagi huwa anasema maneno haya "CHADEMA ni mali yangu" si mara moja au mbili amesisitiza hili, sasa si unajua Africa mwenye mali akifa kinatokea nini?
 
Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.

Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.

Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhiwa wake wanalilia Chakula.
Wakiparaganyika sio ndio vzr huko kwenu Lumumba ni furaha, Sasa unalialia nn tena ndugu coward?
 
Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.

Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.

Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhiwa wake wanalilia Chakula.
Unamjua nani anahusika kuwapa chakula mahabusu? Mahabusu hupewa chakula na polisi na endapo atafungwa jukumu linakuwa ni la magereza.
Chama chenu ndicho kilichoitunga kesi sasa mmebaki mnabishana wenyewe kwa wenyewe kuhusu uhalali wa kesi yenu ya mchongo.
 
Ubaya ya kuwa na chama ambacho mwenyekiti ndio one man band. Yaani ndio master minder, mpanga mikakati na hata mhamasishaji.

Kesi imevuruga mipango ya chama chetu kabisa. Uongozi umeyumba kabisa na inaonekana hakuna mikakati kabisa ya kujikwamua. Zimebaki ngonjera tu spacin huko Twita.

Bavicha ndio webaki kuzurura tu huku Mnyika akiwa hana hata mkakati wa kisiasa kujikwamua. Leo hii Mwenyekiti na watuhiwa wake wanalilia Chakula.
Huijui na hutakaa uijue Chadema!
 
dah kweli imetuvunja sana moyo yan hatupo hatupo yaani.
nakaribia kusimama na kuunga mkono juhud
 
Ndo maana kila ikifika wakati wa uchaguzi wa chama utawaskia Bavicha "mwamba tuvushe..."
Chadema ni show ya mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom