mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Kesi ya Mwanaume inasimamiwa na Wanaume lazima ntiti ntiti uwepo( mtiti mtiti).Duh, kumbe Leo ulikuwa ntiti ntiti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi ya Mwanaume inasimamiwa na Wanaume lazima ntiti ntiti uwepo( mtiti mtiti).Duh, kumbe Leo ulikuwa ntiti ntiti
Leo (Nov 8. 2021) umetokea ubishi mahakamani kwamba akina Kibatala wamekataa document ya kumkamata mshitakiwa (seizure).
Hoja ni kwamba sheria kwenyw document hiyo haipo hapo nchini.
Kosa hilo kisheria linaitwa "wrong citation of the law".
Mawakili wa Serikali wamejenga hoja kwamba hili kosa ni dogo, siyo fatal, yaani mahakama inaweza kulifumbia macho.
Kina Kibatala wanasema ni kosa kubwa, yaani hakuna sheria hiyo waliyotumia.
Jaji kaomba siku nzima kuchambua hoja zote.
Je, ni nini kiko sahihihi?
Je, msimamo wa sheria zetu ukoje kwa kosa hili la wrong citation?
Msimamo uko wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilovumilika. Mahakama haina mamlaka na kesi yako kama umefanya kosa la wrong citation.
Msimamo huu Majaji wote Tanzania wameusimamia.
Msimamo huu ni wa Mahakama ya Rufani kwenye kesi zake nyingi. Moja ya kesi hizo ni ile ya "Chama Cha Walimu Tanzania v. The Attorney General, Civil Application No. 151 of 2008, (Unreported) ".
Katika kesi hii Court of Appeal olitamka wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilosameheka.
Hivyo Mahakama Kuu haina uwezo wa kukiuka maagizi ya Mahakama ya Rufani kama Mawakili wa Serikali wanavyojaribu kuishawishi.
Jaji wa kesi ya Mbowe hana mamlaka ya kwenda kinyume na Mahakama ya Rufani.
Jailing.
Jamani nataka kujua kama jaji atakubali kutopokea ushaidi huu what will next.
Mimi ni shuhuda niliwahi kushindwa kesi Kwa makosa Tu ya 80,000/= kuandikwa 8000/= Wakaonekana wajinga ndio ukawa mwisho WA kesi . Hata tusiojua Sheria hao Pimbi hawakujipanga.Mimi mwenyewe nashangaa... pamoja na ungumbalu wangu kwenye sheria najua mara zote ukikosea tu vifungu, hata kesi inatupwa kule. Ngoja tuone; jaji asipokuwa makini, mawakili wa Mbowe watatumia huu uzembe kushinda rufaa mapema kabisa.
Namna nyingine ya kuona kama 'wrong citation of the law is fatal or not', je ingetokea kwa upande wa utetezi, upande wa Jamhuri ungefumba macho?Leo (Nov 8. 2021) umetokea ubishi mahakamani kwamba akina Kibatala wamekataa document ya kumkamata mshitakiwa (seizure).
Hoja ni kwamba sheria kwenyw document hiyo haipo hapo nchini.
Kosa hilo kisheria linaitwa "wrong citation of the law".
Mawakili wa Serikali wamejenga hoja kwamba hili kosa ni dogo, siyo fatal, yaani mahakama inaweza kulifumbia macho.
Kina Kibatala wanasema ni kosa kubwa, yaani hakuna sheria hiyo waliyotumia.
Jaji kaomba siku nzima kuchambua hoja zote.
Je, ni nini kiko sahihihi?
Je, msimamo wa sheria zetu ukoje kwa kosa hili la wrong citation?
Msimamo uko wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilovumilika. Mahakama haina mamlaka na kesi yako kama umefanya kosa la wrong citation.
Msimamo huu Majaji wote Tanzania wameusimamia.
Msimamo huu ni wa Mahakama ya Rufani kwenye kesi zake nyingi. Moja ya kesi hizo ni ile ya "Chama Cha Walimu Tanzania v. The Attorney General, Civil Application No. 151 of 2008, (Unreported) ".
Katika kesi hii Court of Appeal olitamka wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilosameheka.
Hivyo Mahakama Kuu haina uwezo wa kukiuka maagizi ya Mahakama ya Rufani kama Mawakili wa Serikali wanavyojaribu kuishawishi.
Jaji wa kesi ya Mbowe hana mamlaka ya kwenda kinyume na Mahakama ya Rufani.
Jailing.
Hii curable mistakes lipo kisheria ama kaka Kingai yeye anaona sawa.Wana lugha yao na kina Kingai - curable mistakes.
Wrong citation anataka siku nzima ya kutengeneza visingizio.
Hata kesho hata pungukiwa visingizio bila shaka kikiwemo cha Kingai - curable mistake.
Hiiiiii bagosha!
Msome vizuri Dr. swali lakeWashtakiwa wanaweza kumkataa mapema.
Hii curable mistakes lipo kisheria ama kaka Kingai yeye anaona sawa.
Mnisamehe, huyu Jaji ni wa UPE. Kuna kesi zaidi ya maelfu zinasosema hii ommision ni fatla halafu UPE anasema nakwenda kufikiria.Leo (Nov 8. 2021) umetokea ubishi mahakamani kwamba akina Kibatala wamekataa document ya kumkamata mshitakiwa (seizure).
Hoja ni kwamba sheria kwenyw document hiyo haipo hapo nchini.
Kosa hilo kisheria linaitwa "wrong citation of the law".
Mawakili wa Serikali wamejenga hoja kwamba hili kosa ni dogo, siyo fatal, yaani mahakama inaweza kulifumbia macho.
Kina Kibatala wanasema ni kosa kubwa, yaani hakuna sheria hiyo waliyotumia.
Jaji kaomba siku nzima kuchambua hoja zote.
Je, ni nini kiko sahihihi?
Je, msimamo wa sheria zetu ukoje kwa kosa hili la wrong citation?
Msimamo uko wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilovumilika. Mahakama haina mamlaka na kesi yako kama umefanya kosa la wrong citation.
Msimamo huu Majaji wote Tanzania wameusimamia.
Msimamo huu ni wa Mahakama ya Rufani kwenye kesi zake nyingi. Moja ya kesi hizo ni ile ya "Chama Cha Walimu Tanzania v. The Attorney General, Civil Application No. 151 of 2008, (Unreported) ".
Katika kesi hii Court of Appeal olitamka wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilosameheka.
Hivyo Mahakama Kuu haina uwezo wa kukiuka maagizi ya Mahakama ya Rufani kama Mawakili wa Serikali wanavyojaribu kuishawishi.
Jaji wa kesi ya Mbowe hana mamlaka ya kwenda kinyume na Mahakama ya Rufani.
Jailing.
Hasa ile Newton's third law of motionSHERIA za kweli ambazo huwa hazipindishwi dunia nzima ni laws of physics tu
Shukurani na kongole nyingi ziwakie enyi watu mnaojukumika na kazi hii "noble" ya kuweza kuhakikisha mashauri ya kisheria yanazungumzwa kwa uwazi ili haki ipate kutendeka.Leo (Nov 8. 2021) umetokea ubishi mahakamani kwamba akina Kibatala wamekataa document ya kumkamata mshitakiwa (seizure).
Hoja ni kwamba sheria kwenyw document hiyo haipo hapo nchini.
Kosa hilo kisheria linaitwa "wrong citation of the law".
Mawakili wa Serikali wamejenga hoja kwamba hili kosa ni dogo, siyo fatal, yaani mahakama inaweza kulifumbia macho.
Kina Kibatala wanasema ni kosa kubwa, yaani hakuna sheria hiyo waliyotumia.
Jaji kaomba siku nzima kuchambua hoja zote.
Je, ni nini kiko sahihihi?
Je, msimamo wa sheria zetu ukoje kwa kosa hili la wrong citation?
Msimamo uko wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilovumilika. Mahakama haina mamlaka na kesi yako kama umefanya kosa la wrong citation.
Msimamo huu Majaji wote Tanzania wameusimamia.
Msimamo huu ni wa Mahakama ya Rufani kwenye kesi zake nyingi. Moja ya kesi hizo ni ile ya "Chama Cha Walimu Tanzania v. The Attorney General, Civil Application No. 151 of 2008, (Unreported) ".
Katika kesi hii Court of Appeal olitamka wazi kwamba wrong citation ni kosa lisilosameheka.
Hivyo Mahakama Kuu haina uwezo wa kukiuka maagizi ya Mahakama ya Rufani kama Mawakili wa Serikali wanavyojaribu kuishawishi.
Jaji wa kesi ya Mbowe hana mamlaka ya kwenda kinyume na Mahakama ya Rufani.
Jailing.
Kifungu cha uongo cha kisheria au kifungu cha kisheria cha uongoMkuu nisaidie kujua ilikuwaje.
kwenye kesi mwaka kifungo cha sheria ambacho sicho kuhusu kuomba Kuku akiwa Lichi a
unamaana hata hukumu itachongwa? Eehhh Bagosha!!!!! Iiiiiiiii!!!!!Lakini kwa hii kesi ya kuchonga usishangae Jaji akaja na maamuzi ya kukubaliana na mawakili wa serikali halafu akajitoa kuendelea kuisikiliza. Kama yule alie hongwa cheo.