Muialike na family ya John Okelo.Wiki ya Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar!
... huo uungwana wautoe wapi?Muialike na family ya John Okelo.
Wamebaki wanavungavunga tu.Waialike family ya John Okelo!😝😝😝😝... huo uungwana wautoe wapi?
Kwa kweli inasikitisha sana kuona vijana wote wamehamishia akili zao kwenye thread za kina Ndugai na Lukuvi, huku thread inayomuhusu Mbowe kama hii ikiwa imepuuzwa. Ama kweli kila mchuma janga hula na wa kwao. Wengi wameshasahau kabisa kuhusu kesi ya Mbowe.
Wiki ya Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar!
Mimi si mwanachama ila namuombea
Hii kesi iondoke huko mahakama kuu, naona haki itakuwepo mahakama ya rufaa.
Shakmoo ccm, tunahamishwa kwenye tension ya baraza la mawaziri kupoza machungu ya uteuzi wa lizi moja na nauye, akili zinapelekwa kwenye kesi ya mboe tena.
Bwana Liwagu unasomeka vyema hapa:
View attachment 2075349
Kama ilivyo weka utambulisho wako taslimu kwenye uzi huu:
Kila nikijaribu ninashindwa kumsamehe Tundu Lissu
"Mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo katika ubora wako."
Si hata ungepita kimya tu mjomba?
Unadhani kina zandrano, voicer , acha chicago na binamu zao hawajaonavkuwa tuna "rendezvous" LST isipokuwa wewe na lidudumizi peke yenu?
Hiiiiii bagosha!