Kesi ya Mbowe: Kesho kama ada tukutane Mahakamani

Kesi ya Mbowe: Kesho kama ada tukutane Mahakamani

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kwenu makamanda watukuka mnaoyaweka matumaini yetu ya kesho bora kuendelea kuwa hai.

Kwa mara nyingine, pamoja na kutotegemea dodo kwenye mnazi, wale tutakaoweza tukutane mahakamani "Law School of Tanzania," kesho.

Ikumbukwe mheshimiwa Jaji Tiganga ikimpendeza, analo angalizo letu la wazi:
IMG_20220109_204549_555.jpg

Sisi ni nani kutokuendelea kumhimiza mheshimiwa Jaji kujisikia kuwiwa kutenda haki?

"Haki ni kwa mujibu wa sheria na haijifichi inapotendeka."

Miadi yetu waungwana, ni kesho 09:00 pale LST.

Inshallah.
 
Hii kesi iondoke huko mahakama kuu, naona haki itakuwepo mahakama ya rufaa.
 
Kwa kweli inasikitisha sana kuona vijana wote wamehamishia akili zao kwenye thread za kina Ndugai na Lukuvi, huku thread inayomuhusu Mbowe kama hii ikiwa imepuuzwa. Ama kweli kila mchuma janga hula na wa kwao. Wengi wameshasahau kabisa kuhusu kesi ya Mbowe.
 
Kwa kweli inasikitisha sana kuona vijana wote wamehamishia akili zao kwenye thread za kina Ndugai na Lukuvi, huku thread inayomuhusu Mbowe kama hii ikiwa imepuuzwa. Ama kweli kila mchuma janga hula na wa kwao. Wengi wameshasahau kabisa kuhusu kesi ya Mbowe.

Unaonekana kusikitika sana unapoona shujaa wetu anaishi hai mioyoni mwetu.

Unakuja hapa na machozi ya mamba hapa kwamba wamlilia Mbowe? Wewe hapo? Ya kwamba Mbowe kachina janga?

Hiiiiii bagosha!

Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?

Hivi hata misahafu mnaisoma kweli nyie? Mwulize pascal kukupa mrejesho.

Jililieni nyie msiokuwamo "Casino Royale."

Habari ndiyo hiyo.
 
Wiki ya Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar!

Umeyasikia kama ya mzee 6, Supika baada ya Yobo ni mzanzibari.

Kumbuka 6 aliambiwa Supika ni mwanamama. Hiiiiii bagosha!

Dirisha la usajili ndiyo hilo tena. Vipi kumhimiza mwanamakunduchi ngulu Jumbe Brown?

Nani ajuaye?
 
Shakmoo ccm, tunahamishwa kwenye tension ya baraza la mawaziri kupoza machungu ya uteuzi wa lizi moja na nauye, akili zinapelekwa kwenye kesi ya mboe tena.
 
Hii kesi iondoke huko mahakama kuu, naona haki itakuwepo mahakama ya rufaa.

Iondoke mahakama kuu kwenda ya rufaa ikiwa hoja zote za upande wa mashtaka na za majaji (wachumi wa maneno) zikiwa zimetingishwa barabara.

Kusiachwe jiwe juu ya lingine.
 
Shakmoo ccm, tunahamishwa kwenye tension ya baraza la mawaziri kupoza machungu ya uteuzi wa lizi moja na nauye, akili zinapelekwa kwenye kesi ya mboe tena.

Nani anatuhamisha mkuu?

Baraza jipya: Watu wale wale, wao Hawajiajiri?

Tunahamishwa vipi kwenye hoja hizi?

Kama ni kweli tunahamishwa, apongezwe mama Samia kwa uteuzi bora kabisa katika historia.

Kazi iendelee!
 
Bwana Liwagu unasomeka vyema hapa:

View attachment 2075349

Kama ilivyo weka utambulisho wako taslimu kwenye uzi huu:

Kila nikijaribu ninashindwa kumsamehe Tundu Lissu

"Mbwa mwitu kwenye ngozi ya kondoo katika ubora wako."

Si hata ungepita kimya tu mjomba?

Unadhani kina zandrano, voicer , acha chicago na binamu zao hawajaonavkuwa tuna "rendezvous" LST isipokuwa wewe na lidudumizi peke yenu?

Hiiiiii bagosha!

Mimi sio muumini wa ccm, wala msaliti wa maendeleo ya nchi.

Mimi namuamini kiongozi anaeipenda nchiyake na kuonyesha ana hamuya kutuletea maendeleo ya kweli, na sio anae iombea nchi mabaya kama vile kushawishi nchi nyingine zitutenge N.K
 
Back
Top Bottom