Kesi ya Mbowe: Kina Kibatala waikatae diary na simu iliyotunzwa na mahakama, Watajuaje kama imefutwa taarifa walizotaka?

Kesi ya Mbowe: Kina Kibatala waikatae diary na simu iliyotunzwa na mahakama, Watajuaje kama imefutwa taarifa walizotaka?

Kisanduku

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2009
Posts
284
Reaction score
483
Jana kwenye kesi ya Mbowe shahidi wa Jamhuri (polisi) amefumaniwa ameingia na simu na diary kizimbani baada ya akina Kibatala kumgundua. Hiyo ni kinyume na taratibu za kutoa ushahidi na shahidi kuwa kizimbani.

Sasa jaji akaamuru mahakama ikae na hio diary huku jumatatu tukisubiri hoja kwamba zimeathiri nini ushahidi

Ukiona hapa tayari yanakuja mazingira kwamba kama hizo simu na hiyo diary hazijaathiri ushahidi basi hoja y akuingia nzao kizimbani inakufa na hivyo pingamizi la kina Kibatala litatupwa nje.

Hii maana yake kumbe mahakama haijui madhara ya kukatazwa diary na simu zisiingizwe kizimbani. Maadam haijui itabidi ielezwe na akina Kibatala na Mallya na wenzao.

Hii maana yake ni nini?

Hapa maana yake ni kama vile sheria hii imetungiwa akina Kibatala, Mallya na mawakili wa Mbowe. Kwa hiyo akina Kibatala wakishindwa kueleza waliathirika vipi maana yake sheria hiyo ni superfluous haina maana.

Hili ni jambo la kipuuzi mahakama inafanya. Jaji na hata shahidi wameona kwamba ni kosa la kisheria kuingia na diary na simu. Sasa hapo tu palitosha kumaliza jambo lile palepale.

Ukisoma ibara ya 107A(1) ya Katiba ya Tanzania inasema mahakama ndiyo chombo cha juu cha utoaji haki. Hivyo suala la kutafsiri sheria na madhara yake siyo la akina Kibatala bali ni jukumu la jaji wa mahakama.

Kibatala na wenzake hawahitaji kusubiriwa hata kwa dakika moja popote penye jambo la kisheria

Shahidi kakamatwa na vitu visivyotakiwa kizimbani, yaani ready handed halafu tuwasubiri kina Kibatala waeleze walivyoathirika. Huu ni upuuzi mahakama inafanya na sisi Thinkers lazima tupige kelele mahakama ijuia tuna uwezo wa kufikiri.

Jambo la pili ni kwamba kama Mahakama imetoa jukumu la akina Kibatala waeleze diary na ile simu imewaathiri vipi basi jaji alipaswa kuwaita wote waikaugue yote waone kiliandikwa ninina kwenye simu kuna mandishi gani, katumiwa na nani meseji zinasemaje.

Jaji hakufanya hivyo, kinyume chake kaamua diary na simu zitunzwe na mahakama bila akina Kibatala kuzikagua.

Kimsingi hapa Jaji kachemka na kosa hili tunaandika humu JF ili lirudi kwake. Kama mahakama imekaa na hizo diary na simu basi tayari kesi ya suala hilo imeshaharibika maana akina Kibatala hawatajua kama mahakama imefuta au kutofuta yalitoyandikwa mle.

Tukumbuke pia juzi tu kulikuwa na mchezo wa mahakama kuwapatia polisi document fulani bila kufuata utaratibu hadi objection ya akina Kibatala ikashinda.

Hivyo, Jumatatu akina Kibatala wawekw tene objection kwamba jaji hana mamlaka tena ya kuamua kuhusu hiyo diary na simu maana alizitunza bila kuzikagua kama inavyotakiwa kwa item yoyote inayobishaniwa mahakamani
 
Kwani, wakisema bana kwa hizi sarakasi zinazofanyika kila leo, sisi tunaacha kumtetea, fanyeni tu mnavyotaka nyie, inakuwaje?!!kwani kuna kama kitu kilishaandaliwa, hivyo kukikwepa ni ngumu!!
 
Kibatala kapita law school anajua wapi ukatae wapi usikatae, huwaga siyo mabavu au kichwangumu. Dairy is a seriegs of entries huwezi kuzidoctor. What ate you worried about? Poor Mr adamoo will get his day in Court, atasikilizwa. Lakini kwanza wapeni zawadi TIGO kwa uzalendo wao.
 
Mkuu wa Wilaya ya Moshi wa Sasa, aliwahi kuwa Shahidi mahakamani dhidi ya Afisa Ardhi wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa. Akiwa nje ya Mahakama na waendesha mashtaka akakumushwa ushahidi wake alioamini ndo utamwangamiza mshtakiwa mbali ya wanasheria wa TAKUKURU kumshauri mapema kwamba ukamataji ulioufanya bila kushirikisha chombo chochote cha Dola umesababisha uruke baadhi ya sehemu muhimu kukamilisha kosa la kuomba na kupokea rushwa hivyo ni vema uachane na hii kesi.

Akakaidi na kuandika DESA kiganjani akaingia mahakamani. Kila alitakakuongea kitu anajifanya kunyoosha mikono mbele anasoma anaendelea kutoa ushahidi. WAKILI wa Utetezi akamgundua akamwambia Hakimu mmoja mwanamke aliyekuwa anaendesha kesi. Hakimu kumsitahi akamwamuru atoke nje akanawe mikono wakati mvua inanyesha halafu arudi kuendelea na ushahidi. Aliporudi toka nje yote yameyeyuka.
 
Mkuu wa Wilaya ya Moshi wa Sasa, aliwahi kuwa Shahidi mahakamani dhidi ya Afisa Ardhi wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa. Akiwa nje ya Mahakama na waendesha mashtaka akakumushwa ushahidi wake alioamini ndo utamwangamiza mshtakiwa mbali ya wanasheria wa TAKUKURU kumshauri mapema kwamba ukamataji ulioufanya bila kushirikisha chombo chochote cha Dola umesababisha uruke baadhi ya sehemu muhimu kukamilisha kosa la kuomba na kupokea rushwa hivyo ni vema uachane na hii kesi.

Akakaidi na kuandika DESA kiganjani akaingia mahakamani. Kila alitakakuongea kitu anajifanya kunyoosha mikono mbele anasoma anaendelea kutoa ushahidi. WAKILI wa Utetezi akamgundua akamwambia Hakimu mmoja mwanamke aliyekuwa anaendesha kesi. Hakimu kumsitahi akamwamuru atoke nje akanawe mikono wakati mvua inanyesha halafu arudi kuendelea na ushahidi. Aliporudi toka nje yote yameyeyuka.
Naunga hoj mkono japo si mwanasheria ile diary ilipaswa ikaguliwe ndio itunzwe.
 
Kwani , wakisema bana kwa hizi sarakasi zinazofanyika kila leo, sisi tunaacha kumtetea , fanyeni tu mnavyotaka nyie, inakuwaje?!!kwani kuna kama kitu kilishaandaliwa!!!hivyo kukikwepa ni ngumu!!
Hili lifanyije baada ya Mbowe kujitetea/kuandika yale aliyiyakaa kume Polisi ili tujue vipi itakuwa. Najua patakuwa patamu zana hapo.
 
Labda nisaidiwe hapa. Mbowe qtàhaojiwa kwanza na Upande wa serikali au wataanza kina Kibatala?
 
Kukataa wangekataa hapo hapo. Kama simu na note book haviruhusiwi na yeye kaingia navyo hiyo NI hoja tosha kabisa.

Haijalishi imeandikwa Nini au cm Ina Nini ndani. Maandishi ya ishara au simu huweza kutumika kupeana ishara.

Sio lazima message au maongezi. Miss call Inaweza pia kuwa ishara. Au maandishi ya ishara yamefungwa kwenye application flani.

Kosa wajikite NI kuwa navyo Kizimbani tu inatosha na wao kuona na kusibitisha hilo.

Mawakili wa Serikali walikuwa na hukumu la kumpekuwa shaidi kabla ya kwenda Kizimbani ili asiharibu ushaidi Kama hawakufanya hivyo ile kwao
 
Tuliza mzuka, ulimuona anasoma diary na simu yake? Kool doun.
NADHANI TUKIELEWA HAYA INATOSHA SANA, KWAMBA;

1. Shahidi wa Jamhuri, kuonekana au kutoonekana anaandika au kusoma kutoka kwenye diary yake huku akiwa kizimbani akitoa ushahidi wake kwa kiapo, is not an issue here...

2. Shahidi wa Jamhuri, kuonekana au kutoonejana na simu akiitumia kutuma au kupokea simu [voice call] au text messages akiwa kizimbani akitoa ushahidi wake kwa kiapo, is not an issue here...

3. Ishu hapa ni kujibiwa kwa maswali haya mawili muhimu;

## Je, shahidi alikuwa na vitu hivyo kizimbani i.e simu, diary na kalamu akiwa kizimbani...?

JIBU: Yes, alikuwa navyo

## Je, sheria ya ushahidi inaruhusu shahidi apandapo kizimbani kutoa ushahidi chini kiapo kuwa na vitu hivyo...?

KAMA MAJIBU NI;

å YES, SHERIA INARUHUSU, basi maana yake shahidi huyo hana hatia, bado ataendelea kuwa na sifa ya kuwa shahidi na ataendelea kutoa ushahidi wake bila kujali alionekana au hakuonekana na vitu hivyo...

å NO, SHERIA INAKATAZA, basi maana yake shahidi ana makosa na anaweza kufungwa jela na ushahidi wake mpaka hapo auna maana wala thamani na amekosa sifa ya kuitwa shahidi...

## Kwa sababu hii wapo watu wataingia kwenye matatizo ikiwemo mahakama na maafisa wake. Mfano, kama ili kupanda kizimbani shahidi hukaguliwa/hupekuliwa.

Ikawaje hakupekuliwa? Na kama alipekuliwa, tujiulize wote kumetokea nini wasimkute na vitu hivyo mapema na kuzuia visiingie mahakamani kwa hadhi yake.?

JIBU LA MASWALI HAYA NI, possibly mahakama ina conspire na upande wa mashitaka kukandamiza haki za watuhumiwa...!!!!
 
NADHANI TUKIELEWA HAYA INATOSHA SANA, KWAMBA;

1. Shahidi wa Jamhuri, kuonekana au kutoonekana anaandika au kusoma kutoka kwenye diary yake huku akiwa kizimbani akitoa ushahidi wake kwa kiapo, is not an issue here...

2. Shahidi wa Jamhuri, kuonekana au kutoonejana na simu akiitumia kutuma au kupokea simu [voice call] au text messages akiwa kizimbani akitoa ushahidi wake kwa kiapo, is not an issue here...

3. Ishu hapa ni kujibiwa kwa maswali haya mawili muhimu;

## Je, shahidi alikuwa na vitu hivyo kizimbani i.e simu, diary na kalamu akiwa kizimbani...?

JIBU: Yes, alikuwa navyo

## Je, sheria ya ushahidi inaruhusu shahidi apandapo kizimbani kutoa ushahidi chini kiapo kuwa na vitu hivyo...?

KAMA MAJIBU NI;

å YES, SHERIA INARUHUSU, basi maana yake shahidi huyo hana hatia, bado ataendelea kuwa na sifa ya kuwa shahidi na ataendelea kutoa ushahidi wake bila kujali alionekana au hakuonekana na vitu hivyo...

å NO, SHERIA INAKATAZA, basi maana yake shahidi ana makosa na anaweza kufungwa jela na ushahidi wake mpaka hapo auna maana wala thamani na amekosa sifa ya kuitwa shahidi...

## Kwa sababu hii wapo watu wataingia kwenye matatizo ikiwemo mahakama na maafisa wake. Mfano, kama ili kupanda kizimbani shahidi hukaguliwa/hupekuliwa.

Ikawaje hakupekuliwa? Na kama alipekuliwa, tujiulize wote kumetokea nini wasimkute na vitu hivyo mapema na kuzuia visiingie mahakamani kwa hadhi yake.?

JIBU LA MASWALI HAYA NI, possibly mahakama ina conspire na upande wa mashitaka kukandamiza haki za watuhumiwa...!!!!
nimekuelewa sana mkuu; asante
 
Hili ni jambo la kipuuzi mahakama inafanya. Jaji na hata shahidi wameona kwamba ni kosa la kisheria kuingia na diary na simu. Sasa hapo tu palitosha kumaliza jambo lile palepale.
Unaweza kueleza kwanini akina Kibatala wasikomae na hili uliloandika hapa, yaani "kuzuiwa kisheria kuingia na vitu hivyo" badala ya kwenda kuthibitisha "vitu hivyo viliathiri vipi kesi ya Mbowe na wenzake"?
 
Back
Top Bottom