Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Wafanye wamfunge Kisha waende sherekea ushindi na familia zao huku wakigongesha glass
Wakingojea KARMA iwajibu
Wakingojea KARMA iwajibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama ni chombo huru kwa wale wenye uwezo wa kuteua ama kutengua nafasi za majaji, na wala si kwa wale wenye uthubutu kupingana nao ama kuonyesha mapungufu yao.Mahakama ni chombo huru!
Nani alikuwa na jukumu la kuhakikisha inafanyika hivyo? Yaani "Diary ikaguliwe" kabla ya kutunzwa? Hilo siyo jukumu la mahakama, maana mawakili wa utetezi wasingeweza kuhimiza hilo lifanyike.Naunga hoj mkono japo si mwanasheria ile diary ilipaswa ikaguliwe ndio itunzwe.
Unaweza kueleza kwanini akina Kibatala wasikomae na hili uliloandika hapa, yaani "kuzuiwa kisheria kuingia na vitu hivyo" badala ya kwenda kuthibitisha "vitu hivyo viliathiri vipi kesi ya Mbowe na wenzake"?
Yeyote mkuu mwenye ufahamu juu yake.Hili swali unamuuliza na mwenye jibu?
Swali je sheria inataka hilo?Tuliza mzuka, ulimuona anasoma diary na simu yake? Kool doun.