Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Taaluma inaaibikaKwahio atabatilisha kile alichokikubali mwanzoni? Ni ngumu sana, hakujua mbeleni kuna mtego
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taaluma inaaibikaKwahio atabatilisha kile alichokikubali mwanzoni? Ni ngumu sana, hakujua mbeleni kuna mtego
Brother nami unaniweka kwenye hilo kundi?
Kwahio atabatilisha kile alichokikubali mwanzoni? Ni ngumu sana, hakujua mbeleni kuna mtego
Anaweza kubatilisha, hii kesi ni ya kisiasa zaidi kuliko sheria.
Hii kesi ya ajabu mno, haina maisha marefu itafutwa ChiefMkuu kumradhi si unaona wenyewe waliomo wametuliza boli?
Wala usikonde.
Mbowe siyo gaidi na katiba mpya ndiyo habari zenyewe.
Upumbavu juu ya upumbavu, piga nyundo huyo au mwachieni aende zake mtaani.
Msitupotezee muda
Jaji ana maelekezo ya kumfunga Mbowe hivyo hakuna jipyaTegemea hoja nyepesi kujibu hoja nzito.
Kweli tupuHamna kitu pale... kibaraka tu wa serikali
Hii kesi ya ajabu mno, haina maisha marefu itafutwa Chief
Wanaona aibu kufutaHii kesi ya ajabu mno, haina maisha marefu itafutwa Chief
Hawezi kuifuta sababu lengo ni kumfunga Mbowe kwa gharama yoyoteWaifute wasiifute, kama ilivyo kuvimeza au kuvitema vidonge vyao itakuwa ni shauri yao.
Jaji ana maelekezo ya kumfunga Mbowe hivyo hakuna jipya
Utaona maigizo atakayo kuja nayo leoKesi isimalizike hatua ya Ling'wenya. Kuna nyaraka (innumerable) nyingi hapa ikiwamo hii zinazopaswa kuingia mahakamani kama DR ya Jumanne na Msemwa tu ilivyoingia.
Atazuka na sababu za ajabu ili kuofautisha maamuzi ya wali na hiki kidhibiti. Jambo la msingi ni Mawakili wa Utetezi ni kuendelea kuyabaini matundu na mapungufu ya kesi ili iwe rahisi kukata rufaa kama mambo yakienda segemnegeJaji Tiganga amerukaruka weeeh sasa kanasa kwenye ulimbo. Njia ya mwongo ni fupi sana
Nasikia imekataliwa barua inasikitisha sanaUtaona maigizo atakayo kuja nayo leo
Hukumu tayari kilichobaki ni suala la mudaNasikia imekataliwa barua inasikitisha sana
Per diem ya 500000/= kwa siku siyo masihara.Jaji hana aibu yule, atakubali mapingamizi