Kesi ya Mbowe: "Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma" hapo ndipo tulipofika!

Kesi ya Mbowe: "Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma" hapo ndipo tulipofika!

Mbowe atafungwa, lakini mama atamsamehe, tena mapema, ana huruma sana
 
Waswahili wanasema unapoupanda mti wa mchongima miba inakuwa juu hivyo macho yanaona na unaikwepa ILA wakati wa kushuka miiba iko chini na nyayo/miguu haina macho hapo ndio kwenye kasheshe.

Ndipo alipotufikisha nyamwiru.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Nyamwiru=chui jike
 
Waswahili wanasema unapoupanda mti wa mchongima miba inakuwa juu hivyo macho yanaona na unaikwepa ILA wakati wa kushuka miiba iko chini na nyayo/miguu haina macho hapo ndio kwenye kasheshe.

Ndipo alipotufikisha nyamwiru.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Picha_ya_siku%E2%9C%8C%EF%B8%8F%E2%9C%8C%EF%B8%8F%E2%9C%8C%EF%B8%8F%F0%9F%92%AA%F0%9F%92%AA%F0...jpg


Ustaadh Aboubakar akila urojo micheweni
 
Back
Top Bottom