NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Itafutika tu, wazungu hamuwajui kishida kitambana mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walioko gerezani pia walikuwa wanasema hivyo kabla hawajashuhudia mambo mazito, hata sabaya alikuwa anasema hivyoLabda kwa ushahidi unaokuja. Hadi sasa hakuna ushahidi wowote unaomtia Mbowe hatiani!
Hivi akiishia jumla, ushahidi wake utakua treated vipi? Hapo ndiyo sielewi. Maana kama ukichukuliwa bila cross examination kukamilika, kuna mauongo yanakua yamebaki bila kupondwapondwa.Siko upande wako.
Mie namuombea amfuate Jpm
Akamwambie ile kesi ya mchongo imemrestisha.
Wafungwa ni wazima kabisaa , lakini watesaji wanaugua vibaya !Mtu mtakatifu Mzee Mbowe, mwenye kuipenda nchi yake.
Samia na wana Haramu wenzie wanaDHARIRIKA dhariri..
M/Mungu amtangulie M/Kiti [emoji1422]