Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Kuna aliyoa tafsiri tofauti na wewe.Askofu Shoo husema kifutu!
Nonsense Gani🤔Nonsense.
Huyo hamjui Nyamwiru muulize Kinyunyu!Ila Kuna aliyoa tafsiri tofauti na wewe.
Umeandika vizuri sana johnthebaptistWaswahili wanasema unapoupanda mti wa mchongima miba inakuwa juu hivyo macho yanaona na unaikwepa ILA wakati wa kushuka miiba iko chini na nyayo/miguu haina macho hapo ndio kwenye kasheshe.
Ndipo alipotufikisha nyamwiru.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kinyunyu popote ulipo fanyakama unajikuna unatafutwa huku.Huyo hamjui Nyamwiru muulize Kinyunyu!
Hadi hapo wamechafuka sana. Wanawasumbua mashahidi wa kutengenezwa hadi wengine wameona isiwe shida, endeleeni na likesi lenu.Kuishinda hawawezi, kuifuta mtihani.
Badala ya kumchafua Mbowe wanajichafua wao.
Kama alivyopata Yuda Iskarioti baada ya kusaliti!Hadi hapo wamechafuka sana. Wanawasumbua mashahidi wa kutengenezwa hadi wengine wameona isiwe shida, endeleeni na likesi lenu.
Swila amepata shida sana kwenye nafsi yake....
Swila (nyamwilu ni nyoka ambaye kwa kiswahili anaitwa swila).Ila tisaidie kumjua nyamwiru.
Kwamba atafungwa kwa sababu ni gaidi? Lakini baadaye mama atamsamehe kwa sababu ana huruma sana?Mbowe atafungwa, lakini mama atamsamehe, tena mapema, ana huruma sana
huruma gani mnafiki tu yule hadi bbc. ila vyovyote vile itakavyokuwa uzuri watanzania walishajua serikali ya ccm ni dhalimu na mbowe siyo gaidiMbowe atafungwa, lakini mama atamsamehe, tena mapema, ana huruma sana
Lakini wengi wao waliambiwa mara kadhaa kuwa ukweli utawaweka huru, hata walipewa maandiko kuwa kumbusha na kuwaonya. Wengine walishupaza shingo, huku moyoni wakiwa na maumivu kwani walisutwa na dhamira zao.Kama alivyopata Yuda Iskarioti baada ya kusaliti!
Siko upande wako.Umeandika vizuri sana johnthebaptist
Shahidi muhimu kaifikisha kesi njiapanda. Tumuombee kupona haraka aje aimalizie sehemu yake ya ushahidi ili kesi iendelee.
Acha ikae hivyoWaswahili wanasema unapoupanda mti wa mchongoma miba inakuwa juu hivyo macho yanaona na unaikwepa ILA wakati wa kushuka miiba iko chini na nyayo/miguu haina macho hapo ndio kwenye kasheshe.
Ndipo alipotufikisha nyamwiru !
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hivi nyie wana CCM mnamjua Mungu kweli? Bahati nzuri hata Shetani hujiita Mungu,kwa hiyo nyie mungu wenu ni huyu[emoji117][emoji49] na huyu na hawa ndo malaika wenu[emoji117][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]Waswahili wanasema unapoupanda mti wa mchongoma miba inakuwa juu hivyo macho yanaona na unaikwepa ILA wakati wa kushuka miiba iko chini na nyayo/miguu haina macho hapo ndio kwenye kasheshe.
Ndipo alipotufikisha nyamwiru !
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kumbeee….Nyamwiru=chui jike
Mtu mtakatifu Mzee Mbowe, mwenye kuipenda nchi yake.
Ana harisha wiki nzima hii, kama mtoto wa praimari anapotaka kukwepa adhabu!Umeandika vizuri sana johnthebaptist
Shahidi muhimu kaifikisha kesi njiapanda. Tumuombee kupona haraka aje aimalizie sehemu yake ya ushahidi ili kesi iendelee.
Tena mnafiki sana huyu bibi, angekuwa walau na chembe ya utu hii kesi ingeshafutwa.huruma gani mnafiki tu yule hadi bbc. ila vyovyote vile itakavyokuwa uzuri watanzania walishajua serikali ya ccm ni dhalimu na mbowe siyo gaidi