Kesi ya Mbowe: "Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma" hapo ndipo tulipofika!

Kesi ya Mbowe: "Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma" hapo ndipo tulipofika!

Waswahili wanasema unapoupanda mti wa mchongima miba inakuwa juu hivyo macho yanaona na unaikwepa ILA wakati wa kushuka miiba iko chini na nyayo/miguu haina macho hapo ndio kwenye kasheshe.

Ndipo alipotufikisha nyamwiru.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Umeandika vizuri sana johnthebaptist

Shahidi muhimu kaifikisha kesi njiapanda. Tumuombee kupona haraka aje aimalizie sehemu yake ya ushahidi ili kesi iendelee.
 
Kuishinda hawawezi, kuifuta mtihani.
Badala ya kumchafua Mbowe wanajichafua wao.
Hadi hapo wamechafuka sana. Wanawasumbua mashahidi wa kutengenezwa hadi wengine wameona isiwe shida, endeleeni na likesi lenu.

Swila amepata shida sana kwenye nafsi yake....
 
Kama alivyopata Yuda Iskarioti baada ya kusaliti!
Lakini wengi wao waliambiwa mara kadhaa kuwa ukweli utawaweka huru, hata walipewa maandiko kuwa kumbusha na kuwaonya. Wengine walishupaza shingo, huku moyoni wakiwa na maumivu kwani walisutwa na dhamira zao.
 
Waswahili wanasema unapoupanda mti wa mchongoma miba inakuwa juu hivyo macho yanaona na unaikwepa ILA wakati wa kushuka miiba iko chini na nyayo/miguu haina macho hapo ndio kwenye kasheshe.

Ndipo alipotufikisha nyamwiru !

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Acha ikae hivyo
 
Hapa tunapata kujua uwezo wa kiakili wa polishi wetu!!
Mpelelezi mkongwe hajui chochote huku anajidai kasoma hadi nje ya nchi!
Anaulizwa vitu vyakazi yake anaomba afafanuliwe kilakitu!!
Mwishowe anasingizia kuugua kashindwa eti kuendelea naushahidi!!
Sasa watamfundisha vipi maana ishu nikwamba uwezo wa akili no mdogo
 
Waswahili wanasema unapoupanda mti wa mchongoma miba inakuwa juu hivyo macho yanaona na unaikwepa ILA wakati wa kushuka miiba iko chini na nyayo/miguu haina macho hapo ndio kwenye kasheshe.

Ndipo alipotufikisha nyamwiru !

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hivi nyie wana CCM mnamjua Mungu kweli? Bahati nzuri hata Shetani hujiita Mungu,kwa hiyo nyie mungu wenu ni huyu[emoji117][emoji49] na huyu na hawa ndo malaika wenu[emoji117][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205][emoji205]
Majitu katili, wauaji wakubwa nyie.
 
Back
Top Bottom