Kesi ndogo ya Mohammed Ling'wenya iwe nafasi ya kuzianika mbivu na mbichi zote hadharani.
Iliyodhaniwa nia njema (ya kusaka haki tu) kuwapo japo kidogo, imeshadhihirika kuwa haipo. Si jaji si mashtaka haonekani anayewaelewa.
Kwa maana hiyo hapa sasa inabidi kieleweke. Kumwangalia nyani usoni hakupo tena.
Beberu anasema "do or die."
Kama mashtaka wanavyotumia muda kama wanavyotaka wao, hakuna haja ya haraka. Kila hoja ni lazima kuzingatiwa:
1. Kila ushahidi unaoweza kupatikana ni lazima uwasilishwe.
2. Kila anayetajwa na apandishwe kizimbani kuisaidia mahakama kutenda haki.
3. Vyote vyenye kusaidia kuthibitisha lolote e.g CCTV na rekodi tokea makampuni ya simu ziletwe mahakamani.
Mohammed Ling'wenya ni mwana halisi wa nchi hii mwenye kustahili haki zake zote.
Mnyonge mnyongeni lakini haki zake mpeni.
-------
Kesi ya Mbowe: Madai Mahakamani yathibitishwe Kisayansi
Iliyodhaniwa nia njema (ya kusaka haki tu) kuwapo japo kidogo, imeshadhihirika kuwa haipo. Si jaji si mashtaka haonekani anayewaelewa.
Kwa maana hiyo hapa sasa inabidi kieleweke. Kumwangalia nyani usoni hakupo tena.
Beberu anasema "do or die."
Kama mashtaka wanavyotumia muda kama wanavyotaka wao, hakuna haja ya haraka. Kila hoja ni lazima kuzingatiwa:
1. Kila ushahidi unaoweza kupatikana ni lazima uwasilishwe.
2. Kila anayetajwa na apandishwe kizimbani kuisaidia mahakama kutenda haki.
3. Vyote vyenye kusaidia kuthibitisha lolote e.g CCTV na rekodi tokea makampuni ya simu ziletwe mahakamani.
Mohammed Ling'wenya ni mwana halisi wa nchi hii mwenye kustahili haki zake zote.
Mnyonge mnyongeni lakini haki zake mpeni.
-------
Kesi ya Mbowe: Madai Mahakamani yathibitishwe Kisayansi