Ndo maana kuna magereza, Sabaya hakuwahi kiwaza iko siku atakuwa anaugua vidonda vya tumbo akiwa nyuma ya nondo, leo anaweza kulia familia ya mbowe na wana chedema kesho ukalia wewe. Dunia inazunguka aliyeona mchana wa leo kuna posibility kubwa ya kuuona usiku wa leo pia.Kujaa mahakamani hakutomsaidia Mbowe kushinda kesi yake ,waacheni wanasheria wamsaidie nao baada ya kumsaidia wanafanya maigizo na mikogo siku inatoka hukumu vilio vitatawala mahakamani ,ukiwa na kesi mahakamani jua kuna mstari mdogo sana unakutenganisha ww ,jela na uraiani .
Kujaa mahakamani hakutomsaidia Mbowe kushinda kesi yake ,waacheni wanasheria wamsaidie nao baada ya kumsaidia wanafanya maigizo na mikogo siku inatoka hukumu vilio vitatawala mahakamani ,ukiwa na kesi mahakamani jua kuna mstari mdogo sana unakutenganisha ww ,jela na uraiani .
Ndo maana kuna magereza, Sabaya hakuwahi kiwaza iko siku atakuwa anaugua vidonda vya tumbo akiwa nyuma ya nondo, leo anaweza kulia familia ya mbowe na wana chedema kesho ukalia wewe. Dunia inazunguka aliyeona mchana wa leo kuna posibility kubwa ya kuuona usiku wa leo pia.
Ni suala la kujipa hekima tu,
Wewe unaogopa jela?Kujaa mahakamani hakutomsaidia Mbowe kushinda kesi yake ,waacheni wanasheria wamsaidie nao baada ya kumsaidia wanafanya maigizo na mikogo siku inatoka hukumu vilio vitatawala mahakamani ,ukiwa na kesi mahakamani jua kuna mstari mdogo sana unakutenganisha ww ,jela na uraiani .
Binadamu tunajisahau sana!Ndo maana kuna magereza, Sabaya hakuwahi kiwaza iko siku atakuwa anaugua vidonda vya tumbo akiwa nyuma ya nondo, leo anaweza kulia familia ya mbowe na wana chedema kesho ukalia wewe. Dunia inazunguka aliyeona mchana wa leo kuna posibility kubwa ya kuuona usiku wa leo pia.
Ni suala la kujipa hekima tu,
Binadamu tunajisahau sana!
Mimi sijaelewa ila ninachosikia ni maneno tu yanayotamkwa pasipo mpangilio ya "ana kosa gani", " "katibu wetu..." nk nk...Kesi ya Mbowe imekuja na mengi.
Mahakamani kulikofikiriwa kuwa ndiko kimbilio, hilo haipo tena:
View attachment 2000911
Tulianza kuzuiliwa kwenda mahakamani kunakopaswa kuwa mahala pa wazi.
Ikaja kuzuiliwa kuingia mahakamani. Kuzuiliwa kuingia na simu. Sasa kuna kufungiana mahakamani.
Yote hayo kinyume cha sheria.
Kinara wa kuingilia mhimili huu ni kama anavyoonekana. Huyu bwana ambaye leo anaaminiwa kwa kila shitaka lake mahakamani
Haki zipi ziendelee litegemewe kutokea mahakamani?
Mimi sijaelewa ila ninachosikia ni maneno tu yanayotamkwa pasipo mpangilio ya "ana kosa gani", " "katibu wetu..." nk nk...
Ungetusaidia sana ambao hatukuwepo kwa kufanya narration ya tukia zima mwanzo mwisho lilianzaje, likaeendeleaje na ikawaje na mwisho ukawa nini...
Lakini video clip haitoi picha kamili kwa mtu ambaye hakuwepo kwenye tukio..
Hoja yako ya wanasiasa kujisahau ni thread bora kwa siku ya Leo.Binadamu tunajisahau sana!
YES, umeeleweka. Na nimeelewa vyema..Nchi ngumu sana hii mjomba.
Mtu kukusanyia yote unayoonekana kuyahitaji mbona ni zaidi ya kumtaka kujaribu kumkamata Simba mkia?
Hata hivyo in a nutshell iko hivi:
Baada ya mahakama kuahirishwa, mamwela wakawahi na kufunga mlango wa kutoka kwenye chumba cha mahakama, ili watu wasitoke kwenda kumuaga Freeman Mbowe.
Baada ya kina Mbowe kuondoka ndipo makuda wakarejea kuja kuufungua mlango. Makabiliano ndipo yalipojiri.
Unayosikia ni kuwa askari Magereza anamueleza John Mnyika, "tutakubeba."
Mnyika naye anajibu, “siogopi kubebwa, nibebe hata sasa kama unadhani naogopa”
Hadi hapo nadhani panakupa picha kamili ya mazingira mazima tuliyomo.
Mahakama imekuwa tawi kuu la CCM
Kwani kufuatilia kesi hii ni kosa??? Je watu wakijaa Mahakamani wataizuia ishindwe kuyatekeleza shughuli zake kisheria??Kujaa mahakamani hakutomsaidia Mbowe kushinda kesi yake ,waacheni wanasheria wamsaidie nao baada ya kumsaidia wanafanya maigizo na mikogo siku inatoka hukumu vilio vitatawala mahakamani ,ukiwa na kesi mahakamani jua kuna mstari mdogo sana unakutenganisha ww ,jela na uraiani .
Kesi ya Mbowe imekuja na mengi.
Mahakamani kulikofikiriwa kuwa ndiko kimbilio, hilo haipo tena:
View attachment 2000911
Tulianza kuzuiliwa kwenda mahakamani kunakopaswa kuwa mahala pa wazi.
Ikaja kuzuiliwa kuingia mahakamani. Kuzuiliwa kuingia na simu. Sasa kuna kufungiana mahakamani.
Yote hayo kinyume cha sheria.
Kinara wa kuingilia mhimili huu ni kama anavyoonekana. Huyu bwana ambaye leo anaaminiwa kwa kila shitaka lake mahakamani
Haki zipi ziendelee litegemewe kutokea mahakamani?
Tulioko nje tunapata wakati mgumu sana kutangaza Tanzania kwasababu ya kesi za kijinga jinga hivi. Kila mtu anaona huu ujinga ambao kwa nchi hata zambia tu! Umepitwa na wakati. Siku hizi nchi zina ringia maendeleo na demokrasia sio mambo ambayo hayamnufaishi mtu yeyote.
Nchi ngumu sana hii mjomba.
Mtu kukusanyia yote unayoonekana kuyahitaji mbona ni zaidi ya kumtaka kujaribu kumkamata Simba mkia?
Hata hivyo in a nutshell iko hivi:
Baada ya mahakama kuahirishwa, mamwela wakawahi na kufunga mlango wa kutoka kwenye chumba cha mahakama, ili watu wasitoke kwenda kumuaga Freeman Mbowe.
Baada ya kina Mbowe kuondoka ndipo makuda wakarejea kuja kuufungua mlango. Makabiliano ndipo yalipojiri.
Unayosikia ni kuwa askari Magereza anamueleza John Mnyika, "tutakubeba."
Mnyika naye anajibu, “siogopi kubebwa, nibebe hata sasa kama unadhani naogopa”
Hadi hapo nadhani panakupa picha kamili ya mazingira mazima tuliyomo.
Kwani kufuatilia kesi hii ni kosa??? Je watu wakijaa Mahakamani wataizuia ishindwe kuyekeleza shughuli zake kisheria??
Kwanini mnapenda mambo ya gizani???