Kesi ya Mbowe: Mahakamani kunapozidi Kumong'onyoka

Kesi ya Mbowe: Mahakamani kunapozidi Kumong'onyoka

Naona safari yetu inazidi kuwa ndefu kila kunapokucha, wameshindwa hoja, wameshindwa kutafsiri sheria, sasa wameamua kuwa wababe, nani wakuwazuia na huu ubabe wao?

Wao wana marungu, magereza, maji ya kuwasha, mabomu ya machozi, majaji, mahakama, kufungiwa mahakamani kama kuku, na ikibidi risasi za moto kama walivyomfanyia Mbowe pale Kinondoni Mkwajuni, ila Mungu akamnusuru.

Nikiangalia hii hali kwa undani, kumbe sisi ni mateka; tunatawaliwa na serikali ya CCM, hatuna pa kukimbilia, hatuna marungu, mabomu ya machozi, majaji, na mahakama zetu kama wao, tumaini letu limebaki wapi? au tuendelee kuishi kwa matumaini tukiamini iko siku?

Naona wameshatuzoea hatuna chakuwafanya zaidi ya kulalamika mitandaoni, ndio maana wanazidi kukandamiza haki za wengine kwa makusudi ili waendelee kujinufaisha kwa maslahi yao, tunaitwa taifa la kidemokrasia ya vyama vingi bila ya uhalisia wowote, kwani wao hawataki kushindwa.
 
Kujaa mahakamani hakutomsaidia Mbowe kushinda kesi yake ,waacheni wanasheria wamsaidie nao baada ya kumsaidia wanafanya maigizo na mikogo siku inatoka hukumu vilio vitatawala mahakamani ,ukiwa na kesi mahakamani jua kuna mstari mdogo sana unakutenganisha ww ,jela na uraiani .
Pole sana, "Haki sio tuu ni lazima itendeke, bali pia ionekane inatendeka".
 
Naona safari yetu inazidi kuwa ndefu kila kunapokucha, wameshindwa hoja, wameshindwa kutafsiri sheria, sasa wameamua kuwa wababe, nani wakuwazuia na huu ubabe wao?

Wao wana marungu, magereza, maji ya kuwasha, mabomu ya machozi, majaji, mahakama, kufungiwa mahakamani kama kuku, na ikibidi risasi za moto kama walivyomfanyia Mbowe pale Kinondoni Mkwajuni, ila Mungu akamnusuru.

Nikiangalia hii hali kwa undani, kumbe sisi ni mateka; tunatawaliwa na serikali ya CCM, hatuna pa kukimbilia, hatuna marungu, mabomu ya machozi, majaji, na mahakama zetu kama wao, tumaini letu limebaki wapi? au tuendelee kuishi kwa matumaini tukiamini iko siku?

Naona wameshatuzoea hatuna chakuwafanya zaidi ya kulalamika mitandaoni, ndio maana wanazidi kukandamiza haki za wengine kwa makusudi ili waendelee kujinufaisha kwa maslahi yao, tunaitwa taifa la kidemokrasia ya vyama vingi bila ya uhalisia wowote, kwani wao hawataki kushindwa.

Mkuu hakipo kisichojulikana:

Tuutambue mzizi wa machungu yetu nchini

Hali kadhalika tufanye je? Yapo masomo ya kutosha pia:

Katiba Mpya: Kulikoni Makamanda na ndugu Wananchi Kusita Sita?

Machinga wanapotoa Somo, Makamanda tunakwama Wapi?
 
Inasikitisha na kuudhi sana ukiona huu udhalimu unaozidi kukithiri nchini.

1636216729213.png


Kesi ya Mbowe imekuja na mengi.

Mahakamani kulikofikiriwa kuwa ndiko kimbilio, hilo haipo tena:

View attachment 2000911

Tulianza kuzuiliwa kwenda mahakamani kunakopaswa kuwa mahala pa wazi.

Ikaja kuzuiliwa kuingia mahakamani. Kuzuiliwa kuingia na simu. Sasa kuna kufungiana mahakamani.

Yote hayo kinyume cha sheria.

Kinara wa kuingilia mhimili huu ni kama anavyoonekana. Huyu bwana ambaye leo anaaminiwa kwa kila shitaka lake mahakamani

Haki zipi ziendelee kutegemewa kutokea mahakamani?
 
Kujaa mahakamani hakutomsaidia Mbowe kushinda kesi yake ,waacheni wanasheria wamsaidie nao baada ya kumsaidia wanafanya maigizo na mikogo siku inatoka hukumu vilio vitatawala mahakamani ,ukiwa na kesi mahakamani jua kuna mstari mdogo sana unakutenganisha ww ,jela na uraiani .
Tunapoelekea itazuiliwa kuingia wala kuripoti kinachoendelea mahakamani, hakuna mtu anaependa kuaibika.
 
Kesi ya Mbowe imekuja na mengi.

Mahakamani kulikofikiriwa kuwa ndiko kimbilio, hilo haipo tena:

View attachment 2000911

Tulianza kuzuiliwa kwenda mahakamani kunakopaswa kuwa mahala pa wazi.

Ikaja kuzuiliwa kuingia mahakamani. Kuzuiliwa kuingia na simu. Sasa kuna kufungiana mahakamani.

Yote hayo kinyume cha sheria.

Kinara wa kuingilia mhimili huu ni kama anavyoonekana. Huyu bwana ambaye leo anaaminiwa kwa kila shitaka lake mahakamani

Haki zipi ziendelee kutegemewa kutokea mahakamani?
Hivi hamna kazi ya kufanya nyie CHADEMA
 
Inasikitisha na kuudhi sana ukiona huu udhalimu unaozidi kukithiri nchini.

View attachment 2001123

Zanzibar behind the scene yaonesha wameelewana kutucheza shere na kukishikilia kijiti kwa kadri itakavyowezekana.

IMG_20211106_200104_587.jpg


Jussa ni kama unavyomwona hapo. Huyo alivunjwa bega.

Usishangae hapa wadanganyika tutaijenga Zanzibar sasa hadi tutoke vibiongo. Chatto sasa ni Zanzibar. Kazi na iendelee.

Usishangae hapa kuna kijiti kinapigiwa mahesabu si kabla ya 2040.

Usishangae hata Seif angekuwapo na rais wa JMT mzanzibari hali ingekuwa hivi hivi.

Kwao wanaongea maridhiano kwetu je?
 
Kesi ya Mbowe imekuja na mengi.

Mahakamani kulikofikiriwa kuwa ndiko kimbilio, hilo haipo tena:

View attachment 2000911

Tulianza kuzuiliwa kwenda mahakamani kunakopaswa kuwa mahala pa wazi.

Ikaja kuzuiliwa kuingia mahakamani. Kuzuiliwa kuingia na simu. Sasa kuna kufungiana mahakamani.

Yote hayo kinyume cha sheria.

Kinara wa kuingilia mhimili huu ni kama anavyoonekana. Huyu bwana ambaye leo anaaminiwa kwa kila shitaka lake mahakamani.

Haki zipi ziendelee kutegemewa kutokea mahakamani?
Halafu eti tuna mtu kakaa hapo anajiita CJ, Rubbish!
 
Hata chief Hangaya, Majaliwa na Mh. Mpango hawadhani hala hala zinaweza kuwahusu.

Nani aijuaye kesho? Kwanini kama binadamu tusitendeane haki na usawa tu?
Nitakapokuwa rais mwaka 2035 kolikoli nao mahakamani.
 
Back
Top Bottom