Hiii ngoma wasipo kaa vizuri SSH atasimama kizimbani bila kujali cheo chake binadam wote ni sawa Mbele ya SHERIA na ndo itakua kipimo kamili Cha kupima mahakama zetu, ACHA walete mchezo ,mawakili upande wa utetezi Wana calculation za mbali Sana ,sio watu wa mchezo ,wanapenda kazi yao na wanaifaham ,twende tu, naota tu hii kesi inaweza KWENDA funja record tz na kuacha aibu kubwa
Jaji kakubali kunaswa kwenye mtego wa utetezi. Alifanya maamuzi bila kufikiria mbele mambo yanaweza geuka. Katika hilo pingamizi la wakili wa serikali, jaji ana mtihani mzito.Mdogo mdogo Mungu mkubwa. Barua hii iingizwe mahakamani kwa namna ile ile DR isiyojulikana ilivyoingizwa mahakamani.
Mwanzo wa ngoma si walisema kuwa lele?
Hawa wameshapigwa upofu tayari.Barua hii kumhusu Komando Ling'wenya itakuwa imeutafsiri uwanja mzima rasmi kabisa kwa jinsi ulivyo.
Hakuna kisichofahamika tena. Hii ni vita kamili.
Vita vya haki dhidi ya dhuluma. Vita vya wanaoyathamini maisha ya akina Luteni Urio, Moses Lijenje na wenzao, dhidi ya wabinafsi waliopitiliza.
"Vita ni vita Mura!"
Tumesikia "mahakamani si kwa mama zetu." Bila shaka "mahakamani ni kwa mama zao." Wao kumbe pia ni mawakili wa mahakama.
Zimeombwa tu, Movement Order (MO), Station Diary (SD) na Occurrence Book (OB) kwa ajili ya kumkagua D/C Msemwa. kimeumana! Hakuna kuwaachia hawa.
"Waombeni pia na ma CCTV recordings njia yote RAU - Moshi - Arusha - Dar - Mbweni. Pia data kama hizo tokea makampuni ya simu."
Ipelekwe miito ya kuwaita wote na vyote vinavyoweza kusaidia kuthibitisha lolote. Asiachwe mtu au kitu tafadhali.
Iwe ni Hangaya, Sirro, Urio, Ahadi, Chungulu, Sabaya, Lijenje, nk. Tuonane Kizimbani. Vigezo na masharti yakizingatiwa.
Wanahofia nini nyendo za D/C Msemwa kuhakikiwa?
Si kwa sababu kuwa: "the guilty are always afraid?"
--------
Kesi ya Mbowe: Kwa minajili ya haki Mbivu na Mbichi zote zianikwe
Jaji kakubali kunaswa kwenye mtego wa utetezi. Alifanya maamuzi bila kufikiria mbele mambo yanaweza geuka. Katika hilo pingamizi la wakili wa serikali, jaji ana mtihani mzito.
Ntakuunga mkono kwa hilo.Kabisa. Silaha zote zitumike. Kwa upande wangu kuanzia kesho naanzisha mashambulizi rasmi ya kiroho kwa Gurugushan wao. Kama Mungu aishivyo Gurushani ataaibika kwa niaba ya wenzake na wenzake wote wataaibika.
Hawa wameshapigwa upofu tayari.
Mungu yupo kazini.
Makoye gete ng'wanang'wiseBarua hii inamwomba RPC Ilala kuwasilisha mahakamani:
"Mazaga zaga kadhaa zikiwamo kumbukumbu za Movement Order (MO), Station Diaries (SD) na Occurrence Books (OB) kwa ajili ya kuhakiki nyendo za D/C Msemwa."
Barua hii ikipita, RPC Ilala "atake asitake" itabidi tumpe mitano mingine 😁😁.
Hiiiiii bagosha!
Ni kweli kabisa hii kesi whatever the outcome will be kitu kimoja ni dhahiri imefumua mambo mengi sanaa ya utendaji wa jeshi letu la polisi... Haya mambo yaliyoibuliwa kwenye hii kesi huko mbele yatakuwa ni basis ya kutosha kabisa ya kufanya major reforms kwenye mfumo wetu wa haki na sheria, ikiwemo jeshi la polisi.Ndiyo maana nilipingana sana na waliotaka hii kesi ifutwe, wacha madhalim waumbuke na upumbavu wao. Wacha upepo uvume tuzione nyeti za kuku.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mkuu ni leo tuu waziri Simba chawene amenukuliwa akisema kwamba ikitokea mtu akafungwa kimakosa gerezani hawezi kudai fidia yoyote kwa sababu hakuna sheria hiyo!! Can you imagine uhukumiwe jela maisha au miaka 30 halafu after 20 years in prison wagundue kwamba hukumu ilikuwa ya kimakosa hufidiwi chochote daaah. Sasa cha kujiuliza ni kwamba OK hiyo sheria haipo swali ni tokea lini hiyo sheria haipo? Kama haipo wao hawaoni ni muhimu kuwa na hiyo sheria na hivyo ipelekwe tena kwa hati ya dharura?? Kama waziri unaona ufahari gani kutangazia umma kwamba hatuna sheria kama hiyo??Naomba kujua endapo Jamuhuri ikishidwa kuthibitisha ugaidi wa kina Mbowe ,mbali kuaachiwa huru na mahakama, kina Mbowe wanaweza kudai damage?
Duuh!Barua hii inamwomba RPC Ilala kuwasilisha mahakamani:
"Mazaga zaga kadhaa zikiwamo kumbukumbu za Movement Order (MO), Station Diaries (SD) na Occurrence Books (OB) kwa ajili ya kuhakiki nyendo za D/C Msemwa."
Barua hii ikipita, RPC Ilala "atake asitake" itabidi tumpe mitano mingine 😁😁.
Hiiiiii bagosha!
Aiseeee kama yule Matata daaah jamaa anapangua hoja ni hatari..Hiii ngoma wasipo kaa vizuri SSH atasimama kizimbani bila kujali cheo chake binadam wote ni sawa Mbele ya SHERIA na ndo itakua kipimo kamili Cha kupima mahakama zetu, ACHA walete mchezo ,mawakili upande wa utetezi Wana calculation za mbali Sana ,sio watu wa mchezo ,wanapenda kazi yao na wanaifaham ,twende tu, naota tu hii kesi inaweza KWENDA funja record tz na kuacha aibu kubwa
Kama tumeambiwa wali temper na ile DR majuzi kwamba pages zimeungwa ungwa watashindwaje kufanya the same kwa hizi documents anazo hitaji Lingwenya? Am just curious...Jaji kakubali kunaswa kwenye mtego wa utetezi. Alifanya maamuzi bila kufikiria mbele mambo yanaweza geuka. Katika hilo pingamizi la wakili wa serikali, jaji ana mtihani mzito.
Hapo mtego,asipoipokea hiyo barua utasikia washitakiwa hawana imani naye.mfumo wa barua aliyopokea mwanzo imewapa nguvu uteteziJaji kakubali kunaswa kwenye mtego wa utetezi. Alifanya maamuzi bila kufikiria mbele mambo yanaweza geuka. Katika hilo pingamizi la wakili wa serikali, jaji ana mtihani mzito.
Kama tumeambiwa wali temper na ile DR majuzi kwamba pages zimeungwa ungwa watashindwaje kufanya the same kwa hizi documents anazo hitaji Lingwenya? Am just curious...
CCM inawaona watanzania wote ni mafala..hawajui lolote juu ya haki na sheria za nchi. .ogopa sana mtu anayebakia kimya...
Maamuzi ya kesi ndiyo itaamua hatma ya Tanzania mpya..
Kesi inawagusa watanzania wengi hata wasio wanachama wa chama chochote, wao ccm wanafikiri wanaikoma CDM..mlio karibu nao wapeni ushauri mapema.
Kumfunga mtu maisha ama kumnyonga bila hatia hilo halitawezekana milele..Yesu ama Mtume Mohamad atatukuta vitani...enough is enough.
Its only justice will save this nation kwa kesi hii.
Mkuu ni leo tuu waziri Simba chawene amenukuliwa akisema kwamba ikitokea mtu akafungwa kimakosa gerezani hawezi kudai fidia yoyote kwa sababu hakuna sheria hiyo!! Can you imagine uhukumiwe jela maisha au miaka 30 halafu after 20 years in prison wagundue kwamba hukumu ilikuwa ya kimakosa hufidiwi chochote daaah. Sasa cha kujiuliza ni kwamba OK hiyo sheria haipo swali ni tokea lini hiyo sheria haipo? Kama haipo wao hawaoni ni muhimu kuwa na hiyo sheria na hivyo ipelekwe tena kwa hati ya dharura?? Kama waziri unaona ufahari gani kutangazia umma kwamba hatuna sheria kama hiyo??
Ndiyo tatizo lilianzia kule uchaguzi kuporwa, kila kitu kimekua hovyo hapa nchini,, anzia pembejeo, vifaa vya ujenzi, miundo mbinu ya nchi mibovu, viongozi wengi wao hawajitambua, jeshi la polisi ovyo na mengineyoMkuu ni leo tuu waziri Simba chawene amenukuliwa akisema kwamba ikitokea mtu akafungwa kimakosa gerezani hawezi kudai fidia yoyote kwa sababu hakuna sheria hiyo!! Can you imagine uhukumiwe jela maisha au miaka 30 halafu after 20 years in prison wagundue kwamba hukumu ilikuwa ya kimakosa hufidiwi chochote daaah. Sasa cha kujiuliza ni kwamba OK hiyo sheria haipo swali ni tokea lini hiyo sheria haipo? Kama haipo wao hawaoni ni muhimu kuwa na hiyo sheria na hivyo ipelekwe tena kwa hati ya dharura?? Kama waziri unaona ufahari gani kutangazia umma kwamba hatuna sheria kama hiyo??
Ewaaaaa unaona hii mkuu...
[emoji1666][emoji1666]Ndiyo tatizo lilianzia kule uchaguzi kuporwa, kila kitu kimekua hovyo hapa nchini,, anzia pembejeo, vifaa vya ujenzi, miundo mbinu ya nchi mibovu, viongozi wengi wao hawajitambua, jeshi la polisi ovyo na mengineyo