Kesi ya Mbowe: "Mahakamani si kwa Mama zetu"

Kesi ya Mbowe: "Mahakamani si kwa Mama zetu"

Na Jaji akaongeza kwa upole, "mbona mnanipa wakati mgumu"
Inaonyesha hii barua imewashtua Jaji na mawakili wa serikali.

Na bado! Inavyoonekana hii kesi itaishia hapa kwa Ling'wenya.

Hapa kunaweza kuwapo barua hata zaidi ya 1000 kama hizi tena zenye kuzingatia vigezo na masharti hata kuliko ya lile zuzu Chaula 😁😁. Zote zikiomba yakiwamo OC, MO, SD nk.

Kumbuka DW #2 Adamoo na DW#3 Shemeji yetu kipenzi chake Komando Ling'wenya nao wako kwenye bomba wanakuja.

Nao wanaweza kuja na barua kama hii hii kama mashahidi.

Pandora box liko wazi bwerere.

Hapa punda na afe tu ila mzigo ufike.
 
Na bado! Inavyoonekana hii kesi itaishia hapa kwa Ling'wenya.

Hapa kunaweza kuwapo barua hata zaidi ya 1000 kama hizi tena zenye kuzingatia vigezo na masharti hata kuliko ya vile vya Zuzu WS Chaula 😁😁. Zote zikiomba yakiwamo OC, MO, SD nk.

Kumbuka DW #2 Adamoo na DW#3 Shemeji yetu kipenzi chake Komando Ling'wenya nao wako kwenye bomba wanakuja.

Nao wanaweza kuja na barua kama hii hii kama concerned parties.

Hapa punda na afe tu ila mzigo ufike.
Wacha waambuke mbele za wakwe sisi zetu duwa mdogo mdogo hoja zao zinawaumbua mbele ya kadamnasi.
 
Kwanza hawakuitegemea naona wanatetea kwa hisia pasipo kuweka vifungu vya sheria.Kazi ipo jaji anawaambia usirudie aliyosema mwanzako umenielewa.

Walikuwa na mawazo finyu sana kulazimisha DR kuingia na Siyani kuamua kesi ya Adamoo alivyofanya. Walidhani wanayofanya wao yana hati miliki yao tu.

Sasa kibao kimegeuka taslimu!

Kwamba sasa Jaji anawaambia, "usirudie aliyosema mwanzako umenielewa."

😁😁

Hiiiiii bagosha!
 
Kabisa. Silaha zote zitumike. Kwa upande wangu kuanzia kesho naanzisha mashambulizi rasmi ya kiroho kwa Gurugushan wao. Kama Mungu aishivyo Gurushani ataaibika kwa niaba ya wenzake na wenzake wote wataaibika.
Wakafie mbali tu ata kwa ajali. Kuaibika hakutosh
 
Barua hii inamwomba RPC Ilala kuwasilisha mahakamani:

"Mazaga zaga kadhaa zikiwamo kumbukumbu za Movement Order (MO), Station Diaries (SD) na Occurrence Books (OB) kwa ajili ya kuhakiki nyendo za D/C Msemwa."

Barua hii ikipita, RPC Ilala "atake asitake" itabidi tumpe mitano mingine 😁😁.

Hiiiiii bagosha!
... mbona barua ina maombi mazuri sana tena ya kusaidia shauri linaloendelea? Shida iko wapi kuwasilisha hizo nyaraka mahakamani? In short, wala hawakutakiwa kuombwa, hizo nyaraka zilitakiwa ziwasilishwe straight away na upande wa Serikali kinyume chake wao ndio wanaopinga! Kweli "the guilt are always afraid of their own actions".
 
Wakafie mbali tu ata kwa ajali. Kuaibika hakutosh
Wapate ajali, gari iungue moto, waungue wabakie majivu, mvua kubwa inyeshe isombe majivu kusikojulikana, mateja waje waibe screpa za gari wakauze mbali, screpa ziyeyushwe zitengeneze visu, watoto wao na ndugu zao wanunue, kisha wafarakane wakatane na bisu hizo wakafie mbali
 
Barua hii kumhusu Komando Ling'wenya itakuwa imeutafsiri uwanja mzima rasmi kabisa kwa jinsi ulivyo.

Hakuna kisichofahamika tena. Hii ni vita kamili.

Vita vya haki dhidi ya dhuluma. Vita vya wanaothamini haki za watu yakiwamo maisha ya akina Luteni Urio, Moses Lijenje na wenzao, dhidi ya wenye ubinafsi wa kupitiliza.

"Vita ni vita Mura!"

Tumesikia "mahakamani si kwa mama zetu." Bila shaka "mahakamani ni kwa mama zao." Wao pia, kumbe tutake au tusitake ni mawakili wa mahakama.

Zimeombwa tu, Movement Order (MO), Station Diary (SD) na Occurrence Book (OB) kwa ajili ya kumkagua D/C Msemwa. kimeumana! Hakuna kuwaachia hawa.

"Waombeni pia na ma CCTV recordings njia yote RAU - Moshi - Arusha - Dar - Mbweni. Pia data kama hizo tokea makampuni ya simu."

Ipelekwe miito ya kuwaita wote na vyote vinavyoweza kusaidia kuthibitisha lolote. Asiachwe mtu au kitu tafadhali.

Iwe ni Hangaya, Sirro, Urio, Ahadi, Chungulu, Sabaya, Lijenje, nk. Tuonane Kizimbani. Vigezo na masharti yakizingatiwa.

Wanahofia nini nyendo za D/C Msemwa kuhakikiwa?

Si kuwa ni kwa sababu: "the guilty are always afraid?"

--------
Kesi ya Mbowe: Kwa minajili ya haki Mbivu na Mbichi zote zianikwe
Hii vita tutashinda tu. Mungu ni Mungu wa wenye Haki. Kamwe Hatoshindwa.
 
Barua hii kumhusu Komando Ling'wenya itakuwa imeutafsiri uwanja mzima rasmi kabisa kwa jinsi ulivyo.

Hakuna kisichofahamika tena. Hii ni vita kamili.

Vita vya haki dhidi ya dhuluma. Vita vya wanaothamini haki za watu yakiwamo maisha ya akina Luteni Urio, Moses Lijenje na wenzao, dhidi ya wenye ubinafsi wa kupitiliza.

"Vita ni vita Mura!"

Tumesikia "mahakamani si kwa mama zetu." Bila shaka "mahakamani ni kwa mama zao." Wao pia, kumbe tutake au tusitake ni mawakili wa mahakama.

Zimeombwa tu, Movement Order (MO), Station Diary (SD) na Occurrence Book (OB) kwa ajili ya kumkagua D/C Msemwa. kimeumana! Hakuna kuwaachia hawa.

"Waombeni pia na ma CCTV recordings njia yote RAU - Moshi - Arusha - Dar - Mbweni. Pia data kama hizo tokea makampuni ya simu."

Ipelekwe miito ya kuwaita wote na vyote vinavyoweza kusaidia kuthibitisha lolote. Asiachwe mtu au kitu tafadhali.

Iwe ni Hangaya, Sirro, Urio, Ahadi, Chungulu, Sabaya, Lijenje, nk. Tuonane Kizimbani. Vigezo na masharti yakizingatiwa.

Wanahofia nini nyendo za D/C Msemwa kuhakikiwa?

Si kuwa ni kwa sababu: "the guilty are always afraid?"

--------
Kesi ya Mbowe: Kwa minajili ya haki Mbivu na Mbichi zote zianikwe
Dogo, maneno yenu na post zenu haziwasaidii chochote washtakiwa. Kama wana hatia au wakitiwa hatiani watautumia mtondoo tu!
 
Mambo mengi kwa sasa hayako sawa...sijui kwa nini!

Mh. Mama Samia sio dhaifu bali huenda kuna wahuni wanamhujumu kiaina.

Takribani kwa masaa kadhaa kwa siku mbili napita ubungo junction mataa hayafanyi kazi na hakuna askari/traffic wa kuongoza magari. Yaani kila mtu anajieendea tu atakavyo.

Nawaza mbona mbona kama traffic lights nyingi zina back up ya solar system? Kulikoni kwenye vivuko vingi kwa sasa?

Watanzania tusihujumiane tafadhali
 
Mwenyenzi Mungu, mwingi wa rehema na kweli. Twakusihi usimame kwa haki katika hii kesi ya akina Mbowe.

Penye hujuma, peleka hukumu yako ya haki.

Na ikiwa mamlaka zinatumika vibaya kwa maslahi maovu ya wachache, Ee Mfalme, Mungu Mkuu, uliye na mamlaka kamilifu yenye nguvu nakusihi uwaondolee mamlaka zao kila mmoja kwa nafasi yake, na asiwepo awaye yeyote katika vizazi vyao atakayepewa madaraka hata ya balozi wa nyumba kumi. Haya yote yafanyike sawa na hukumu zako za haki kwa sababu wewe ndio uijuaye kweli, na kwa haya watu wote wapate kukutukuza na kukuinua daima mara watakapoona hili limetokea aukila watakapolikumbuka.

Nuru yang'aa gizani, nalo giza limetoweka daima

AMEN
 
Document moja wameunga unga. Mazaga zaga haya si machache. Kuyapotezea synchronize yote mbona shughuli?

La kuvunda halina ubani mjomba. Yakifika mazaga zaga 4 watakuwa hawana ubavu hawa.

Kumbuka huu ni mwanzo tu na mwanzo wa ngoma ni lele.
Shahidi wa jamhuri alipoulizwa hiki ni kitu gani kwenye hii karatasi akasema ni kipini kilidondokea bahati mbaya

Yani pini ambayo imebanwa na stapler kwenye karatasi eti anasema ilidondokea bahati mbaya
 
... mbona barua ina maombi mazuri sana tena ya kusaidia shauri linaloendelea? Shida iko wapi kuwasilisha hizo nyaraka mahakamani? In short, wala hawakutakiwa kuombwa, hizo nyaraka zilitakiwa ziwasilishwe straight away na upande wa Serikali kinyume chake wao ndio wanaopinga! Kweli "the guilt are always afraid of their own actions".

Ina Shangazi kuwa serikali ni nani na kwamba hawa ni mawakili wa serikali wanamwakilisha nani.

Inashangaza zaidi kwanini huyo mteja wao serikali kwa nini hadi sasa hajawakana.

Wanakataa kuwezesha kumbukumbu halali za polisi kuletwa mahakamani!

Kwa kazi hii ambayo wanafanya, sasa ni wazi kuwa mimi na wewe kumbe tunawalipa na wako mahakamani kuzuia haki kutendeka.

Haiingii akilini. Beberu anasema - "Incredible!"
 
Huwa nakuelewa Sana na uchambuzi wako juu ya hii kesi mbowe

Mkuu wangu katika mazingira ya kawaida tusieelewane vipi? Mbona tunaelewana sote na si katika kesi ya Mbowe tu?

Hivi kweli, tunaweza tusielewane na nani au vipi kwenye kumnanga awaye yote kama huyu?

IMG_20211126_221549_007.jpg
 
Shahidi wa jamhuri alipoulizwa hiki ni kitu gani kwenye hii karatasi akasema ni kipini kilidondokea bahati mbaya

Yani pini ambayo imebanwa na stapler kwenye karatasi eti anasema ilidondokea bahati mbaya

Bado jaji Tiganga hakuona taabu ila anadhani Ling'wenya anapata usaidizi kutokea nje ya kizimba ambao hauonekani.

Hiiiiii bagosha!
 
Mwenyenzi Mungu, mwingi wa rehema na kweli. Twakusihi usimame kwa haki katika hii kesi ya akina Mbowe.

Penye hujuma, peleka hukumu yako ya haki.

Na ikiwa mamlaka zinatumika vibaya kwa maslahi maovu ya wachache, Ee Mfalme, Mungu Mkuu, uliye na mamlaka kamilifu yenye nguvu nakusihi uwaondolee mamlaka zao kila mmoja kwa nafasi yake, na asiwepo awaye yeyote katika vizazi vyao atakayepewa madaraka hata ya balozi wa nyumba kumi. Haya yote yafanyike sawa na hukumu zako za haki kwa sababu wewe ndio uijuaye kweli, na kwa haya watu wote wapate kukutukuza na kukuinua daima mara watakapoona hili limetokea aukila watakapolikumbuka.

Nuru yang'aa gizani, nalo giza limetoweka daima

AMEN

Eeh mola wetu hizi ndizo zilizo sala zetu.

Twaomba ukatusikie.

Amen.
 
Bado jaji Tiganga hakuna taabu ila anadhani Ling'wenya anapata usaidizi kutokea nje ya kizimba ambao haionekani.

Hiiiiii bagosha!
Eti nina wasi wasi shahidi anafundishwa majibu

Hapo ndio nikajua kua hata ishu ya mawakili wa jamhuri kutokuja na shahidi wakati utetezi walijiandaa kukutana na shahidi inaonesha wazi hilo lilikuwa planned pamoja na jaji

Wakidhani wangewapa taarifa mapema kina kibatala wangejipanga kuja na hoja nzito ambazo zingempa wakati mgumu jaji
 
Back
Top Bottom