kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Matata yuko vizuri, kuna kisu kingine kinaitwa Mtobesya hii combination inawapa tabu jamhuri wanajuta.Aiseeee kama yule Matata daaah jamaa anapangua hoja ni hatari..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matata yuko vizuri, kuna kisu kingine kinaitwa Mtobesya hii combination inawapa tabu jamhuri wanajuta.Aiseeee kama yule Matata daaah jamaa anapangua hoja ni hatari..
Aahahahahahaha! Na vipost uchwara vyao havitamsaidia chochote!Wambie na wakumbushe kuwa vita ya wanawake wanaogombea mwanaume ina viwanja viwili tu- jikoni na Kitandani- nje ya hapo ni kupoteza mda tu. Waache washinde humu na post za kejeri na matamanio- mwisho wa siku Mbowe atafungwa maisha.
Ahahahahahahaha! Kama imekuuma Dogo, acha kupost! Ahahahahahahahah!!!Umeona popote tunaongelea msaada kwa mshitakiwa yeyote?
Jifunze kutumia lugha stahiki kuwasiliana na watu usiowajua.
Ya vijiweni baki nayo huko huko!
Mkuuu, ni vile tuna amua tuuu kutochafuana.nilistuka sana kujua kua huyu mwamba ni jaji.Eeeenhh bwana hili faili la moto vibaya kuliko mahakama kuwa si mama zetu
Aisee kuna mahali nimesoma kwenye msaafu kwamba "waovu wote wanalaanika na vizazi vyao mpaka kizazi cha kumi". Ogopa sana kutenda maovu kwa kukusudia".
Mbona umeandika kwa unyonge sana nini tatizo?Wakili mwandamizi wa Jamhuri ya Tanzania, Mh. Chavula alichofanya ni kuwarejesha mawakili wa Mbowe kwenye methali maarufu na chungu inayohusu the principle of impartiality of the court'. Methali hii ya kizungu inasema: 'The court is not your mother to grant what is not pleaded or asked for!'
Na akaendelea kuwakumbusha mawakili hao wa Mbowe ambao wamegawanyika kwa sababu za kimasilahi, kwamba mahakama inayosikiliza kesi hiyo ni mahakama ya Jamhuri ya Tanzania na yeye ni wakili mwandamizi wa Jamhuri hiyo.
Akaendelea kuionesha mahakama kwamba mawakili wa Mbowe wameleta takataka wakiomba mahakama ipokee takataka hiyo kama kielelezo cha shaidi wao Ling'wenya. Yaani wanataka kuigeuza mahakama hiyo kuwa dampo la matakataka.
Congradulations sana Mr Chavula kwa kuleta hoja za kisomi mahakamani zenye mvuto badala ya blablaa na kelele za wale wa upande mwingine.
Haja panick bali amechoshwa na blablaa na makele ya akina Kibatala yasiyo ya kisomi cha sheria bali lenye lengo la kuchelewesha kesi ili waendelee kuvuta mpunga toka chadema. Hata Jaji inaelekea naye kawachoka na ameaanza kumdhibiti Kibatala na kelele zake. Mr Chavula kaamua kuanza kuwapa kisomo cha sheria. Wengi wamemuelewa (isipokuwa Kibatala) na wameanza kuongea lugha moja na kesi imeongezeka mwendo.
Matata yuko vizuri, kuna kisu kingine kinaitwa Mtobesya hii combination inawapa tabu jamhuri wanajuta.
I don't care if you ignore my messages as long as you read and answer them! Ahahahahahahahah!!!Tuache kupost kwa sababu ya vidampa wa vijiweni?
Kwani ignore list Mod waliweka ya nini? Au unadhani hatuijui kazi yake?
😁😁
View attachment 2025070
Angalia tu familia zao, angalia maisha yao, hayana amani, watoto wao wanawasumbua, wanaishia vifo vya aibuAisee kuna mahali nimesoma kwenye msaafu kwamba "waovu wote wanalaanika na vizazi vyao mpaka kizazi cha kumi". Ogopa sana kutenda maovu kwa kukusudia".
Mchunie tuu mwache acheze kwa uhuru kwenye kesi hii.Mkuuu, ni vile tuna amua tuuu kutochafuana.nilistuka sana kujua kua huyu mwamba ni jaji.
Ila flesh tuu ndio maisha yalivyo.
Duuh!
Mawakili wa serikali wako pumped to the top na motivated na dharau za Kina Kibatala wanaodhani wanaadvantage over them while they are not- BRAVO mawakili wa serikaliWakili mwandamizi wa Jamhuri ya Tanzania, Mh. Chavula alichofanya ni kuwarejesha mawakili wa Mbowe kwenye methali maarufu na chungu inayohusu the principle of impartiality of the court'. Methali hii ya kizungu inasema: 'The court is not your mother to grant what is not pleaded or asked for!'
Na akaendelea kuwakumbusha mawakili hao wa Mbowe ambao wamegawanyika kwa sababu za kimasilahi, kwamba mahakama inayosikiliza kesi hiyo ni mahakama ya Jamhuri ya Tanzania na yeye ni wakili mwandamizi wa Jamhuri hiyo.
Akaendelea kuionesha mahakama kwamba mawakili wa Mbowe wameleta takataka wakiomba mahakama ipokee takataka hiyo kama kielelezo cha shaidi wao Ling'wenya. Yaani wanataka kuigeuza mahakama hiyo kuwa dampo la matakataka.
Congradulations sana Mr Chavula kwa kuleta hoja za kisomi mahakamani zenye mvuto badala ya blablaa na kelele za wale wa upande mwingine.
Yale na haya nawe ni maoni yakoHayo ni maomi yako.
The court is not your motherBarua hii kumhusu Komando Ling'wenya itakuwa imeutafsiri uwanja mzima rasmi kabisa kwa jinsi ulivyo.
Hakuna kisichofahamika tena. Hii ni vita kamili.
Vita vya haki dhidi ya dhuluma. Vita vya wanaothamini haki za watu yakiwamo maisha ya akina Luteni Urio, Moses Lijenje na wenzao, dhidi ya wenye ubinafsi wao wenye kupitiliza.
"Vita ni vita Mura!"
Tumesikia "mahakamani si kwa mama zetu." Bila shaka "mahakamani ni kwa mama zao." Wao pia, kumbe ni mawakili wa mahakama.
Zimeombwa tu, Movement Order (MO), Station Diary (SD) na Occurrence Book (OB) kwa ajili ya kumkagua D/C Msemwa. kimeumana! Hakuna kuwaachia.
View attachment 2025203
"Waombeni pia na ma CCTV recordings njia yote RAU - Moshi - Arusha - Dar - Mbweni. Pia data kama hizo tokea makampuni ya simu."
Ipelekwe miito ya kuwaita wote na vyote vinavyoweza kusaidia kuthibitisha lolote. Asiachwe mtu au kitu tafadhali.
Iwe ni Hangaya, Sirro, Urio, Ahadi, Chungulu, Sabaya, Lijenje, nk. Tuonane Kizimbani. Vigezo na masharti yakizingatiwa.
Wanahofia nini nyendo za D/C Msemwa kuhakikiwa?
Si kuwa ni kwa sababu: "the guilty are always afraid?"
--------
Kesi ya Mbowe: Kwa minajili ya haki Mbivu na Mbichi zote zianikwe
Mahakama ni kwa kina Kingai na kesi za gushi, wao na team mawakili wa serikali na majaji Ccm. Ushenzi kabisa huu.