Kesi ya Mbowe: Makamanda Tunapopigwa Bao


Ustake ncheke.

Kwamba? "Tuliwashauri ...'
Kwamba? "Serikali inaweza mwachia 2024 .."
Kwamba? "Mlikurupuka .."

Kama vile kaliliwa mtu hali. Mnayasoma wapi hayo?

Kwanini msipambane na hali zenu mkaachana na yasiyo wahusu?

Hiiiiii bagosha!
 
80s Hapo Mbowe akiwa bila shaka secondary. Si ungesema tangia akiwa chekechea?

Mengine bakini nayo Chatto na Makunduchi. Huko watawaona washupavu.
Kuanzia 1986 Mbowe alikuwa amejikita Mbowe Hotels na hapo ndipo alipoanza biashara chafu, kama huelewi maana Kaa kimya
 
Kuanzia 1986 Mbowe alikuwa amejikita Mbowe Hotels na hapo ndipo alipoanza biashara chafu, kama huelewi maana Kaa kimya

Please, you can tell those to the birds!
 

kigogo2014 aliwaonya mkamdharau na kumnanga huku mkinywa wine ulayaa. tulieni sindano iwaingie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…