Kesi ya Mbowe: Maslahi gani Washitakiwa kunyimwa Haki?

Kesi ya Mbowe: Maslahi gani Washitakiwa kunyimwa Haki?

Haki na udhwalimu havikai upande mmoja.

Kuna aliyewauwa kina Lijenje, Ben, Azory na wengine. Bado akaweka na wengine kwenye viroba. Akapanga mazishi ya watu walio hai. Akajiita mzalendo.

Atamfundisha nani uzalendo mtu huyo?

Ninakazia, haki na udhwalimu havikai upande mmoja. Chagua upande wako ubakie huko huko.
acha mbwembwe, kasi ipo mahakamani, kama mawakili wenu hawana uwezo kuwashinda mawakili wa mbowe, ajirini wengine. kwa taarifa yako, mahakamani ukiwa na mawakili wazuri kesi ikiwa ya kubumba kwenye cross examination utawadaka tu na utaharibu kesi yao. ndicho wanachotakiwa kufanya mawakili wa mbowe. ninachokuhakikishia ni kwamba wale mawakili wa serikali wamepelekwa pale wamechunjwa, wote wapo juu.

pili, huyo unayesema ameuawa si mwanajeshi? una uhakika kauawa au karudi jeshini? hao makomandoo wa mbowe una uhakika kuwa mioyoni mwao wamekikana kiapo cha kufa na kupona cha kuwa upande wa serikali? chadema ni vipofu sana.
 
Jaji naye katoka Mwanza. Yeye ni mzoefu kwenye nini?

Si mseme tu per diem hizi ni sehemu ya marupurupu kwenye kufanikisha yaliyopo tayari mifukoni?
hayo ni mambo ya kawaida kwenye serikali, ni stratejia tu. kuna baadhi ya kesi serikali huwa inalazimika kusafirisha watu toka sehemu nyingine hasa kama kesi hiyo ni ya muhimu ili kuonyesha umma kwamba haki imetendeka. ndio maana wakawasafirisha hao mawakili toka mikoa mingine kwasababu walioko hapo dsm wasingeweza peke yao. msiwapangie,ninyi jipangeni kwa mawakili wenu.
 
acha mbwembwe, kasi ipo mahakamani, kama mawakili wenu hawana uwezo kuwashinda mawakili wa mbowe, ajirini wengine. kwa taarifa yako, mahakamani ukiwa na mawakili wazuri kesi ikiwa ya kubumba kwenye cross examination utawadaka tu na utaharibu kesi yao. ndicho wanachotakiwa kufanya mawakili wa mbowe. ninachokuhakikishia ni kwamba wale mawakili wa serikali wamepelekwa pale wamechunjwa, wote wapo juu.

pili, huyo unayesema ameuawa si mwanajeshi? una uhakika kauawa au karudi jeshini? hao makomandoo wa mbowe una uhakika kuwa mioyoni mwao wamekikana kiapo cha kufa na kupona cha kuwa upande wa serikali? chadema ni vipofu sana.

IMG_20211015_144814_546.jpg
 
komandoo, tena sio mwanajeshi wa kawaida, ni komandoo, alikula kiapo cha kufa na kupona kuwa upande wa serikali, halafu watu wanafikiri atakua upande wao? mnajuaje kama amerejeshwa jeshini huko makambini kisirisiri? kwani familia yake imesema hapatikani? chadema mnawaamini watu walio upande wa competitors wenu, na mna imani nao kwelikweli. vipofu ninyi.
 
hayo ni mambo ya kawaida kwenye serikali, ni stratejia tu. kuna baadhi ya kesi serikali huwa inalazimika kusafirisha watu toka sehemu nyingine hasa kama kesi hiyo ni ya muhimu ili kuonyesha umma kwamba haki imetendeka. ndio maana wakawasafirisha hao mawakili toka mikoa mingine kwasababu walioko hapo dsm wasingeweza peke yao. msiwapangie,ninyi jipangeni kwa mawakili wenu.

Si unajua kuna majaji wa kimkakati? Ma WS wa kimkakati? (Naibu) Msajili wa Mahakama wa Kimkakati? Na wa Kimkakati .... lukuki, karibu kila mahali, wengi wao wakipenyezwa kipindi cha jiwe?

Si unajua ile DR ya Msemwa wala hakuiomba wala kusaini popote kuipokea?

Si unajua ilikuwa DR hiyo hiyo iliyokuwa tayari tayari mahakamani kwa ajili ya shahidi Jumanne kuitumia, hali ikipaswa kuwa store?

Ngonjera zingine hizi si waambieni ndege wa angani?

Mburumundu wengi huko wapo japo wanaweza kuwasikiliza!
 
Jambo la kupongezwa kuona mawakili wa utetezi wakipambana vilivyo kuona haki za washitakiwa haziporwi.

Hata hivyo inashangaza ni kwa motisha gani upande wa mashtaka kupambana kikuku kuona ikiwezekana washitakiwa hawapati haki zao.

Faulo za upande wa mashtaka ziko nyingi na ziko wazi:

1. Kwenye shauri la Adamoo wakiwa wameahidi kuleta shahidi wao mwingine, walifunga sehemu yao ya ushahidi ghafla asubuhi asubuhi. Hatua hii ikawawekea shinikizo utetezi kuanza bila kutarajia na (labda) bila kujiandaa kikamilifu.

2. Leo wakiwa pia wameahidi kuleta shahidi, wamefika mahakamani wakiwa wamechelewa na ghafla bila kutarajiwa wakafunga sehemu yao ya ushahidi. Kama #1 wakawaweka upande wa utetezi katika kuendelea na kesi.

3. Si mara moja, wakiamua hupoteza muda ili kesi iahirishwe kwa maslahi yao. Wamefanya hivyo pia leo.

4. Wao hukomaa kweli kweli ili kuingiza exhibits zozote hata kama ni zenye utata mtupu.

5. Wameonekana kukomaa pia kuzuia kata kata Ling'wenya asiwasilishe chochote kinachoweza kumsaidia katika lolote analoshtakiwa.

Hali hii kibinadamu inashangaza na kutia kichefu chefu. Hasa ikizingatiwa kuwa wanafanya hivi kinadharia kwa niaba yetu.

Izingatiwe Ling'wenya ni komando aliyelitumikia taifa hili na hawa jamaa ni watu wanaokula kodi zetu mahotelini pasipokuwa na ridhaa zetu:

View attachment 2023282

Hivi kwani, hawapo mawakili wa serikali Dar? Au hizi per diem ni sehemu ya motisha huo?

Au hawa ndugu wana ahadi fulani fulani zenye kufungua fursa zaidi kwao?

Walisema kua uyaone: "haki za watu zinapogeuka kuwa bidhaa kama nyanya tu, gengeni."

Utetezi: "Kwa mustakabala huu chonde chonde, hakuna kimwangalia nyani usoni."

Ushahidi wa kisayansi ni takwa la msingi wala si ombi tena. Jiwe moja lisibakie juu ya jingine.

---------
Kesi ya Mbowe: Madai Mahakamani yathibitishwe Kisayansi
Wanakomaa ili wapate nafasi kama ya Tulia !
 
komandoo, tena sio mwanajeshi wa kawaida, ni komandoo, alikula kiapo cha kufa na kupona kuwa upande wa serikali, halafu watu wanafikiri atakua upande wao? mnajuaje kama amerejeshwa jeshini huko makambini kisirisiri? kwani familia yake imesema hapatikani? chadema mnawaamini watu walio upande wa competitors wenu, na mna imani nao kwelikweli. vipofu ninyi.

Ndiyo mseme alipo, ili tuwaulize walipi Ben na Azory pia. Kuna na wa kwenye viroba. Kuna na Lissu mliyempangia mazishi akiwa hai. Wapo wengi waliotoweka.

Mmoja mmoja maelezo kamili tafadhali.

Enhe, anza na Lijenje. Yuko wapi Moses Lijenje?
 
Back
Top Bottom