Kesi ya Mbowe: Mchezo wa Paka na Panya kwa Maslahi ya nani?

Jaji, polisi, mawakili wa serikali, na ofisi nyingine za umma zote ziko against Mbowe kwenye hii kesi, na zinapeana ushirikiano wa kutosha, hapa Mbowe lazima afungwe, no way out for him.

Ni wazi kuwa si kwa mfumo huu uliopo tena.

Mwanzo mpya si hiari tena.
 
unazunguka kama pia. Sema usikike
 
Hii kesi ni biashara kwa watu hadi wamalizie maghorofa yao ndo itaisha,unajua wanalipwa posho ngapi kwa siku Ili kuendesha?
Wapo watu kazini kubuni mbinu za kutafuna kodi zetu
 
nakuomba sana bwana au sijuii biii babati ,usikometi kwangu,,maana naona una heng over ya mimba ya aliyekutuma.

Ni neno "mchaga" mkuu? Nadhani pale ni typo alimaanisha "mchanga."

Kwa uelewa wangu Babati ni mmoja wa makamarade wa mstari wa mbele kabisa.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kwanini Babati atusi wachaga.Hivi hebu atuambie nilipi kabila lake.

Iangalie sentensi yake nzima. Kulikuwa na neno mtoto.

Haiingii akilini kuwa alimaanisha "mtoto mchaga." Ninaona "mtoto mchanga" ndicho alichomaanisha.

Nikusihi kiungwana kuirejelea sentensi ile mkuu:



Cc: Babati ikikupendeza kwa ufafanuzi zaidi.
 
wenye madaraka waliobariki ukatili huu, wanaosimamia ukatili huu, wanaotoa ushahidi wa uongo ktk ukatili huu, laana hii itakuwa juu yenu na watoto wenu, mtakuwa watu wa ukiwa ktk maisha yenu, watoto wenu watakuwa wageni ktk ardhi yao. laana itawatafuna milele na jehenamu itakuwa makao yenu.
 

Eeh mola wetu ukazipokee sala zetu
 
Serikali inatetea uhalali wa uhalifu, watuhumiwa wanatetea haki na uwajibikaji hii ndo serekali dhaifu ya wahuni wa polepole
 
Serikali inatetea uhalali wa uhalifu, watuhumiwa wanatetea haki na uwajibikaji hii ndo serekali dhaifu ya wahuni wa polepole

Haya yakiendelea kirusi "omicron" kinatembea.

Wacha tuone.
 
Poleni kwenu mnao iamini serekali, ....hamkuwahi kuelewa kupitia hata kwa wale wanao ambiwa ...." Tuonesha kaburi la Babu wa babu na Bibi yako"..........ni mambo yale yale. Kwa kifupi ni kuwa bado hatujastaarabika hata kuweza kutembelea kwenye prescriptions tunazo jiwekea wenyewe, hatuna standards.
 

Kutokea tulipokuwa awamu #4 siyo siri tokea awamu #5 mwendo umekuwa "nose dive." Na bado!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…