Ni jambo la kheri sana neno haki kuendelea kusikika na kwa msisitizo, hasa mahakamani.
Shahidi Lembrus Mchome hakuwa mchoyo wa neno hilo:
Kwa hakika Lembrus Mchome ameliwasilisha neno hili kwa mheshimiwa Jaji katika namna ya kupigiwa mfano.
Kudos Lembrus Mchome umetuwakilisha wengi kwani hata Mheshimiwa rais haki ni moja ya maneno kipenzi:
"Haki huinua taifa."
Shahidi Lembrus Mchome hakuwa mchoyo wa neno hilo:
Kwa hakika Lembrus Mchome ameliwasilisha neno hili kwa mheshimiwa Jaji katika namna ya kupigiwa mfano.
Kudos Lembrus Mchome umetuwakilisha wengi kwani hata Mheshimiwa rais haki ni moja ya maneno kipenzi:
"Haki huinua taifa."