Kesi ya Mbowe na wenzake inaanika hadi 'mambo ya siri za nchi'. DPP hujachelewa kuifuta

Kesi ya Mbowe na wenzake inaanika hadi 'mambo ya siri za nchi'. DPP hujachelewa kuifuta

wenye akili zao hawewezi kuamini maneno ya uongo ya Ligwenya/ Adamoo, huyo ni mtuhumiwa wa Ugaidi anaye daiwa kumtumikia mtuhumiwa Mbowe.
kama walidhani wanaweza kupoteza amani yetu ya Tz basi wajue amani ya Tz lazima ilindwe kwa gharama yoyote ile.
Mmeishaharibu hata mjiteteeje mmeua mwanajeshi
 
Si tuliambiwa nchi inaendeshw na waziri mkuu (mtoto wa Magufuli) aliyebaki labda aamue yeye kuitoa kesi DPP anafuata tu maelekezo hadi maelekezo kutoka juu kwenda chini yafike .
Bila hivyo Mbowe anaweza kufungwa ili isemekane mashahidi walitoa utetezi wa uongo ili Mahakama isiwakute na hatia.
Moja 9 chuki itatamaliki miongoni mwa jeshi la wananchi na jeshi la polisi.
 
Kuna wakili yule wa serikali anaonekana ni jeuri na mtu wa majungu sana, kuna maswali alikuwa akimuuliza Adamo akitaka kujua yale ambayo yanafanyika kule DRC, kuna wakati anachonokoa kutaka kufahamu ni kwa jinsi gani Makomando wanavyofanya kazi.

DPP aingilie kati kuepuka haya kutokea maana tunapoelekea huko siri nyingi zitawekwa wazi, pia itatengeneza uhasama kati ya majeshi haya wawili jeshi la polisi na jeshi la wanannchi.

Swali langu? Hadi huyo luteni Urio kuteswa huko ni kwamba Jenerali Mabeyo hana taarifa na kinachoendelea kwa vijana wake, inasikitisha sana.
Yaan dah ngoja nilale siku imeharibika hii
 
Wacha yawe wazi, katiba imewapa majukumu ya kutulinda pamoja na mali zetu, wanafanya kinyume, wametengeneza jambo la hovyo kumdhibiti kiongozi wa chama asitimize majukumu yake! Hadi wanamdanganya Hangaya!
 
Polisi wanaposhughulika na muhalifu hawaangalii wewe ni nani bali wanafuata sheria inavyoelekeza.

RIP Ole Nasha
Wewe kwa akili yako huoni kuwa hii ni kesi ya kupikwa?
Ngoja nikugawie akili zangu nilicho kigundua so far.
Kuna uwezekano mkubwa Afande urio wakati anawatafuta akina lijenje, Adamson alitumia simu ambayo ilidukuliwa. Ndio maana pamoja na kusema kwamba Afande urio yupo upande wa serikali bado wanamtesa na kwa hakika atawakana mahakamani kwa kusema aliteswa ili aseme uongo kuwa walikuwa na nia OVU.
Walipo ulizwa nini kiliwafanya waseme hii ni kesi ya ugaidi na siyo ujambazi au wizi wa kawaida hawakuwa na ushaidi madhubuti. Kumbuka hata pisto ile walimwekea Adamoo! Kingine ambacho hawakujua ni kwamba hata mwenye Duka Asma altona kila kitu na walifikiri atakuwa upande wao kumbe wamekuja kuja ni dada wa damu wa shahidi namba mbili. Huko mbele ya safari ni kugumu sana upande wa serikali kwasababu hata Urio hayuko upande wao. KUMBUKA HUYU NDIO WALISEMA NI INGORMER WAO.
Kama wana akili waifute hii kesi maana wataumbuka tu.
 
Kuna wakili yule wa serikali anaonekana ni jeuri na mtu wa majungu sana, kuna maswali alikuwa akimuuliza Adamo akitaka kujua yale ambayo yanafanyika kule DRC, kuna wakati anachonokoa kutaka kufahamu ni kwa jinsi gani Makomando wanavyofanya kazi.

DPP aingilie kati kuepuka haya kutokea maana tunapoelekea huko siri nyingi zitawekwa wazi, pia itatengeneza uhasama kati ya majeshi haya wawili jeshi la polisi na jeshi la wanannchi.

Swali langu? Hadi huyo luteni Urio kuteswa huko ni kwamba Jenerali Mabeyo hana taarifa na kinachoendelea kwa vijana wake, inasikitisha sana.
Muache ulimbukeni na ujinga hakuna aliye juu ya sheria kwa jeshini siyo tiketi ya kufanya uhalifu usidhibitiwe na mamlaka nyingine. Naona ulikuwa hujazaliwa na pia hamjui historia rejea kesi ya uhaini 1982 ndiyo utajua Polisi ni nani na Mwanajeshi ni nani siyo unapost mambo ya kitoto hapa. Issue ni usalama wa nchi na siyo nani na kwa nafasi gani kakamatwa. Uhalifu unapohusisha komandoo hata ukamataji wake ni tofauti na mhalifu wa kawaida kama wewe. NAISHIA HAPO.
 
Sijasoma hata ulichoandika maana ni kupoteza muda.
Ila ninajibu tunapoteza muda kwa mambo ya kilofa tu hamna kesi hapo.
Funga huyo dj au muachieni .
Kesi inakua km iko staget ili watu wapige hela.kesi gani haiishi mara tumeahirisha,tunahairisha,tutahairisha baada ya kukaa 6-8 hrs mahakamani.
Very Lazy people .
 
Kama kuna mtu anadhani polisi wenyewe tu wanaweza kumkamata mwanajeshi na kumtesa (hata kama ni muhalifu), basi haijui hii nchi vizuri. Hawawezi kulitekeleza jambo hilo wenyewe peke yao.

Kuhusu kulazimishwa kuandika maelezo fulani polisi, mimi pia niliwahi kukamatwa na wakati naandika maelezo yangu katika karatasi waliyonipa isiyo na mistari, polisi akaninyang'anya kalamu akidai mwandiko wangu umepinda ingawa haikuwa kweli. Akaanza kuandika yeye mwenyewe. Hapo wameshanipa vitisho sana tu toka nimefika kituoni jana yake. Sikubishana naye, nilitaka tu kuondoka zangu kituoni. Kwa hiyo hilo nadhani watakuwa wanafanya saaana tu.
 
Mimi ningekuwa Rais ningeagiza vituo vyote vya Polisi kuwepo na CCTV Camera ndani na nje na ingewekwa utaratibu wa Taasisi fulani ya Serikali ndio wenye kumliliki hizo CCTV Camera.
 
Hii kesi inatupa picha Ben Saanane alikutana na nini...
Chadema andaeni kitabu
"Mateso ya Kuwa mpinzani Tz"
Maovu yaliyopita nayanayoendelea hata Sada yanapaswa kuwekwa kwenye maandishi iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo
 
Kesi ya hovyo kabisa wakichokipanda kitaota wasije kujilsumu watu wanatupwa ndugu wanasikiliza haya ndio mazalia ya kina Hamza harafu mtakuja kufanya uchunguzi wakati matatizo mmeanzisha wenyewe...tuone usalama wa hao watesaji maana washaanikwa Mungu ni mwema kwa hilo...
 
Tatizo polisi hawana accountability kwa mabaya wanayotenda,mpaka sasa ilitakiwa walalamikiwa wa utesaji huo wawe wamesimamishwa kazi pending uchunguzi wa tuhuma dhidi yao . Toka Magufuli alipochukua uongozi kumekua na malalamiko mengi ya raia dhidi ya polisi lakini hakuna hatua stahiki zimechukuliwa kurekebisha hili tatizo.
Kazi ipo kesi ndani ya kesi...imetoa picha ya madudu yao
 
Mungu ni mwema sana damu za watu itakua nyingi zimemwagika tena watumishi waliolitumikia Taifa lazima karma iwaumbue kweli karma inafanya kazi watoa kesi ndio wanaomba kesi ifutwe tena haina maana wanaumbuka...
 
Back
Top Bottom