Mmeishaharibu hata mjiteteeje mmeua mwanajeshiwenye akili zao hawewezi kuamini maneno ya uongo ya Ligwenya/ Adamoo, huyo ni mtuhumiwa wa Ugaidi anaye daiwa kumtumikia mtuhumiwa Mbowe.
kama walidhani wanaweza kupoteza amani yetu ya Tz basi wajue amani ya Tz lazima ilindwe kwa gharama yoyote ile.
Jipige kifua huku ukisema ww ni hasara kwa wazazi wako ...hivi na ww ni baba wa familia km ni kweli hiyo familia ina hasaraHuyo gaidi anatupotezea muda afungwe haraka miaka 50
Unaihama unaenda wapi ?? Unamwachia nanii ?? Tubanane hapa hapa hakuna namna.nikipata nauli naihama hii nchi
Yaan dah ngoja nilale siku imeharibika hiiKuna wakili yule wa serikali anaonekana ni jeuri na mtu wa majungu sana, kuna maswali alikuwa akimuuliza Adamo akitaka kujua yale ambayo yanafanyika kule DRC, kuna wakati anachonokoa kutaka kufahamu ni kwa jinsi gani Makomando wanavyofanya kazi.
DPP aingilie kati kuepuka haya kutokea maana tunapoelekea huko siri nyingi zitawekwa wazi, pia itatengeneza uhasama kati ya majeshi haya wawili jeshi la polisi na jeshi la wanannchi.
Swali langu? Hadi huyo luteni Urio kuteswa huko ni kwamba Jenerali Mabeyo hana taarifa na kinachoendelea kwa vijana wake, inasikitisha sana.
Sheria inaeleza KUTESA, KUUA, KUTUPWA, KUBAMBIKIWA KESI, KUSHUHUDIWA UONGO?Polisi wanaposhughulika na muhalifu hawaangalii wewe ni nani bali wanafuata sheria inavyoelekeza.
RIP Ole Nasha
Wewe kwa akili yako huoni kuwa hii ni kesi ya kupikwa?Polisi wanaposhughulika na muhalifu hawaangalii wewe ni nani bali wanafuata sheria inavyoelekeza.
RIP Ole Nasha
Muache ulimbukeni na ujinga hakuna aliye juu ya sheria kwa jeshini siyo tiketi ya kufanya uhalifu usidhibitiwe na mamlaka nyingine. Naona ulikuwa hujazaliwa na pia hamjui historia rejea kesi ya uhaini 1982 ndiyo utajua Polisi ni nani na Mwanajeshi ni nani siyo unapost mambo ya kitoto hapa. Issue ni usalama wa nchi na siyo nani na kwa nafasi gani kakamatwa. Uhalifu unapohusisha komandoo hata ukamataji wake ni tofauti na mhalifu wa kawaida kama wewe. NAISHIA HAPO.Kuna wakili yule wa serikali anaonekana ni jeuri na mtu wa majungu sana, kuna maswali alikuwa akimuuliza Adamo akitaka kujua yale ambayo yanafanyika kule DRC, kuna wakati anachonokoa kutaka kufahamu ni kwa jinsi gani Makomando wanavyofanya kazi.
DPP aingilie kati kuepuka haya kutokea maana tunapoelekea huko siri nyingi zitawekwa wazi, pia itatengeneza uhasama kati ya majeshi haya wawili jeshi la polisi na jeshi la wanannchi.
Swali langu? Hadi huyo luteni Urio kuteswa huko ni kwamba Jenerali Mabeyo hana taarifa na kinachoendelea kwa vijana wake, inasikitisha sana.
"GHOST" ndiye aliyeichomoa roho ya Lijenje, inasikitisha sana,Jumanne ni mnoma alishafanya ya kwake kitambo!!
Hawala wa Mahita naona, au Kingai labdaKama wewe sio Kingai utakua Mahita au Siro
Kazi ipo kesi ndani ya kesi...imetoa picha ya madudu yaoTatizo polisi hawana accountability kwa mabaya wanayotenda,mpaka sasa ilitakiwa walalamikiwa wa utesaji huo wawe wamesimamishwa kazi pending uchunguzi wa tuhuma dhidi yao . Toka Magufuli alipochukua uongozi kumekua na malalamiko mengi ya raia dhidi ya polisi lakini hakuna hatua stahiki zimechukuliwa kurekebisha hili tatizo.