Kesi ya Mbowe na wenzake inaitesa Serikali, inawatesa viongozi wa vyama na Serikali na inatutesa raia wema kuliko inavyomtesa Mbowe na wenzake

Kama serikali ya CCM bila aibu wala woga imeweza kumbambikizia kesi kubwa hivi tena ya uongo kiongozi mkubwa wa upinzani, vipi raia wa kawaida usalama wetu uko wapi? Eee Mwenyezi mungu ushushe upanga wako wa moto dhidi ya udhalimu huu.
 
Huyo Mungu aone ya Tanzania tu ashindwe kuona ya Afghanistan, Rwanda, Afrika ya Kati, Uganda, n.k? Mbona huko hajatenda jambo kuwanusuru wananchi na mateso??
Sio akili za ko hata kdg, anyway kafie mbali uliwe na funza
 
Ndugu,
Unachojitahidi ni kufanya wananchi waendelee kuwa waoga na waache kuangalie wala kujadili haki zao hata pale serikali inapoacha wajibu wake wa kutenda yaliyo haki.Kama kweli wewe una weledi basi inaonekana haujakusaidia kukuondolea hulka za ukandamizaji kama ambazo zilimjaa Mzee wa Burigi Babeli Mkuu.

Labda wewe na wenzio akina Sirro muende mkajaribu kungine, kivingine hapa HAMFAI tena.Hata kama hupendi, KATIBA mpya yaja karibuni kulitibu TAIFA na hata mtu mmojammoja mliyoathirika na uwepo wa kipindi cha giza, kwa faida ya waTZ.AMEN.
 
Usitulishe maneno, kama inakutesa ni wewe lakini usiseme eti inawatesa raia wema, mimi ni raia mwema lkn hiyo kesi hainitesi na kwanza itaanzaje kunitesa wakati niko kitaa nakula bata
 
Hivi ndivyo Duniani wanavyoambiwa na kuelewa.
 
Ndio utajua wajinga tunao wingi kiasi gani Tz. Ukishaona mtu haumizwi haki isipotendeka kama ulivyo wewe tambua ya kuwa japo unatembea lakini ulikwishakufa!
 

Kwa tunaojua history hii tunaiita *president in making "
 
Ndiyo maana hata ushungi ule mimi naona ni pambo la kishetani. Hakuna, nasema tena kuwa hakuja jambo mtu mwenye Roho wa Mungu, analoliogopa kama kudhulumu haki ya mwanadamu mwenzake.

Japo mimi si mtoa hukumu, lakini katika upeo mdogo tuliopewa na Mungu ili utuongoze katika kujitenga na uovu, nakubaliana kabisa na Askofu Mwingira, shetani ameweka makao yake ikulu. Lililo jema kwa watu wanaoutafuta utakatifu, ni kutojifungamanisha na shetani.

Tutampenda Samia kama mwanadamu mwenzetu, ambaye bado ana nafasi ya kutubu, kuachana na shetani, akamtafuta Mungu.
 
Ndio utajua wajinga tunao wingi kiasi gani Tz. Ukishaona mtu haumizwi haki isipotendeka kama ulivyo wewe tambua ya kuwa japo unatembea lakini ulikwishakufa!
Haki gani unayoiongelea wakati Hukumu bado haijatoka? JF imekuwa kokoro imejaza wenye akili na mbumbumbu. Wewe SAIDWE hili jukwaa siyo saizi yako, unapwaya
 
Haki gani unayoiongelea wakati Hukumu bado haijatoka? JF imekuwa kokoro imejaza wenye akili na mbumbumbu. Wewe SAIDWE hili jukwaa siyo saizi yako, unapwaya
Wewe ni Gentamicine (The King of multiple ids)
Kwani huwezi kujibizana na watu bila kuwadharau,kuwatukana na kushusha utu wao?
Kuna thread fulani ulianzisha league na Numbisa na ukaanza kumtukana...stop that kind of shit Brother, jibu hoja kistaarabu bila kudhalilisha watu.Pia,kwanini huwa unataka kuogopwa?

Hata wewe ukitengenezewa jambo baya na wana-ccm hatuwezi kukaa kimya let us be whistle blowers for Mbowe...chakula,mavazi,magari na majumba bado ni vitu ambavyo havimfanyi mwanadamu kuyafurahia maisha kama hatakuwa huru.

Kama utakuwa na akili timamu nadhani utakuwa umenielewa vzr!
 
Usitulishe maneno, kama inakutesa ni wewe lakini usiseme eti inawatesa raia wema, mimi ni raia mwema lkn hiyo kesi hainitesi na kwanza itaanzaje kunitesa wakati niko kitaa nakula bata
Hata Yesu alipoteswa palikuwepo na watu kama wewe,namuomba Mungu afanye kui-up to date akili yako!
 
Nimefarijika sana kukuona,mbona Siku hizi hutoi elimu ya mambo ya kiroho?
Tunauhitaji sana mchango wako kwenye angle hiyo!
 
wewe mbowe ndie Nani kwenye nchi hii hanao ushawishi gani kwenye nchi hii ameifanyia nini cha maana kwenye nchi hii mpaka serikali iweweseke kwa yake acha kuwa kutushirikisha ujinga wako
 
wewe mbowe ndie Nani kwenye nchi hii hanao ushawishi gani kwenye nchi hii ameifanyia nini cha maana kwenye nchi hii mpaka serikali iweweseke kwa yake acha kuwa kutushirikisha ujinga wako
Duuh. Hata kama una chuki binafsi wenzako watakuona hamnazo. Hujui Sifa na kazi ya Mbowe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…