Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yaahirishwa. Kuendelea Jumatatu ya tarehe 27/09/2021

Kesi ya Mbowe na Wenzake Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yaahirishwa. Kuendelea Jumatatu ya tarehe 27/09/2021

Kingai Ni komando[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Tanzania haiishiwi maajabu, unaweza kuta kweli na yeye ni komandoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimependa sana huyo shahidi mtuhumiwa alivyotoa ushahidi wake bila maandalizi yoyote, amesimamishwa ghafla tu, lakini kwa sababu anachosema ni kweli tupu hajajichanganya popote, ametoa ushahidi wake very straight forward.
We acha tu, inaonyesha ameongea aliyokumbana nayo tokea wamkamate
 
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
Mkuu ni kawaida ya kenge kutoamini kama ameumia hadi aione damu inamtoka masikioni
 
Nimependa sana huyo shahidi mtuhumiwa alivyotoa ushahidi wake bila maandalizi yoyote, amesimamishwa ghafla tu, lakini kwa sababu anachosema ni kweli tupu hajajichanganya popote, ametoa ushahidi wake very straight forward.
Hapo hakuna cha kubumba mkuu
 
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
Tenda wema bila kuchoka ndugu
 
Leo kesi ya Mbowe iliendelea mahakama ya uhujumu uchumi.

Shahidi namba 4 wa serikali ameingia mitini na jamuhuli wameondoa huo ushahidi.

Gafra ndo akasimamishwa Mtuhumiwa, ambae alikuwa mlinzi wa Mbowe, Ni komando aliyehudumu kwenye operation uko DRC, kwenye kuondoa waasi wa MaiMai.

Jamaa kaelezewa alivyoteswa na Kingai na Ispecta Mahita, yaani alipigwa Sana, alichomwa bisibisi matakoni na kwenye Mbavu, alifungwa na kuninginia Kama mnyama.

Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Jamani tutende wema
Si tu hvyo! Nadhan Kuna hati hati pia ya kuleta uhasama Kati ya jwtz vs PT endapo viongozi wasipokuwa makini!
 
Sasa huyo jamaa alivyo komando akiachiwa si hatari kwa waliomtesa kina Kingai,Mahita na Familia zao.

Walioteswa nao wana familia zao, zinawategemea na kuwapenda pia.
Kuwatesa wao ni kutesa familia zao.

Tusubiri haki ipatikane baada ya mahakama kuthibitisha kwa na hatia au innocent.

Kila mtu anastahili kutendewa wema.
 
Back
Top Bottom