Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Unachomokaje wakati mihimili yote iko Chini ya rais? Mbowe atahukumiwa, atatolewa kwa msamaha wa rais
kwahiyo hapo sheria tena haipo etiee.. ni maamuzi tu ya mama akiamua.. na ili iweje
 
Shahidi;Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi

Duu japo mimi si mwanasheria mpaka hapo mbona gaidi ameshajulikana... hivi unaweza kuletewa taarifa ya uhalifu kupangwa kufanyika mahali na kiongozi akashauri fanyeni halafu ulete taarifa?
 
hawa wawakilishi ubalozi kunajambo wanalifatilia waone kwa macho yao hawataki kuongopewa.. hapa kuna jambo litajiri baada ya kesi kumalizika
Ukifuatilia hao makomandoo wanatoka mikoa ya kusini ambako tuliona ugaidi ukiwa umepamba moto na Chadema kupitia Mbowe waliunga mkono sana harakati zile bungeni na press conference zao hata kuaga askari kibao waliouawa na magaidi hawakutokea kuaga

Mabalozi waweza anza ku connect dots. pia hao commando ni waislamu kama wale waliosumbua mikoa ya kusini na msumbiji
 
Shahidi; Dennis alieleza Mbowe amemuomba amtafutie watu wa kutekeleza mambo hayo, wawe Makomandoo wastaafu au waliofukuzwa kazi

Wakili wa serikali; Makomandoo kutoka wapi?

Shahidi; Makomandoo kutoka Tanzania

Wakili wa Serikali; wawe Wstaafu kutoka wapi?

Shahidi; kutoka JWTZ

Shahidi; Vitendo hivi vilikuwa vimepangwa kufanyika MOSHI, Arusha Mbeya, DSM na Mwanza

Lakini vitendo vya kukata miti na kuzia magari yasipite ilikuwa imekusudiwa barabara ya Morogoro kuelekea Iringa

Wakili wa Serikali; baada ya kupewa taarifa hiyo kiliendelea kitu gani?

Shahidi;Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi

Jaji; Kama nimekuelewa Luteni Dennis alipaswa kuripoti kwako?

Shahidi; Ndiyo

Shahidi; nilichukua namba ya Ltn Dennis Urio 0787555200
Kwa hiyo huyu shahidi anawajua makomandoo. MBOWE ana miaka mingapi ya uenyekiti mpaka aje aombe makomandoo.kwa RPC?

Kwani tangu lini polisi wakawa washauri wa Mbowe. Yaani ni Mbowe huyu kila siku anapewa makesi ya kubuma.

Ni kweli ile kauli ya awamu hii huchomoki inafanyakazi.
 
Shahidi;Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi

Duu japo mimi si mwanasheria mpaka hapo mbona gaidi ameshajulikana... hivi unaweza kuletewa taarifa ya uhalifu kupangwa kufanyika mahali na kiongozi akashauri fanyeni halafu ulete taarifa?
Mkuu vyanzo vya taarifa (informers) ili apate taarifa sahihi ni lazima nae ashiriki katika uhalafu.
 
Shahidi; Dennis alieleza Mbowe amemuomba amtafutie watu wa kutekeleza mambo hayo, wawe Makomandoo wastaafu au waliofukuzwa kazi

Wakili wa serikali; Makomandoo kutoka wapi?

Shahidi; Makomandoo kutoka Tanzania

Wakili wa Serikali; wawe Wastaafu kutoka wapi?

Shahidi; kutoka JWTZ

Shahidi; Vitendo hivi vilikuwa vimepangwa kufanyika MOSHI, Arusha Mbeya, DSM na Mwanza

Lakini vitendo vya kukata miti na kuzia magari yasipite ilikuwa imekusudiwa barabara ya Morogoro kuelekea Iringa

Wakili wa Serikali: Baada ya kupewa taarifa hiyo kiliendelea kitu gani?

Shahidi: Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi

Jaji; Kama nimekuelewa Luteni Dennis alipaswa kuripoti kwako?

Shahidi; Ndiyo

Shahidi; nilichukua namba ya Ltn Dennis Urio 0787555200
Mmh,magidi na kete za heroine??? Haya ngoja tuone!!
 
duh hicho kizimba cha mahakamani bora ukisikie tu!

unawezafungwa kwa kujichanganya tu

hata hivyo naamini haki itatendeka kwa wote.
 
Utawala wa CCM ni aibu ya Afrika kwa Dunia. Ndani ya CCM, inaonekana wafanya maamuzi ni very primitive, siyo wqtu waliostahili kyishi karne hii. Wanaendesha nchi bila kuzingatia sheria, haki za watu na uhuru kwa kiwango ambacho ni aheri hata enzi za Herode na Kayafa.
We unalalamika unaijua kesi weweeeee[emoji2955]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom