Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifuatilia hao makomandoo wanatoka mikoa ya kusini ambako tuliona ugaidi ukiwa umepamba moto na Chadema kupitia Mbowe waliunga mkono sana harakati zile bungeni na press conference zao hata kuaga askari kibao waliouawa na magaidi hawakutokea kuagahawa wawakilishi ubalozi kunajambo wanalifatilia waone kwa macho yao hawataki kuongopewa.. hapa kuna jambo litajiri baada ya kesi kumalizika
Kwa hiyo huyu shahidi anawajua makomandoo. MBOWE ana miaka mingapi ya uenyekiti mpaka aje aombe makomandoo.kwa RPC?Shahidi; Dennis alieleza Mbowe amemuomba amtafutie watu wa kutekeleza mambo hayo, wawe Makomandoo wastaafu au waliofukuzwa kazi
Wakili wa serikali; Makomandoo kutoka wapi?
Shahidi; Makomandoo kutoka Tanzania
Wakili wa Serikali; wawe Wstaafu kutoka wapi?
Shahidi; kutoka JWTZ
Shahidi; Vitendo hivi vilikuwa vimepangwa kufanyika MOSHI, Arusha Mbeya, DSM na Mwanza
Lakini vitendo vya kukata miti na kuzia magari yasipite ilikuwa imekusudiwa barabara ya Morogoro kuelekea Iringa
Wakili wa Serikali; baada ya kupewa taarifa hiyo kiliendelea kitu gani?
Shahidi;Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi
Jaji; Kama nimekuelewa Luteni Dennis alipaswa kuripoti kwako?
Shahidi; Ndiyo
Shahidi; nilichukua namba ya Ltn Dennis Urio 0787555200
Mkuu vyanzo vya taarifa (informers) ili apate taarifa sahihi ni lazima nae ashiriki katika uhalafu.Shahidi;Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi
Duu japo mimi si mwanasheria mpaka hapo mbona gaidi ameshajulikana... hivi unaweza kuletewa taarifa ya uhalifu kupangwa kufanyika mahali na kiongozi akashauri fanyeni halafu ulete taarifa?
Wazazi wako walituleta takataka.Wazazi wa mbowe walituletea balaaa Watanzania.
Mmh,magidi na kete za heroine??? Haya ngoja tuone!!Shahidi; Dennis alieleza Mbowe amemuomba amtafutie watu wa kutekeleza mambo hayo, wawe Makomandoo wastaafu au waliofukuzwa kazi
Wakili wa serikali; Makomandoo kutoka wapi?
Shahidi; Makomandoo kutoka Tanzania
Wakili wa Serikali; wawe Wastaafu kutoka wapi?
Shahidi; kutoka JWTZ
Shahidi; Vitendo hivi vilikuwa vimepangwa kufanyika MOSHI, Arusha Mbeya, DSM na Mwanza
Lakini vitendo vya kukata miti na kuzia magari yasipite ilikuwa imekusudiwa barabara ya Morogoro kuelekea Iringa
Wakili wa Serikali: Baada ya kupewa taarifa hiyo kiliendelea kitu gani?
Shahidi: Afande Boazi alimshauri Dennis Urio, aendelee kutoa ushirikiano na kushirki vitendo hivyo lakini aendelee kuripoti vitendo hivyo polisi
Jaji; Kama nimekuelewa Luteni Dennis alipaswa kuripoti kwako?
Shahidi; Ndiyo
Shahidi; nilichukua namba ya Ltn Dennis Urio 0787555200
Mipango ya kishetani haijawi kumshinda Mungu...
Du kumbe wewe shida yako ni kabila na sii ugaidi angekuwakabila jingine ungesemaje? Acha chuki za kikabili utaipasua nchi.Safi sana Dennis Urio kwa kutoa ushirikiano dawa ya gaidi la kichaga ni kulipandikizia michaga myenzie ilifuatilie
We unalalamika unaijua kesi weweeeee[emoji2955]Utawala wa CCM ni aibu ya Afrika kwa Dunia. Ndani ya CCM, inaonekana wafanya maamuzi ni very primitive, siyo wqtu waliostahili kyishi karne hii. Wanaendesha nchi bila kuzingatia sheria, haki za watu na uhuru kwa kiwango ambacho ni aheri hata enzi za Herode na Kayafa.