Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Kuna watu wanatumika vibaya kama dume kondom, atavuna aibu huku waliomtuma wanagonga wine
Huyu Ramadhani si alikuwa HAI na ndie alimwambia Mbowe hawezi kushinda halafu anamtamka mungu kabisa kwa ushahidi wa kudanganya. Kuna wakati unamlaum mungu kwa kulea ujinga kama huu. Huyu shahidi namba mbili alipaswa awe bubu ama kipofu hapo kizimbani
 
Polisi wa Tanzania vichwa maji kabisa.
Yaani huyu rpc kingai anazungumzia mambo ya dawa za kulevia ambayo hayapo kwenye charge shirt?
Yaani hata ufahamu wa kesi waliyoleta mahakani hana halafu eti ndio walimwamini Tanzania nzima amtengenezee Mbowe kesi.
Halafu Luteni kanali wa JwTZ anaripoti kwa mbavu tatu wa polisi.
Huu ni udhalilishaji na ukiukwaji mkubwa wa protocol.
 
Kesi inayoendelea ya Mbowe hairipotiwi na chombo chochote Cha habari nchini na hakuna updates zinatolewa na vyombo vikubwa vya habari isipokuwa akaunti moja ya tweer inayoripoti na vyombo vingine kuchukua taarifa hapo nakuweka kwenye akaunti zao. Katika tasnia ya habari na kwa kuzingatia demokrasia hii Ni ishara ya wazi kwamba vyombo vyetu vya habari havina meno na Wala uongozi wao haupo kwa ajili yakuvisaidia.

Majirani zetu Kenya kesi zote hata zinqzomkabili Rais zinarushwa live ikiwemo TV ya Taifa, watu wanasikia na kuelewa kutoka kwenye midomo ya watuhumiwa,utetezi, serikali na Mahakama na hivyo kuweka usawa- na kuonyesha misingi ya haki.

Tanzania Kama mahakama imezuia waandishi wa habari wakati huo wanataka kuendesha kesi kigitali unajiuliza wanaficha Nini? Kwanini Bunge liruhusu vyombo vya habari, serikali iruhusu lakini chombo Cha haki Kama mahakama kizuie Uhuru wakupata habari? Kama mahakama imeshindwa kuheshimu Uhuru wa kupata habari wanawezaje kusimamia utendaji haki? Kama mahakama inapingana na vifungu vya sheria inawezaje kusimamia mfumo wa utoaji haki?

Hii nifedhea ambayo sijui inalenga Nini? Uwezi kuona vyombo vya habari vimezuiwa vya Nini Wakati watu binafsi wanarekodi na kuandika Kisha kurusha kwa jamii kile kinachoendelea mahakamani?
 
Huyu Ramadhani si alikuwa HAI na ndie alimwambia Mbowe hawezi kushinda halafu anamtamka mungu kabisa kwa ushahidi wa kudanganya. Kuna wakati unamlaum mungu kwa kulea ujinga kama huu. Huyu shahidi namba mbili alipaswa awe bubu ama kipofu hapo kizimbani
Hivi ndiye?
 
Mkuu wataanza msako wawatoe Hawa wanaotupasha habari humo kotini.
 
Chokochoko zenu za katiba mpya ndo zimeleta haya yote, mpewe pesa huko za msaada wenye masharti ya katiba mpya.
 
Nauli mliwapa za kuja na kurudi mahakamani wa anaishi wa Habari?
 
Polisi wa Tanzania vichwa maji kabisa.
Yaani huyu rpc kingai anazungumzia mambo ya dawa za kulevia ambayo hayapo kwenye charge shirt?
Yaani hata ufahamu wa kesi waliyoleta mahakani hana halafu eti ndio walimwamini Tanzania nzima amtengenezee Mbowe kesi.
Halafu Luteni kanali wa JwTZ anaripoti kwa mbavu tatu wa polisi.
Huu ni udhalilishaji na ukiukwaji mkubwa wa protocol.
Director wa movie hii ni Sirro kwa maagizo ya Mteja aitwaye CCM,sina uhakika kama director anao utaalamu lakini kapewa kazi kichwa kichwa akaivagaa bila utafiti na upembuzi.Wanaenda kuangukia pua katika hili na kwenye Royal Tour wana crush again.Ukiwatazama na kuwasikiliza unagundua kuwa wapo desperate and stressed.
 
Huyu Ramadhani si alikuwa HAI na ndie alimwambia Mbowe hawezi kushinda halafu anamtamka mungu kabisa kwa ushahidi wa kudanganya. Kuna wakati unamlaum mungu kwa kulea ujinga kama huu. Huyu shahidi namba mbili alipaswa awe bubu ama kipofu hapo kizimbani
Sidhani kama ndiye mwenyewe! Sura mbona ni tofauti kabisa? Mpaka uchaguzi huyu bwana alikuwa RCO Arusha na yule jamaa aliyemwambia Mbowe kwamba hashindi alikuwa OCD Hai.
 
Polisi wa Tanzania vichwa maji kabisa.
Yaani huyu rpc kingai anazungumzia mambo ya dawa za kulevia ambayo hayapo kwenye charge shirt?
Yaani hata ufahamu wa kesi waliyoleta mahakani hana halafu eti ndio walimwamini Tanzania nzima amtengenezee Mbowe kesi.
Halafu Luteni kanali wa JwTZ anaripoti kwa mbavu tatu wa polisi.
Huu ni udhalilishaji na ukiukwaji mkubwa wa protocol.
Mambo mengine ni aibu. Mamlaka za teuzi zinapaswa kuzingatia elimu na weledi Kwa Viongozi waandamizi wa jeshi la Polisi.
 
Back
Top Bottom