Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Ukifuatilia hao makomandoo wanatoka mikoa ya kusini ambako tuliona ugaidi ukiwa umepamba moto na Chadema kupitia Mbowe waliunga mkono sana harakati zile bungeni na press conference zao hata kuaga askari kibao na magaidi waliouawa hawakutokea kuaga

Mabalozi waweza anza ku connect dots. pia hao commando ni waislamu kama wale waliosumbua mikoa ya kusini na msumbiji
Unatia aibu forum hii,
Andika kabla hujalewa
 
... labda kwa shauri lililoko mahakamani (ugaidi na uhujumu uchumi) madawa ya kulevya waliyokutwa nayo sio vitu muhimu kama ushahidi kwenye shauri hili ndio maana mawakili wasomi ma-genius wa serkali na ofisi nzima ya DCI sijui DPP hawakuviweka kwenye charge sheet! Itakuwa Afande (shahidi) alijisahau tu kuvitaja kwa kwenye kikao chao cha siri walikubaliana madawa ya kulevya yasitajwe! Ha ha ha!
Itabidi aseme vizuri kuhusiana na madawa haya
 
Tuseme wewe hujawai kuliwa namidume tofauti? Hivi unavyoonekana kuwashwa na akili huna kweli usimegwemegwe we we labda siowewe!!
Kesi haihusiani na mapenzi,tumia akili ata za wengine kama huna!!usimwongelee mke wamtu na hajakutuma. Hii kesi inamaslahi kimataifa usijadili kikiherehere
Yote hayo ni adhabu kutoka kwa Mungu kutokana na alichomfanyia mkewe wa ndoa,mkewe wa ujanani. Mwambieni Atubu.
 
Cooking case. Fake maelezo yaani utoke Moshi uje uitwe Dar? Nchi inaenda kuaibika kwa ujinga wa hawa vilaza polisi. Wanaliingiza jeshi kwenye ujinga wa siasa.
Hii kazi ni ngumu sana waachie wenye ujuzi wao waendelee na kawaida.
 
Baba mkwe wangu alishafariki. Na sikuwahi hata kumtamani kipindi akiwa hai. Mungu akusamehe.
 
Mwambieni Mbowe aombe msamaha kwa mke wake. Miaka yote anamcheat mkewe na wanawake wa viti maalum mpaka kuzaa nao. Mungu hafurahi. Ndo maana anapatwa na haya. Walau Lilian ana uhakika mmewe alipo (Jela).Mbowe hapa hachomoki.
Wewe alishakuinamisha na kukushikisha ukuta mala ngapi?
 
Nilikuwa nikiyaheshimu mabandiko yako humu JF lkn Kwa sasa nimekuelewa kumbe nawe hamnazo! Kesi iko Mahakanani sio ustawi wa jamii.
Huwezi nielewa. Muombe Mungu akupe macho ya ndani. Kiukweli kesi ya Mbowe haina kichwa wala miguu. Ndo maana mimi nasema Atubu na amrudie Muumba wake.
 
Back
Top Bottom