USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Kibwagizo mwenzako analialia gerezaniNimependa hicho kibwagizo!Makesi ya kutengeneza ni mzigo wa gunia la msumari kwa mawakili wa Serikali.
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibwagizo mwenzako analialia gerezaniNimependa hicho kibwagizo!Makesi ya kutengeneza ni mzigo wa gunia la msumari kwa mawakili wa Serikali.
Kumbe analengwa "huyu jamaa"?Kumbuka wapo washtakiwa wanne.Unapokuwa na nia ovu lazima utaacha ushahidi tu.Huyu jamaa akichomoa hii kesi anapaswa kwenda kutambika!!!!
Alipanga kumuuwa ole sabayaYaani huyu bwana kukomalia katiba mpya ndo anabambikizwa ugaidi?, madawa ya kulevya?
Wakubwa hawa mnawaundia zengwe, wanyonge inakuwaje jamani?
Alipanga kumuuwa ole sabaya
USSR
Kwani Lowasa alikuwaje mshauri wa Chadema na baadaye kuwa mgombea Chadema wakati ni akiwa CCM?Kwa hiyo huyu shahidi anawajua makomandoo. MBOWE ana miaka mingapi ya uenyekiti mpaka aje aombe makomandoo.kwa RPC?
Kwani tangu lini polisi wakawa washauri wa Mbowe. Yaani ni Mbowe huyu kila siku anapewa makesi ya kubuma.
Ni kweli ile kauli ya awamu hii huchomoki inafanyakazi.
Hata mimi najua sehemu iitwayo RAU eneo ilipo St. MariaGoreth Girls Sec. School na ilipo Keys Hotel ya mjini ya marehemu Filemon Ndesamburo..Nimekaa moshi ... sijui sehemu inaitwa RAO
Ivi wewe kwa akili zako Tanzania inaweza kupambana na magaidi?Ukifuatilia hao makomandoo wanatoka mikoa ya kusini ambako tuliona ugaidi ukiwa umepamba moto na Chadema kupitia Mbowe waliunga mkono sana harakati zile bungeni na press conference zao hata kuaga askari kibao waliouawa na magaidi hawakutokea kuaga
Mabalozi waweza anza ku connect dots. pia hao commando ni waislamu kama wale waliosumbua mikoa ya kusini na msumbiji
Ona alivyoingia king kizembe. Nini kilimtuma kumwamini yule mwanajeshi hata kama ni home boy. Ona sasa alivyomuuza too sad. Hope huyo Denis alikuwa anamrecord. Hapo ndo Mbowe kwisha habari yake.Duh ,Hilo nalo neno hii mikosi kwa mbowe inauma Sasa akamtuma mwanajeshi amtafutie wauaji noma sana
USSR
Sawa!Unajua kuna mashtaka makuu na madogo au umbumbumbu tu unakususmbua
USSR
According to Godbless Lema, CCM wanasema hawajali kama ni mashtaka ya kweli au uongo ila LAZIMA FREEMAN MBOWE AENDE JELA "KIMENOMENO...!!"Nacheka mie hiyo kesi ya ugaidi, I wish siku ya mahojiano na kikeke hangaya asingelizungumzia hili suala litamtia aibu
Hadi uwe na macho ya kiroho ndo ujue kuwa hii kesi isiyokuwa na miguu wala kichwa ni laana kwa Mbowe. Mwambieni Atubu.Kesi ya kubambikiza hiyo hata mwehu anajua na haihusiani na kuachana na mke wake
Imagine. Mungu sasa anampa za uso.Hee mtakatifu m/kiti wa kudumu alkua anakula mbususu ya viti maalum akimuacha mke waake?!
Lisu mwenyewe na Lema walitoroka baada ya kushirikisha akina mama mpango wa kulipua vituo vya mafuta nk akina mama wakasema no watakaoumia ni wanawake wenzetu na watoto wakaripoti kunakohusika. LEMA HANA HAMU NA Tanzania akakimbia akamwambia Lisu tumekwisha akina mama Chadema wamechoma mpango mzima vyombo Vya dola tumekwisha. LISU AKAKIMBILIA UBALOZINI NA MBIO ULAYAOna alivyoingia king kizembe. Nini kilimtuma kumwamini yule mwanajeshi hata kama ni home boy. Ona sasa alivyomuuza too sad. Hope huyo Denis alikuwa anamrecord. Hapo ndo Mbowe kwisha habari yake.
Ona alivyoingia king kizembe. Nini kilimtuma kumwamini yule mwanajeshi hata kama ni home boy. Ona sasa alivyomuuza too sad. Hope huyo Denis alikuwa anamrecord. Hapo ndo Mbowe kwisha habari yake.
Cross examination itakuwa nzuri sana. Ni wazi sasa hii kesi ilikuwa ni project ya ngazi za juu za polisi. Ndio maana hakukuwa na jitihada zozote za polisi katika sehemu zilizotajwa kuweka hata doria, au taarifa kwa vyombo vya usalama kuhusu milipuko mingi na kufungwa njia! Ni kwa sababu jambo lenyewe halikuwepo in the first place!! Sijaelewa kitu kimoja though, huyu askari hawezi kuwa shahidi kwa sababu hakuongea na watuhumiwa wala hakushuhida matukio yaliyokuwa yamepangwa. Ninaona anaelezea tu Polisi walifanya mambo gani. Nasubiri kwa hamu.Kama sio mwanasheria, nenda kasome Sheria, upo vizuri kweli. Na Mimi nitasoma Sheria kwakua Nina mwanga mdogo.