DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Magufuli muuaji alibid achomwe motoAlimtukanaje mkuu??
Kuna kuongea ukwel ukaona alitukanwa , pia Kuna kutoa maneno machafu yaani matusi il kukamilisha kitendo Cha kutukana!
Alimtukana matusi gani mkuu!?
Ila hao makomandoo nao, daah!Makomandoo wanafukuzwa na kuachwa wanadhurula kama mgambo
Hii nchi ina uozo
Alimtukanaje mkuu??
Kuna kuongea ukwel ukaona alitukanwa , pia Kuna kutoa maneno machafu yaani matusi il kukamilisha kitendo Cha kutukana!
Alimtukana matusi gani mkuu!?
Tujikumbushe matusi hayo, sio mpaka niingie Google nakat ukwel unaujua!The Google is in your hand friend
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu.
Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.
MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE
Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.
Chanzo: Watetezi TV
Kwani hawa watu mashtaka yao yanahusu kuacha kazi ya Jeshi? mbona tunapotoshwa hivi, sisi tusubiri huo ushahidi aliotuthibitishia Inspecta Jenerali wa jeshi letu la usalama wetu na mali zetu kwamba hawa watu ni magaidi, hakusema kwamba wanabisha kuwahi kuwa ni waajiriwa wa JWTZ.picha imeungua kivipi kwa hao watu kusema ukweli, watu hufukuzwa kazi kwa sababu mbali mbali, watu wengi wanafahamia, kile tunasubiri ni ushahidi toka kwa dpp ya kuwa walitenda kile wanasitakiwa nacho PERIOD, mengine porojo tu
Serikali wataiachia hii kesi njiani. Mark my words.Hii kesi ni ngumu sana sio rahisi kama baadhi ya watu wanavyoichukulia maana upande wa washitakiwa pia wana Mashahidi ambao pia ni wafanyakazi wa JWTZ…
Embu ngoja tusubili hiyo j5 tuone mambo yatakuwaje…
Tunaendelea na MAOMBI yetu kimya kimya nchi nzima na Mungu wetu Hakika atatujibu MAOMBI yetu kama alivyotujibu Kwa mwendazake. Nuru na Giza haziwezi kukaa pamoja hata siku moja.Mwenyekiti wa chama na genge lake mavi yanagonga chupi. Hata hivyo bado wana nafasi ya kutubu dhambi zao za kumtukana hayati Magufuli ili laana waliyo nayo sasa iwatoke, na hatimae kutusua mfano wa ngamia apenyae kwenye tundu la sindano. Kinyume na hapo mvua nyingi itawaangukia vichwani mwao na inawezekana ikawa life sentence.
Huu pia ni ushirikinaLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
Kesi ndio inasikiliziwa hapo?Mbona nilikuepo mahakamani na awajasema hivyo , acha kuokoteza habari. Leo niliamkia sinza pale school of law nashangaa unapo- post uongo mtu mzima kama wewe.
Makomandoo wanafukuzwa na kuachwa wanadhurula kama mgambo
Hii nchi ina uozo
Mbona tulioshangilia tuko wengi na bado tunaendelea kushangilia na hamna kitu.Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
Hebu acheni ngonjera zenu hapa...Tujikumbushe matusi hayo, sio mpaka niingie Google nakat ukwel unaujua!
Ulikuwa mmoja wa wake za mwenda zake?Mbowe nilikuheshimu sana lkn kumtukana hayati magufuli sitakuhurumia tena
sioni picha yoyote kungua......... wangapi wanaachishwa kazi, wa mabato 1200 unamsemaje? Ni gaidi?Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu.
Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.
MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE
Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.
Chanzo: Watetezi TV
Sema kifo cha shetani mkuuLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.