Kesi ya Mbowe: Picha yaanza kuungua polepole

Kesi ya Mbowe: Picha yaanza kuungua polepole

The Google is in your hand friend
Alimtukanaje mkuu??

Kuna kuongea ukwel ukaona alitukanwa , pia Kuna kutoa maneno machafu yaani matusi il kukamilisha kitendo Cha kutukana!

Alimtukana matusi gani mkuu!?
 
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu.

Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.


MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE

Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.

Chanzo: Watetezi TV

hii inaitwa #KARMA
 
picha imeungua kivipi kwa hao watu kusema ukweli, watu hufukuzwa kazi kwa sababu mbali mbali, watu wengi wanafahamia, kile tunasubiri ni ushahidi toka kwa dpp ya kuwa walitenda kile wanasitakiwa nacho PERIOD, mengine porojo tu
Kwani hawa watu mashtaka yao yanahusu kuacha kazi ya Jeshi? mbona tunapotoshwa hivi, sisi tusubiri huo ushahidi aliotuthibitishia Inspecta Jenerali wa jeshi letu la usalama wetu na mali zetu kwamba hawa watu ni magaidi, hakusema kwamba wanabisha kuwahi kuwa ni waajiriwa wa JWTZ.
Pia alituambia tumuulize Mbowe kama yeye ni malaika au hapana?
 
Mwenyekiti wa chama na genge lake mavi yanagonga chupi. Hata hivyo bado wana nafasi ya kutubu dhambi zao za kumtukana hayati Magufuli ili laana waliyo nayo sasa iwatoke, na hatimae kutusua mfano wa ngamia apenyae kwenye tundu la sindano. Kinyume na hapo mvua nyingi itawaangukia vichwani mwao na inawezekana ikawa life sentence.
Tunaendelea na MAOMBI yetu kimya kimya nchi nzima na Mungu wetu Hakika atatujibu MAOMBI yetu kama alivyotujibu Kwa mwendazake. Nuru na Giza haziwezi kukaa pamoja hata siku moja.
 
Makomandoo wanafukuzwa na kuachwa wanadhurula kama mgambo

Hii nchi ina uozo

Utakuwa umekosea nafikiri ilitakiwa isomeke makamanda wa geshi hata chadema nao huitana makamanda. Neno Komando wa JWTZ lisichukuliwe kimzaha mzaha jamani.
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
Mbona tulioshangilia tuko wengi na bado tunaendelea kushangilia na hamna kitu.

Kufa ni kufa tu yeye keshatangulia akasubiri tu hukumu yake kwa maovu aliyowafanyia watanzania. Alikwepa hukumu ya hapa huko hakukwepeki.
 
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu.

Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.


MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE

Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.

Chanzo: Watetezi TV
sioni picha yoyote kungua......... wangapi wanaachishwa kazi, wa mabato 1200 unamsemaje? Ni gaidi?
 
Hii Ina maana kwamba ukishakuwa komandoo una kila sababu ya kuja kuwa gaidi

Naona serikali inatafuta ugomvi wasiouweza [emoji1787][emoji1787][emoji1]
 
Back
Top Bottom