Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Laana ya kushangilia lissu kupigwa risasi haitokuwa kichwapanziLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laana ya kushangilia lissu kupigwa risasi haitokuwa kichwapanziLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
director abamtaka? tema mate chini mkuuNani katengeneza hii movie?
ukuMwenyekiti wa chama na genge lake mavi yanagonga chupi. Hata hivyo bado wana nafasi ya kutubu dhambi zao za kumtukana hayati Magufuli ili laana waliyo nayo sasa iwatoke, na hatimae kutusua mfano wa ngamia apenyae kwenye tundu la sindano. Kinyume na hapo mvua nyingi itawaangukia vichwani mwao na inawezekana ikawa life sentence.
Acha kucheza na dude linaitwa serika
Ipi hii ya royal terrorism au Royal tour?Nani katengeneza hii movie?
magufuli mmemuua nyie mbww kabisa nyieLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
Dua la kuku.hata wewe ulishangiliaLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
Hawa wanajeshi ndio watakao mkaanga Mbowe,kwani walivunga kulikosea jeshi ili wafukuzwe kisha wakaungana na Mbowe ili kumchota akili na mpango mzima , Mbowe akajaaAcha kucheza na dude linaitwa serikali
rejea chanzo
Watetezitv
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu. Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.
![]()
picha imeungua kivipi kwa hao watu kusema ukweli, watu hufukuzwa kazi kwa sababu mbali mbali, watu wengi wanafahamia, kile tunasubiri ni ushahidi toka kwa dpp ya kuwa walitenda kile wanasitakiwa nacho PERIOD, mengine porojo tu
Umeshasema wamefukuzwa jeshini, sasa kama wameamua kufanya uhalifu baada ya kufukuzwa jeshi linahusikaje?Kuingiza JWTZ kwenye accusations za ugaidi ni kulipa sifa mbaya jeshi letu.
Watu wametumikia jeshi kwa uadilifu mpaka kustaafu halafu mnawauzia msala wa Ugaidi, That is pathetic!
Twasubiri kuuona huo 'ubingwa' wa kubumba na kubambikiza kesi ukiingia maji. AMENBado hujasema bwashee,ngoma nzito hii
Yaonekana we ndio tegemeo lao. Haya twangoja kuja kukusikia ulichobumba badala majigambo kama ya watoto wanaojifunza kuongeaHawa wanajeshi ndio watakao mkaanga Mbowe,kwani walivunga kulikosea jeshi ili wafukuzwe kisha wakaungana na Mbowe ili kumchota akili na mpango mzima , Mbowe akajaa
Na Mimi nimeshangaa sana na Kisha wanachukuliwa kuwa walinzi wa Chama Cha mshindaniMakomandoo wanafukuzwa na kuachwa wanadhurula kama mgambo
Hii nchi ina uozo
Mkuu Pale Ni Law School, Kuna Tofauti Kati Ya School of Law Na Law SchoolMbona nilikuepo mahakamani na awajasema hivyo , acha kuokoteza habari. Leo niliamkia sinza pale school of law nashangaa unapo- post uongo mtu mzima kama wewe.
Kama kuna qanaogurahia kigo Cha magufuli ni watendaji na viongozi wa serikali kwa kauli zao mbalimbali.Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
Yaonekana we ndio tegemeo lao. Haya twangoja kuja kukusikia ulichobumba badala majigambo kama ya watoto wanaojifunza kuongeaHawa wanajeshi ndio watakao mkaanga Mbowe,kwani walivunga kulikosea jeshi ili wafukuzwe kisha wakaungana na Mbowe ili kumchota akili na mpango mzima , Mbowe akajaa
Wajifariji?Mkuu Pale Ni Law School, Kuna Tofauti Kati Ya School of Law Na Law School