Kesi ya Mbowe: Picha yaanza kuungua polepole

Kesi ya Mbowe: Picha yaanza kuungua polepole

Mbona nilikuepo mahakamani na awajasema hivyo , acha kuokoteza habari. Leo niliamkia sinza pale school of law nashangaa unapo- post uongo mtu mzima kama wewe.
Aibu iwe juu yake. Uongo, uongo mtupu. Anajifariji baada yakuona hali inaelekea kinyume na matakwa yake.
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
Kifo chake ilikua halali kabisa mana shetani huwa haishi na ambao sio mashetani,huwezi kua na rais kichaa mwenye file mirembe,muulize dialo atakuambia jamaa alikua kichaa kabisa,ccm oyeer
 
Tunaendelea na MAOMBI yetu kimya kimya nchi nzima na Mungu wetu Hakika atatujibu MAOMBI yetu kama alivyotujibu Kwa mwendazake. Nuru na Giza haziwezi kukaa pamoja hata siku moja.
Mungu wenu yupi? Kama wewe unamuamini Mungu na kumtegemea Mungu kweli fanya vitu ukiwa na uhakika kuwa vinatoka kwa Mungu. Na si kufanya vitu kwa hisia
 
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu.

Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.


MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE

Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.

Chanzo: Watetezi TV
Ninahisi kwa viungo hivi chakula kitakuwa na mboga yenye ladha tamu sana.
 
Mbona tulioshangilia tuko wengi na bado tunaendelea kushangilia na hamna kitu.

Kufa ni kufa tu yeye keshatangulia akasubiri tu hukumu yake kwa maovu aliyowafanyia watanzania. Alikwepa hukumu ya hapa huko hakukwepeki.
Pia tambua Mungu hahukumu kwa kufuata maneno ya mwanadamu. NJIA za Mungu si Kama za mwanadamu. Halafu pia kajifunze kidogo kuhusu habari za Nebukadreza. Ukitaka kujua mawazo ya Mungu muulize Mungu mwenyewe.

6Sasa nimemkabidhi mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babuloni, nchi hizi zote; kadhalika nimempa wanyama wa porini wamtumikie. 7Mataifa yote yatamtumikia yeye, mwanawe na mjukuu wake, mpaka wakati nchi yake itakapoanguka. Kisha mataifa mengi na wafalme wengi watamfanya kuwa mtumwa wao.

Yeremia 27
 
Mbowe nilikuheshimu sana lkn kumtukana hayati magufuli sitakuhurumia tena
Maggufuli anapaswa kuonyeshwa dhambi zake kuwa muuaji kuendesha kimundi cha mauaji dhulumat wa maliza watu rooho mbaya na uchawi wa kuonea watu nadhani mungu amemuonyesha jia ya malucifer
 
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu.

Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.


MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE

Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.

Chanzo: Watetezi TV
Kumbe ni watetezi Tv......irrelevant news source!!!
 
huy
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu.

Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.


MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE

Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.

Chanzo: Watetezi TV
huyu anaitwa Freeman sasa atafungwje alichatoka kabla ya kufungwa jina linambeba
 
Kwani hawa watu mashtaka yao yanahusu kuacha kazi ya Jeshi? mbona tunapotoshwa hivi, sisi tusubiri huo ushahidi aliotuthibitishia Inspecta Jenerali wa jeshi letu la usalama wetu na mali zetu kwamba hawa watu ni magaidi, hakusema kwamba wanabisha kuwahi kuwa ni waajiriwa wa JWTZ.
Pia alituambia tumuulize Mbowe kama yeye ni malaika au hapana?
SIAMINI KAMA SERIKALI INAWEZA KUFUKUZA KAZI MAKOMANDOO WATATU KWA MAKOSA MBALIMBALI.
 
Picha inaungua kwa kasi sana. Cross examination ya mshahidi wa utetezi ambao ndio washtakiwa itakuwa muhimu sana kutoka kwa mawakili wa mashtaka!! Gaidi anasema aliwekewa madawa na bastola. Huku akisema pia kuwa maelezo yalindikwa tu na yeye kusaini tu tena bila kusoma!! Tena baada ya kupigwa na kutesa.

Picha imekuwa ya ajabu sana!!
 
Mwenyekiti wa chama na genge lake mavi yanagonga chupi. Hata hivyo bado wana nafasi ya kutubu dhambi zao za kumtukana hayati Magufuli ili laana waliyo nayo sasa iwatoke, na hatimae kutusua mfano wa ngamia apenyae kwenye tundu la sindano. Kinyume na hapo mvua nyingi itawaangukia vichwani mwao na inawezekana ikawa life sentence.
Laana ya mbowe kumtukana magufuli haitamwacha salama. Watanzania walilia sana magufuli kuaga dunia ila yeye na genge lake wakasherehekea na kunywa vinywaji huku akitengeneza video kumzulia uongo kashfa na kumtukana.
 
Back
Top Bottom