Kesi ya Mbowe: Picha yaanza kuungua polepole

Kesi ya Mbowe: Picha yaanza kuungua polepole

Laana ya mbowe kumtukana magufuli haitamwacha salama. Watanzania walilia sana magufuli kuaga dunia ila yeye na genge lake wakasherehekea na kunywa vinywaji huku akitengeneza video kumzulia uongo kashfa na kumtukana.
Ndoto ya u DED bado inakusumbua.ndo amekufa ivyo
 
Mwenyekiti wa chama na genge lake mavi yanagonga chupi. Hata hivyo bado wana nafasi ya kutubu dhambi zao za kumtukana hayati Magufuli ili laana waliyo nayo sasa iwatoke, na hatimae kutusua mfano wa ngamia apenyae kwenye tundu la sindano. Kinyume na hapo mvua nyingi itawaangukia vichwani mwao na inawezekana ikawa life sentence.
Huyo hayati mwendakuzimu ni mungu asitukanwe!!!
Misukule mnaoabudu binadamu mnatakiwa muombewe usukule uwafunguke.
 
Washitakiwa namba 1,2,3 katika kesi ya Uhujumu uchumi namba 16/2021 inayomkabili Freeman Mbowe wamekubali Kuwa walikuwa waajiriwa wa JWTZ na waliwahi kufanya Kazi kama makomando na baadae kufukuzwa Kazi kwa sababu za kinidhamu.

Pia wamekiri Kuwa wanafahamiana kwani waliwahi kufanya Kazi Pamoja kikosi Cha Ngerengere mkoani Morogoro.


MASHAHIDI WA MBOWE WALINDWE

Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe umesema utatumia mashahidi wafuatao akiwemo aliyewahi Kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, IGP Simon Sirro na Tumaini Chacha ambaye ni mke wa mshitakiwa Hassan Bwire Hassan. Wengine 4 ameomba Mahakama iwalinde Ili asitaje majina au anuani zao.

Chanzo: Watetezi TV
Hujui kitu, kaa kimya.
 
Mwenyekiti wa chama na genge lake mavi yanagonga chupi. Hata hivyo bado wana nafasi ya kutubu dhambi zao za kumtukana hayati Magufuli ili laana waliyo nayo sasa iwatoke, na hatimae kutusua mfano wa ngamia apenyae kwenye tundu la sindano. Kinyume na hapo mvua nyingi itawaangukia vichwani mwao na inawezekana ikawa life sentence.
Dudumizi na usalama WAKO WA Taifa..unaongea matusi. Hebu kuwa Naomi.Angalia mwenendo WA mashitaka unavyokwenda. Acha kuhukumu. Najua nafasi uliyo NAYO ndio inakulevia,ili watu wakometi uje uwateke.
 
Hujui kitu, kaa kimya.
Unataka katiba mpya halafu wakati hata dola huna unanizuia mimi kutumia uhuru wangu wa kutoa maoni kwa mjibu wa katiba- Mkuu tuheshimiane basi.
 
Kuna shida gani ukiwa umewahi fanya kazi na mshakiwa mwenzako.? Mbona hawajaonyesha connection yeyote ya ugaidi hadi sasa
 
Laana ya mbowe kumtukana magufuli haitamwacha salama. Watanzania walilia sana magufuli kuaga dunia ila yeye na genge lake wakasherehekea na kunywa vinywaji huku akitengeneza video kumzulia uongo kashfa na kumtukana.
Magufuli kafaa kwa laana ya kuuwa kutukana wstu hata walewaliomzidi umri kamaakina mpango kabudi maraisi waastafu kama akina kikwete wanafunzi dodoma university wanajeshi mabeyo polisi yuleigp aliyempa ubalozi burundi wanawake na wasichana mabalozi wa nchi za nje kama yule waEu wawekezaji viongozi wa dini na wananchi aliomuamuru sirro awe anatulaza maana atuuwe huyo alaanike. Hukokaburi na kizazi chake chote milele na milele
 
Laana ya mbowe kumtukana magufuli haitamwacha salama. Watanzania walilia sana magufuli kuaga dunia ila yeye na genge lake wakasherehekea na kunywa vinywaji huku akitengeneza video kumzulia uongo kashfa na kumtukana.
Ulilia peke yako, na kwa sababu zako.
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya haitawaacha salama Chadema.
Na ingekuwa kuna kufa zaidi ya maramoja nu bora angekufa tena. Mtu hapatI lá kumwombea mabaya muuaji.
 
Hebu tuambie imeungulia wapi. Maana HAO mabwana zako NDO yanawagonga kwenye chupi. Niambie I niwapi upande WA serekali umenyooka.
 
Mwenyekiti wa chama na genge lake mavi yanagonga chupi. Hata hivyo bado wana nafasi ya kutubu dhambi zao za kumtukana hayati Magufuli ili laana waliyo nayo sasa iwatoke, na hatimae kutusua mfano wa ngamia apenyae kwenye tundu la sindano. Kinyume na hapo mvua nyingi itawaangukia vichwani mwao na inawezekana ikawa life sentence.
hahahaaaaaa
 
Back
Top Bottom