Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Kuna mengine yametokea huko MtwaraJeshi la Polisi halina viongozi wenye weledi. Ni wavuta bangi tu. Acha mvua inyeshe tujue panapovuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mengine yametokea huko MtwaraJeshi la Polisi halina viongozi wenye weledi. Ni wavuta bangi tu. Acha mvua inyeshe tujue panapovuja.
Will tell what?Time will tell...
How idiotic my rulers are, and now shaming themselves in the global public arena. So pathetic !Will tell what?
Eeh?Ndiyo chanzo cha kuhitilafiana na makamo wake, wakitaka kupasha misuli jamaa anasikiliza michongo kupitia Pegasus na ndipo wivu ukamjaa akamfukuza Tiss moja hapo ikulu ambae alikuwa anamega tunda kimasihara
Aisee wanapenda snaa Sifa.Hii kesi ni ushahidi kuwa nchi iko damaged beyond repair. Fikiria IGP na Rais mwenyewe walienda kwenye media kuwaaminisha watu wana ushahidi. Hata akili za kuelewa kwa nini mabalozi wanahudhuria kesi hawana
Na per diem kweli kwelihuku wakiendelea kujipigia perdiem
Sasa kama urio hana ushahidi huo mwingine utatoka wapi.This case should be terminated. Urio hana ushahidi kabisa
Mama alipige chini wanaweza kumwingiza chaka mama ipo siku wataingiza nchi nzima chaka.Kusema kweli jeshi letu ni la kufumua na kulianzisha upya, walimwaminisha 'chifu' ushahidi ni mkubwa na 'chifu' akaiaminisha dunia dunia kitu ambacho sio kweli! aibu tupu
Case closedKesi hii ni fedhea. Ifutwe isiendelee