Kesi ya Mbowe Serikali imeingia kwenye mtego huu iuepuke mapema

Kesi ya Mbowe Serikali imeingia kwenye mtego huu iuepuke mapema

Wakati akiendelea naharakati za katiba mwanza alikuwa na kesi mahakamani,na wenzake walikuwa wameshakamatwa kitambo,aliyebakia alikuwa ni yeye pekee,na hakuwa amekamatwa kwa sababu alikuwa Dubai,hivyo alivyokuja tu akajificha haraka katika mwavuli wa katiba mpya.ili ndio iwe kiongozi.( The man are so intelligent)
Ulivyo mbumbu sasa humbuki wale wenzake walikamatwa lini na yeye alikuwa wapi? Nakukumbusha walikamatwa mwezi AUGUST 2020.Uchaguzi ulikuwa october 2020.Mbowe alikuwa mgombea ubunge jimbo la hai na alishiriki kampeni mwanzo mpaka mwisho kama ni kosa la ugaidi kwanini hakukamatwa kipi hicho.Acha umalaya wa kisiasa
 
Jinga sana we Nyumbu lakutupwa, mlihamasishwa muandamane woote mkanyuti makwenu mnakula ugali tu mkiongozwa na hhuyo DJ Malyenge.
 
Wakati akiendelea naharakati za katiba mwanza alikuwa na kesi mahakamani,na wenzake walikuwa wameshakamatwa kitambo,aliyebakia alikuwa ni yeye pekee,na hakuwa amekamatwa kwa sababu alikuwa Dubai,hivyo alivyokuja tu akajificha haraka katika mwavuli wa katiba mpya.ili ndio iwe kiongozi.( The man are so intelligent)
"The man are so intelligent" - Cpl Hafidh Abdalla.
 
Alikaa zaidi ya mwaka? Point yangu ni kwamba wakati anaondoka kwenda Dubai alikuwa bado hajatuhumiwa ugaidi? Maana kama mpangaji wa ugaidi anaruhusiwa kuzurura wakati wenzake wameshakamatwa huoni hapo kuna walakini?
Na Kingai alijibu chini ya kiapo kuwa Mbowe hakujificha Ila jawakumkamata Kwa kuwa hakuwa Flight threat.
 
Kwanza wanagroup tufahamu nini Ugaidi.
Ugaidi ni matumizi haramu ya nguvu au unyanyasaji dhidi ya watu au mali ili kutishia au kulazimisha serikali au raia wake kutimiza malengo fulani ya kisiasa au kijamii.

Sasa Mbowe aliwahi kufanya kitendo hicho. la hakufanya.
Kwa madai ya Serikali alikuwa anampamgo wa kufanya hayo.
Yaani kushambulia viongozi wa serikali (Ole Sabaya) na kuhujumu mali (vituo vya mafuta), kwa lengo gani? au kutimiza malengo gani?

Kama ni Ole Babaya na kama ni kweli basi hayo nikulipiziana kisasi kwa alivyo mfanyia. Sio Ugaidi.
Kuripua vituo vya mafuta ambavyo sio mali ya serikali kamani kweli madhumuni ni nini? pia hii sio ugaidi sababu hakuna malengo yoyote yaliyotajwa.

Mbowe sio gaidi labda jina jingine.

Hayo ni mawazo yangu.
 
Wakati akiendelea naharakati za katiba mwanza alikuwa na kesi mahakamani,na wenzake walikuwa wameshakamatwa kitambo,aliyebakia alikuwa ni yeye pekee,na hakuwa amekamatwa kwa sababu alikuwa Dubai,hivyo alivyokuja tu akajificha haraka katika mwavuli wa katiba mpya.ili ndio iwe kiongozi.( The man are so intelligent)
Mbona hujamalizia kwamba wenzake wamekatatwa na tayari wamehukumiwa mahakamani?? [emoji12][emoji12]
 
Wakati in Mwalimu mzuri cdm iwekeze Kwa siasa za Watz na sio Wafadhili ... Siasa hainaga adui wa kudumu.. Cdm vaeni maviatu ya Magu
 
Pia tupo wanachadema kwa mamilioni tusipokuwa na kadi za uanachama
 
Wakati in Mwalimu mzuri cdm iwekeze Kwa siasa za Watz na sio Wafadhili ... Siasa hainaga adui wa kudumu.. Cdm vaeni maviatu ya Magu
Unataka wawe makatili na wauaji kama jpm?
 
Wakati akiendelea naharakati za katiba mwanza alikuwa na kesi mahakamani,na wenzake walikuwa wameshakamatwa kitambo,aliyebakia alikuwa ni yeye pekee,na hakuwa amekamatwa kwa sababu alikuwa Dubai,hivyo alivyokuja tu akajificha haraka katika mwavuli wa katiba mpya.
Huu uwongo niliwahi kumsikia mwanamke mnafiki mmoja akimwelezea S. K. was BBC.
 
HAKUKAMATWA KWA SABABU YA KONGAMANO LA KATIBA ONDOA UPOTOSHAJI
Yule Mbowe aliyekamatiwa Mwanza kwenye kongamano la kutaka katiba mpya ni Mbowe tofauti na Mbowe huyu wa kesi ya ugaidi? Hebu badala ya kukanusha ungeeleza alikamatwa akifanya nini na wapi.
 
Yule Mbowe aliyekamatiwa Mwanza kwenye kongamano la kutaka katiba mpya ni Mbowe tofauti na Mbowe huyu wa kesi ya ugaidi? Hebu badala ya kukanusha ungeeleza alikamatwa akifanya nini na wapi.
Usijitoe kufahamu bana
 
Wakati akiendelea naharakati za katiba mwanza alikuwa na kesi mahakamani,na wenzake walikuwa wameshakamatwa kitambo,aliyebakia alikuwa ni yeye pekee,na hakuwa amekamatwa kwa sababu alikuwa Dubai,hivyo alivyokuja tu akajificha haraka katika mwavuli wa katiba mpya.ili ndio iwe kiongozi.( The man are so intelligent)

Duh! “The man are so intelligent”[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom