Feki!!! ,IPO siku nitakuumbua!Ulijisahau siku moja ukaandika kitu kuhusu CHADEMA yale maongezi ulikuwa unayaongea na yule mchumia tumbo mwenzio wa Gazeti la Uhuru ndo nikakugundua vizuri.Jirani feki
Ila kwa sababu gani? Ugaidi? Ujambazi? Uchochezi?HAKUKAMATWA KWA SABABU YA KONGAMANO LA KATIBA ONDOA UPOTOSHAJI
Kumbuka hakuwepo Tanzania kwa kipindi kirefu tu.toka wale wenzake wakamatwe
Wakati akienda dubai na mamlaka zinamruhusu alikuwa gaidi ama alikuwa bado? Wakati anafiwa na kaka ake Chief hangaya anampa Salam za rambirambi alikuwa gaidi au alikuwa bado? Apange ugaidi jambo linalogharimu mataifa miaka na miaka wamwachie tu mwaka mzima eti wanafanya uchunguzi, uchunguzi walokuja kufanya ndo huo wa pistol moja na risasi tatu ndiyo vitafanya matukio yale yooooteKumbuka hakuwepo Tanzania kwa kipindi kirefu tu.toka wale wenzake wakamatwe
.CCM inaungwa mkono na waru wajinga - TWAWEZA.
WanaCCM wengi, hata waliomo humu JF, kwa kiasi kikubwa ni watu wenye akili ndogo, ambao uwezo wao wa kuona mambo unaishia siku moja, mwenye akili kidogo, hazidi zaidi ya mwaka.
Mleta mada umeileta hii kwa kufikiria hata huko CCM kuna watu ambao ni analytical thinkers, wakati ukweli CCM imejaa watu ambao ni low IQ, wenye akili wana unafiki mkubwa. Hakina mtu ambaye ni super intlligent mwenye free thinking capacity ambaye yupo CCM kwa sasa. Hawa wa sasa hawawezi kuelewa chochote, mpaka siku hiyo ifike.
Kaka waliyo iandaa hii kesi ,,lengo kubwa na madhumuni yao ni kumuangusha mama.Najua watamfunga kwa ubavu,,kwa juu juu tu ukiangalia,mpaka sasa haijatajwa wala kudhihirika au viashiria vya mbowe kuwa alikuwa anataka kufanya ugaidi,kilichopo ni silaha kushikwa kwa mshitakiwa mbali na mbowe.Ndio maana Kingai alisema wamemshika na risasi sijui tatu,,Mahita anasema mbili,,,mtaalamu wa kukagua,anatuletea risasi moja na maganda mawili,,Loo,,,kaka Mama wanataka wamuangushe,,mie binafsi yangu,ninavyo mpenda mama,,inaniuma sana,wanamuaminisha kitu ambacho hakipo, NGOJA TUONE NI UPI MWISHO WA HII KESI.Katika jambo kubwa ambalo nafikiri wengi hawaliongelei na hawataki kulielewa huenda labda ni makusudi waone kuna kitu gani mwishoni ni kuhusu mwenendo mzima wa kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa taifa wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe. Kuna mtego mwingine mkubwa kwenye hii kesi na watakaoumia zaidi ni CCM na serikali wanayoongoza. Kwa viongozi wenye kutazama mbali zaidi wangeachana na hii kesi, mwisho wake si mzuri.
Kiukweli kabisa majibu yeyote yale kwenye hukumu ya kesi hii hayataiacha CCM na serikali yake salama kisiasa, labda watolewe kafara watu wachache waliofungua hii kesi ili kuweka balance kwenye mitazamo ya Watanzania.
Maana Mbowe mpaka sasa kila mtanzania hata asiyependa anajua kua alikamatwa kwa sababu ya kongamano la kudai katiba mpya, kwahiyo hata akifungwa ni katiba mpya ndiyo itakayomfanya na siyo ugaidi maana mpaka sasa ushahidi unaotolewa mahakamani unajikanganya na hata hisia za ugaidi hakuna.
Kwahiyo, itaamka ari mpya ya watu kudai katiba mpya na hawataogopa wataona ni bora nao waende jela kama Mbowe, hili vuguvugu litawagawa sana watanzania na hawatazielewa mamlaka. wakifuta mashtaka watakaolaumiwa ni Polisi na serikali kwa ubambikiziaji kesi na itaonekana kwamba suala la katiba mpya ni la msingi ndiyo maana Wanawasumbua wapinzani, kwenye hili atakayepewa umaarufu ni Mbowe na chama chake.
Bado hata Mhe Mbowe akishinda kesi hii itaonekana ni ya uongo na kubambikiwa na kuamsha hasira za wananchi na kuichukia serikali yao. Kwa vyovyote vile matokeo yeyote ya maamuzi ya kesi hii si mazuri, huu mtego ni mbaya labda itafutwe namna nzuri ya kulimaliza bila kuathiri upande wowote. Sasa inaonekana kua taifa liko kwenye mgogoro wa kikatiba kwa sura ya nje na ndani.
Huu mtego kwa Mbowe anahangaishwa kwa sababu ya kudai katiba mpya ni kitu ambacho hakikuwepk tangu nchi hii ipate Uhuru, ngumu sana kuingia akilini kumshtaki kwa tuhuma za ugaidi mtu ambaye hana rekodi zozote za kushiriki mauaji au kitendo chochote cha utovu wa nidhamu. Kwanza ni dhambi mbele za Mungu Mola maana atashusha laana kwa watawala na wahusika wengine.
Kuna wanaodhani kua kesi ya Mbowe ingeweza kuzima vuguvugu la madai ya katiba mpya ambayo ina maslahi kwa watanzania wote lakini wamesahau kua kutajwa tajwa kwa hii kesi ndiyo kunachochea neno Katiba Mpya kutajwa sana maana ndivyo inavyo hukuliwa kua Mbowe ana kesi kwa sababu ya kudai katiba mpya na ugaidi juu yake ni vitu vya kufikirika. Hii kesi ni mtego mkubwa sana kwenye uwajibikaji wa kusimamia shughuli za maendeleo nchini, suala la kisiasa halimalizwi kwa kumweka mtu jela, alikaa sana jela Rais Hichilema wa Zambia, kina Raila Odinga, kina Hayati Mandela kwa kesi za uongo na kutunga lakini walitoka.
Naishauri CCM na serikali watambue kua CHADEMA wana wanachama zaidi ya milioni 8 kwa takwimu zao, hii idadi si ndogo wapime madhara yanayoweza kuwakumba baadaye.
Ni kweli kesi hii ni ya kutunga. Lakini CCM haiwezi kuifuta kesi regardless the athari zake kwa sababu kwa sasa CCM inaongozwa na dhamira kuu tatu:Katika jambo kubwa ambalo nafikiri wengi hawaliongelei na hawataki kulielewa huenda labda ni makusudi waone kuna kitu gani mwishoni ni kuhusu mwenendo mzima wa kesi ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa taifa wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe. Kuna mtego mwingine mkubwa kwenye hii kesi na watakaoumia zaidi ni CCM na serikali wanayoongoza. Kwa viongozi wenye kutazama mbali zaidi wangeachana na hii kesi, mwisho wake si mzuri.
Kiukweli kabisa majibu yeyote yale kwenye hukumu ya kesi hii hayataiacha CCM na serikali yake salama kisiasa, labda watolewe kafara watu wachache waliofungua hii kesi ili kuweka balance kwenye mitazamo ya Watanzania.
Maana Mbowe mpaka sasa kila mtanzania hata asiyependa anajua kua alikamatwa kwa sababu ya kongamano la kudai katiba mpya, kwahiyo hata akifungwa ni katiba mpya ndiyo itakayomfanya na siyo ugaidi maana mpaka sasa ushahidi unaotolewa mahakamani unajikanganya na hata hisia za ugaidi hakuna.
Kwahiyo, itaamka ari mpya ya watu kudai katiba mpya na hawataogopa wataona ni bora nao waende jela kama Mbowe, hili vuguvugu litawagawa sana watanzania na hawatazielewa mamlaka. wakifuta mashtaka watakaolaumiwa ni Polisi na serikali kwa ubambikiziaji kesi na itaonekana kwamba suala la katiba mpya ni la msingi ndiyo maana Wanawasumbua wapinzani, kwenye hili atakayepewa umaarufu ni Mbowe na chama chake.
Bado hata Mhe Mbowe akishinda kesi hii itaonekana ni ya uongo na kubambikiwa na kuamsha hasira za wananchi na kuichukia serikali yao. Kwa vyovyote vile matokeo yeyote ya maamuzi ya kesi hii si mazuri, huu mtego ni mbaya labda itafutwe namna nzuri ya kulimaliza bila kuathiri upande wowote. Sasa inaonekana kua taifa liko kwenye mgogoro wa kikatiba kwa sura ya nje na ndani.
Huu mtego kwa Mbowe anahangaishwa kwa sababu ya kudai katiba mpya ni kitu ambacho hakikuwepk tangu nchi hii ipate Uhuru, ngumu sana kuingia akilini kumshtaki kwa tuhuma za ugaidi mtu ambaye hana rekodi zozote za kushiriki mauaji au kitendo chochote cha utovu wa nidhamu. Kwanza ni dhambi mbele za Mungu Mola maana atashusha laana kwa watawala na wahusika wengine.
Kuna wanaodhani kua kesi ya Mbowe ingeweza kuzima vuguvugu la madai ya katiba mpya ambayo ina maslahi kwa watanzania wote lakini wamesahau kua kutajwa tajwa kwa hii kesi ndiyo kunachochea neno Katiba Mpya kutajwa sana maana ndivyo inavyo hukuliwa kua Mbowe ana kesi kwa sababu ya kudai katiba mpya na ugaidi juu yake ni vitu vya kufikirika. Hii kesi ni mtego mkubwa sana kwenye uwajibikaji wa kusimamia shughuli za maendeleo nchini, suala la kisiasa halimalizwi kwa kumweka mtu jela, alikaa sana jela Rais Hichilema wa Zambia, kina Raila Odinga, kina Hayati Mandela kwa kesi za uongo na kutunga lakini walitoka.
Naishauri CCM na serikali watambue kua CHADEMA wana wanachama zaidi ya milioni 8 kwa takwimu zao, hii idadi si ndogo wapime madhara yanayoweza kuwakumba baadaye.
Nakazi hapa.kumshtaki kwa tuhuma za ugaidi mtu ambaye hana rekodi zozote za kushiriki mauaji au kitendo chochote cha utovu wa nidhamu.
Kwani mbowe kaanza kulilia katiba mpya lini na wakina adamoo wamekamatwa lini?Mbowe na wenzake walikatwa kwa sababu ya kongamano la katiba. Wakiwa mahabusu, wakaanza kuwatafutia mashtaka kwa sababu walijua la kudai katiba, siyo kosa.
Labda uwe na upum.bavu uliopindukia ndiyo unaweza kuwaamini hao wendawazimu walimbamkbikizia Mbowe kesi ya ugaifi, tena kwa namna ya ujinga wa hali ya juu.
Mwenye akili, akiamua kudanganya, uwongo anauweka kwa namna ambayo inaweza kufanana na ukweli. Lakini uwongo wa mwendawazimu, kama huu, kila mmoja, hata mwenye akili kidogo, anajua kuwa ni kesi ya kubambikiziwa.
Wewe wakala wa shetani taja hayo mambo ambayo kajifanyia mwenyewe.mboe anavuna alicho kipanda kwa mikono yake mwenyewe.
hili ndio tatizo la kung'ang'ania nafasi ya uenyekiti kwa muda mrefu, matokeo yake alijisahau na kuanza kujifanyia mambo anayo yataka yy mwenyewe.
Mungu wapige radi majambazi ya NSSFCcm hawasomi alama ishu ya katiba mpya sio ya Mbowe ni watz kumuweka ndani hakuwazuii watz kuidai.
--" Mara hii Mbowe huchomoki-- Tunakupiga ugaidi"--ACP KingaiSema hivi Mbowe alikuwa anatafutiwa kesi muda mrefu Sana. Uimala wa Mbowe na kuimalika kwa Chadema ni tishio kubwa sana kwa watawala na CCM. Kama kweri alikuwa na kesi ya ugaidi mbona jamuhuri inaangaika sana kutoa ushaidi usiokuwa na Shaka mpaka sasa. Ushaidi wa kingai ni kituko, ushaidi wa power kaaya ni ujinga na ushaidi wa koplo Abdallah ni upuuzi mtupu, badala ya Kuja kuonyesha umiliki wa siraha na ndio kitu Kikubwa ktk kesi hii, yeye amekuja na ngonjera yamavipimo ya kijinga kijinga
Umewaamini walioliweka hivyo. Kwa nini usiongeze na za kwako na ukajaribu kulifikiri ukawa na majibu ya kwako, kuliko kuaminishwa na watu wenye maslahi yao ya kisiasa!!??Wakati akiendelea naharakati za katiba mwanza alikuwa na kesi mahakamani,na wenzake walikuwa wameshakamatwa kitambo,aliyebakia alikuwa ni yeye pekee,na hakuwa amekamatwa kwa sababu alikuwa Dubai,hivyo alivyokuja tu akajificha haraka katika mwavuli wa katiba mpya.ili ndio iwe kiongozi.( The man are so intelligent)
(Members sympathy)search..!Umewaamini walioliweka hivyo. Kwa nini usiongeze na za kwako na ukajaribu kulifikiri ukawa na majibu ya kwako, kuliko kuaminishwa na watu wenye maslahi yao ya kisiasa!!??