Kesi ya Mbowe: Shahidi #5 ana nini kipya?

Kesi ya Mbowe: Shahidi #5 ana nini kipya?

Imebidi kujiridhisha mambo kadhaa kwanza:

Amesikika shahidi #5 kwenye kesi hii akijitambulisha kama Fred Kapala (lawyer) japo TLS anasomeka kama Fred Kapara:

View attachment 1996270

Ikumbukwe pia Fred Kapara aliwahi ibuka pia kwenye case almaarufu ya kujiteka kwake bwana Abdul Nondo kama shahidi upande wa mashtaka kutokea Tigo kama hivi hivi.

Fred Kapara anataka mahakama imwamini kuwa hakuwahi kumsikia Freeman Aikael Mbowe popote pale duniani.

Shahidi huyu wa kimkakati tokea Tigo anadai pamoja na kuwapo watu wengine katika legal department hapo Tigo, yeye ndiye aliyepokea barua yenye ombi la kufuatilia nyendo za namba ya Mheshimiwa Mbowe kutokea polisi.

Kwamba pia yeye ndiye aliyelifanyia kazi ombi hilo. Ndiye aliwasilisha maelezo polisi na ndiye aliye kinara leo mahakamani kumkaanga Mh. Mbowe.

Kwa mtaji huu, Fred Kapara ndiye legal team na legal team ndiye yeye pale Tigo.

Kwamba zilitakiwa taarifa za usajili na za miamala ya pesa kutokea kwenye simu hiyo ya Tigo kwa kipindi cha tokea Jun 1 - Jun 31, 2020.

Kama mchezo wa kuigiza vile:

1.June ina siku 30.
2. Mbowe alishambuliwa na watu wasiojulikana 8 Jun 2020 na akaendelea kuwa out of action kwa muda mrefu.
3. Yeye alipeleka taarifa zote alizoweza kupata kuhusu namba hiyo ya Mheshimiwa Mbowe zikiwamo ambazo hakuulizwa.
4. Hapakuwa na kigezo chochote kisheria au kimaadili kilichozingatiwa kwenye utoaji wa taarifa hizo.

Shahidi ambaye kimsingi ni mwana sheria kaonyesha wazi kuwa hana ujuzi wowote na masuala ya kiusalama, kiulinzi wala kiufundi wa mitambo ya mawasiliano.

Pamoja na kupoteza muda mwingi kujaribu kuyaongelea mambo ya kiufundi, shahidi alihitimisha kwa kudai:

1. Ali print kutokea kwenye screen server 😁😁.
2. Shahidi hakuwahi kusikia uwapo DB2 software ambazo leo ni literally obsolete na akafanywa kukubali kuwa ndiyo latest.
3. Shahidi hakuwahi kusikia kuhusu program habari ya mujini ya udukuzi kwenye telecommunications Industry leo ya "Pegasus" wala uwezo wake.
4. Shahidi hajui SQL ni nini. Anafanywa kuamini ni software yenye version.
5. Shahidi hajui kuwa Ernest and Young hawajihusishi na security systems za telecommunications.
6. Hajui kuwa hakuna jargon LINU katika IT.
7. Hajui maana ya server wala aina zake.
8. Anasema Tigo wako secure kwa sababu wana Cisco, kuna firewall na switch ya Huawei.
9. Nk nk

Shahidi kaipotezea mahakama muda mwingi kupitia mambo ya kitalaamu asiyokuwa na ujuzi nayo.

Kwamba Mbowe alituma pesa kwa simu kipindi hicho? Kwani kosa kutuma pesa?

Ikumbukwe pia alicho print anaweza print mtu mwingine yeyote katika format hiyo hiyo bila kuhusianisha na server za Tigo.

Nini thamani ya ushahidi kama huu?
Ukishakuwa unatumika na ccm swala la personal developemnt kwenye taaluma yako unatupa kule cha msingi pesa zao unapiga basi.
 
Hili la kufanya kila jambo mwenyewe pale Tigo ni maajabu ya aina yake, wanatuambia hawana control kabisa ya mambo yanayoendelea?

Mtu mmoja anawezaje kukamilisha jambo lote mwenyewe mpka mwisho?
 
Huyu mtu kaajiriwa kama mwanasheria lakini duties zake ni above and beyond.

Nilitaraji IT ndiyo wahusike na kutoa taarifa kwa kushirikiana na idara ya sheria ili wasitoke kwenye mstari.

Surprisinglt Tigo inapeleka wakili wake training za software mbalimbali ambazo naamini hazimsaidii katika career yake ya sheria.
Alisema alisoma mambo ya computer level ya diploma then akapata vicourse kiasi
 
Imebidi kujiridhisha mambo kadhaa kwanza:

Amesikika shahidi #5 kwenye kesi hii akijitambulisha kama Fred Kapala (lawyer) japo TLS anasomeka kama Fred Kapara:

View attachment 1996270

Ikumbukwe pia Fred Kapara aliwahi ibuka pia kwenye case almaarufu ya kujiteka kwake bwana Abdul Nondo kama shahidi upande wa mashtaka kutokea Tigo kama hivi hivi.

Fred Kapara anataka mahakama imwamini kuwa hakuwahi kumsikia Freeman Aikael Mbowe popote pale duniani.

Shahidi huyu wa kimkakati tokea Tigo anadai pamoja na kuwapo watu wengine katika legal department hapo Tigo, yeye ndiye aliyepokea barua yenye ombi la kufuatilia nyendo za namba ya Mheshimiwa Mbowe kutokea polisi.

Kwamba pia yeye ndiye aliyelifanyia kazi ombi hilo. Ndiye aliwasilisha maelezo polisi na ndiye aliye kinara leo mahakamani kumkaanga Mh. Mbowe.

Kwa mtaji huu, Fred Kapara ndiye legal team na legal team ndiye yeye pale Tigo.

Kwamba zilitakiwa taarifa za usajili na za miamala ya pesa kutokea kwenye simu hiyo ya Tigo kwa kipindi cha tokea Jun 1 - Jun 31, 2020.

Kama mchezo wa kuigiza vile:

1.June ina siku 30.
2. Mbowe alishambuliwa na watu wasiojulikana 8 Jun 2020 na akaendelea kuwa out of action kwa muda mrefu.
3. Yeye alipeleka taarifa zote alizoweza kupata kuhusu namba hiyo ya Mheshimiwa Mbowe zikiwamo ambazo hakuulizwa.
4. Hapakuwa na kigezo chochote kisheria au kimaadili kilichozingatiwa kwenye utoaji wa taarifa hizo.

Shahidi ambaye kimsingi ni mwana sheria kaonyesha wazi kuwa hana ujuzi wowote na masuala ya kiusalama, kiulinzi wala kiufundi wa mitambo ya mawasiliano.

Pamoja na kupoteza muda mwingi kujaribu kuyaongelea mambo ya kiufundi, shahidi alihitimisha kwa kudai:

1. Ali print kutokea kwenye screen server 😁😁.
2. Shahidi hakuwahi kusikia uwapo DB2 software ambazo leo ni literally obsolete na akafanywa kukubali kuwa ndiyo latest.
3. Shahidi hakuwahi kusikia kuhusu program habari ya mujini ya udukuzi kwenye telecommunications Industry leo ya "Pegasus" wala uwezo wake.
4. Shahidi hajui SQL ni nini. Anafanywa kuamini ni software yenye version.
5. Shahidi hajui kuwa Ernest and Young hawajihusishi na security systems za telecommunications.
6. Hajui kuwa hakuna jargon LINU katika IT.
7. Hajui maana ya server wala aina zake.
8. Anasema Tigo wako secure kwa sababu wana Cisco, kuna firewall na switch ya Huawei.
9. Nk nk

Shahidi kaipotezea mahakama muda mwingi kupitia mambo ya kitalaamu asiyokuwa na ujuzi nayo.

Kwamba Mbowe alituma pesa kwa simu kipindi hicho? Kwani kosa kutuma pesa?

Ikumbukwe pia alicho print anaweza print mtu mwingine yeyote katika format hiyo hiyo bila kuhusianisha na server za Tigo.

Nini thamani ya ushahidi kama huu?
Pumbavu mkubwa. Mbowe alishambuliwa?

Mtu ukiwa Hospital huwezi kufanya miamala? Mpuuzi mkubwa. Pumbavu.
 
Alisema alisoma mambo ya computer level ya diploma then akapata vicourse kiasi

Hata level ya Diploma bila shaka ni mwongo. Shahidi ni mweupe pee!

1. Anaambiwa maneno ya ajabu ajabu yasiyo kuwapo (LINU) hana guts za kuyatema makavu makavu ana meza!
2. Hakuna alichomkatalia Kibatala kama jargons za IT ambazo zote zilikuwa 100% wrong!
3. Servers kuna web servers, proxy servers, file servers, mail servers, print servers nk shahidi hajui!
4. Nk.

Huyu bwana angejitendea haki kukiri kuwa alikuwa ni afisa kipenyo sentry Tigo tu.

IMG_20210923_152851_094.jpg


Huyu kama ni mtalaamu aliyekuwa kategemewa basi ni kweli tumesheheni Mazuzu kila mahali.
 
Hii serikali bado haijitambui. Na hili ni tatizo la kuajiri watu walio desa na vyeti vya watu.

Huyu mfanyakazi wa tigo, ni yule yule alie toa taarifa za uongo kuhusu Abdul Nondo kwamba alijiteka. Leo ndie huyo huyo ana sema hamjui Mbowe. Ati mwana sheria halafu anaongea uongo mahakamani.

Huyu muongo ndie Siro ana taka awe shahidi wa serikali na ushahidi wake upokelewe kumtia hatiani Mbowe.
Ndie ambae hatunzi siri za wateja zaidi ya kuzisambaza siri za wateja.
Nashauri tigo wale kichwa chake kwa usalama wa kampuni.
 
Pana haja ya kuyachukulia hatua:

1. Kuyashtaki mahakamani huko huko kwa Siyani
2. Kuachana nayo kama tulivyopiga chini miamala ya simu.
3. Au vyote kwa pamoja.
Nakazia hapo Namba mbili.
Line yangu nimeitoa rasmi jana,nakuitupa.
 
Naambiwa leo ndio Tigo imestuka kwamba kumbe ilikuwa inafanya kazi na wakala wa Tiss

Kwa hiyo kuwa Wakala wa TISS ndiyo kunaondoa credibility ya ushahidi wake Mahakamani?

Hivi ikitokea katika kesi hii wakaletwa pia watu wa Vodacom,Airtel na Hallotel (endapo Mh.Mbowe ana line za hiyo mitandao) bado utawatuhumu na wao pia?

Nadhani ni vema kujielekeza kwa kile alichokitolea ushahidi kama mleta mada alivyojikita katika mada yake na siyo hizi blah blah za Agent wa TISS,hazina msaada sana katika kesi hii.
 
Chandimu mnaweweseka

Yani wanachekesha sana,wanakuja na theories zao kichwani halafu wanazitengenezea matokeo wanayotataka wao,kisha wanacoment hapa. Mwingine kasema huko kuwa MIC hawakuwa na taarifa kama anakwenda kutoa ushahidi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Pumbavu mkubwa. Mbowe alishambuliwa?

Mtu ukiwa Hospital huwezi kufanya miamala? Mpuuzi mkubwa. Pumbavu.
Hasira za nn sasa?? Au baada ya kugundua mlichemsha mahali??? Mkiwa waongo jifunzeni kuwa na kumbukumbu. Yule mwingine kasema alikutana na Mh Longido kumbe wakati huo Mh alikuwa gerezani. Hapo mpumbavu/wapumbavu ni nani/kina nani???
 
Back
Top Bottom