Kesi ya Mbowe: Shahidi #5 ana nini kipya?

Ukishakuwa unatumika na ccm swala la personal developemnt kwenye taaluma yako unatupa kule cha msingi pesa zao unapiga basi.
 
Hili la kufanya kila jambo mwenyewe pale Tigo ni maajabu ya aina yake, wanatuambia hawana control kabisa ya mambo yanayoendelea?

Mtu mmoja anawezaje kukamilisha jambo lote mwenyewe mpka mwisho?
 
Alisema alisoma mambo ya computer level ya diploma then akapata vicourse kiasi
 
Pumbavu mkubwa. Mbowe alishambuliwa?

Mtu ukiwa Hospital huwezi kufanya miamala? Mpuuzi mkubwa. Pumbavu.
 
Alisema alisoma mambo ya computer level ya diploma then akapata vicourse kiasi

Hata level ya Diploma bila shaka ni mwongo. Shahidi ni mweupe pee!

1. Anaambiwa maneno ya ajabu ajabu yasiyo kuwapo (LINU) hana guts za kuyatema makavu makavu ana meza!
2. Hakuna alichomkatalia Kibatala kama jargons za IT ambazo zote zilikuwa 100% wrong!
3. Servers kuna web servers, proxy servers, file servers, mail servers, print servers nk shahidi hajui!
4. Nk.

Huyu bwana angejitendea haki kukiri kuwa alikuwa ni afisa kipenyo sentry Tigo tu.



Huyu kama ni mtalaamu aliyekuwa kategemewa basi ni kweli tumesheheni Mazuzu kila mahali.
 
Hii serikali bado haijitambui. Na hili ni tatizo la kuajiri watu walio desa na vyeti vya watu.

Huyu mfanyakazi wa tigo, ni yule yule alie toa taarifa za uongo kuhusu Abdul Nondo kwamba alijiteka. Leo ndie huyo huyo ana sema hamjui Mbowe. Ati mwana sheria halafu anaongea uongo mahakamani.

Huyu muongo ndie Siro ana taka awe shahidi wa serikali na ushahidi wake upokelewe kumtia hatiani Mbowe.
Ndie ambae hatunzi siri za wateja zaidi ya kuzisambaza siri za wateja.
Nashauri tigo wale kichwa chake kwa usalama wa kampuni.
 
Pana haja ya kuyachukulia hatua:

1. Kuyashtaki mahakamani huko huko kwa Siyani
2. Kuachana nayo kama tulivyopiga chini miamala ya simu.
3. Au vyote kwa pamoja.
Nakazia hapo Namba mbili.
Line yangu nimeitoa rasmi jana,nakuitupa.
 
Naambiwa leo ndio Tigo imestuka kwamba kumbe ilikuwa inafanya kazi na wakala wa Tiss

Kwa hiyo kuwa Wakala wa TISS ndiyo kunaondoa credibility ya ushahidi wake Mahakamani?

Hivi ikitokea katika kesi hii wakaletwa pia watu wa Vodacom,Airtel na Hallotel (endapo Mh.Mbowe ana line za hiyo mitandao) bado utawatuhumu na wao pia?

Nadhani ni vema kujielekeza kwa kile alichokitolea ushahidi kama mleta mada alivyojikita katika mada yake na siyo hizi blah blah za Agent wa TISS,hazina msaada sana katika kesi hii.
 
Chandimu mnaweweseka

Yani wanachekesha sana,wanakuja na theories zao kichwani halafu wanazitengenezea matokeo wanayotataka wao,kisha wanacoment hapa. Mwingine kasema huko kuwa MIC hawakuwa na taarifa kama anakwenda kutoa ushahidi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Pumbavu mkubwa. Mbowe alishambuliwa?

Mtu ukiwa Hospital huwezi kufanya miamala? Mpuuzi mkubwa. Pumbavu.
Hasira za nn sasa?? Au baada ya kugundua mlichemsha mahali??? Mkiwa waongo jifunzeni kuwa na kumbukumbu. Yule mwingine kasema alikutana na Mh Longido kumbe wakati huo Mh alikuwa gerezani. Hapo mpumbavu/wapumbavu ni nani/kina nani???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…