Kesi ya Mbowe; Umejifunza nini kipya?

Manka ni mtoto wa kike...

Sasa jibu swali umefanikiwa kuacha ushoga au bado wewe ni shoga?
Sorry James delicious mi Nina mke sidili na machoko [emoji23][emoji1787]
 
Nimejifunza umuhimu wa kutetea ugali wangu kwa hali yoyote
 
Jeshi linahusika .
Haiwezikani makomandoo wenu wateswe na wao wanakaa bila ys kusema.chochote.
Wakati huohuo walioteswa walinyimwa hata malipo yao wakati walipatwa na matatizo wakiwa kazini.

Pamoja na kunyimwa malipo yao wameamua kujitafutia riziki kwa njia zingine bado wanateswa.
Hii nchi inamatatizo sana.

Police akina kingai wasingeweza kufanya haya kwa makomandoo hawa kama wasinge pewa baraka za jwtz.
 
Bado nafikiria kuhusu wale makomandoo....
 
Nilijua JWTZ ni kubwa la mapolisi kumbe sijui tena...
Bz Polisi wanadeal na raia moja kwa moja kwenye maisha ya kila siku.Ndo' maana unawaona wakuu!
Lakini wakina Goodluck,Kingai hawa apiga pushapu kwenye godoro.
 
Hasante Kwa ukumbusho "Kujikwaa ni ukumbusho wa kukufika usiyoyatarajia; kujing'ata ulimi ni ajali isiyoepukika."
 
1. Kaingai , Mahita,Godluck ,Azizi ni watari
2.Marehemu alikuwa na genge la watari Bashite ,Sabaya and mentioned above
3.Mama anajaribu kufuta kauli yake yakusema yeye na Mbenge walikuwa kitu kimoja baada yakugundua aliendeleza uchaufu wa upelelezi wa watari feki hadi kwenda BBC kujaribu kujustify yeye ni kitu kimoja na mbenge
4.Zero nayeye PGO haijuwi ndiomana wale majunior wake walivuka hadi kukamatwa Malawi
5.CCM bila Wakina Kaingai ni mavi tuu
6.n.k
 
Sasa nimeelewa vizuri kwanini Waziri wa Mambo ya Ndani Mh. Simbachawene alisema "Jeshi la Polisi linaajiri waliofeli shuleni, halitaki waliofaulu vizuri!"
 
Jambo kubwa ni kujulikana kwa wauaji , watekaji na wasiojulikana
 
Nimegundua kuwa polisi siyo watu wazuri kwa raia.
Nimewagundua kingai, mahita jumanne na gudluck wana roho mbaya kuliko hata shetwain bin ibilis! Pia kwenye utoaji roho ni zaid hata ya zirail! Pia nimegundua media zetu ni za kishamba sana hasa zinazojiita za kichunguz! Zipo mstar wa mbele kuchunguza njaa na umbea wa kina nape ,zito nk lakin kuna binadam mmoja moses lijenje amepotezwa na kina kingai na wala hazitafuti habar zake even kwenda kuhoji familia yake kujua tu huyu mtu yupo wapi na tips za huyu mtu kuwa ametendwa zimetajwa na wenzie mahakamani. Nimegundua pia sisi pia humu ni maboya kwan tumebaki kulaan tu na kusikitika tumeshindwa hata kuanzisha hashtag ya #kingaibringbackourlcomandoijenje
 
Nimejifunza hatuna wakuu wa vyombo wanaona kesho ya Tanzania, waliopo wamelewa chama Tawala, wanawaza penahenina uteuzi, wanawaza namna yakufanya michongo familia zao zizidi kueemeka. Wanawaza fadhila maana walipewa hizo nafasi bila sifa hivyo wanaogopa kuzipoteza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…