Umesikika ushahidi wa Cpl. Hafidh Abdallah (shahidi #3) kutokea Police Forensic Bureau, Dar es Salaam.
Shahidi anadai alipokea bastola moja, risasi tatu na barua yenye maelekezo kutokea office ya DCI.
Kwenye taarifa yake rasmi shahidi anasema:
Yaani ameshiriki kwenye kukagua na kutambua silaha za moto, milipuko, maganda ya risasi, risasi zilizo tumika na vifaa vya kufanyia kazi vijavyo dhaniwa kutumika kwenye matukio ya uhalifu kwa miaka 10 sasa."
Hata hivyo shahidi akawasilisha mahakamani peke yake bastola 1, risasi 1, maganda 2, na risasi 2 zilizotumika pamoja na ripoti yake.
Shahidi huyu:
1. Hana barua iliyotoka kwa DCI yenye kuonyesha alipewa nini na alitakiwa kufanya nini?
2. Orodha ya vitu alivyofanyia utambuzi na ukaguzi ni kubwa kuliko aliyowasilisha mahakamani.
3. Shahidi haonyeshi nyaraka yoyote kwanini alikabidhiwa risasi 3 naye kawasilisha risasi 1.
4. Shahidi haonyeshi popote ushahidi wake unahusiana vipi na mshitakiwa yeyote.
Hata kama hukumu zinatolewa kwa kuzingatia maelezo ya upande wa mashtaka peke yake:
Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri
Ni nini thamani ya ushahidi wa Cpl. Hafidh Abdallah Mohammed?
Shahidi anadai alipokea bastola moja, risasi tatu na barua yenye maelekezo kutokea office ya DCI.
Kwenye taarifa yake rasmi shahidi anasema:
Yaani ameshiriki kwenye kukagua na kutambua silaha za moto, milipuko, maganda ya risasi, risasi zilizo tumika na vifaa vya kufanyia kazi vijavyo dhaniwa kutumika kwenye matukio ya uhalifu kwa miaka 10 sasa."
Hata hivyo shahidi akawasilisha mahakamani peke yake bastola 1, risasi 1, maganda 2, na risasi 2 zilizotumika pamoja na ripoti yake.
Shahidi huyu:
1. Hana barua iliyotoka kwa DCI yenye kuonyesha alipewa nini na alitakiwa kufanya nini?
2. Orodha ya vitu alivyofanyia utambuzi na ukaguzi ni kubwa kuliko aliyowasilisha mahakamani.
3. Shahidi haonyeshi nyaraka yoyote kwanini alikabidhiwa risasi 3 naye kawasilisha risasi 1.
4. Shahidi haonyeshi popote ushahidi wake unahusiana vipi na mshitakiwa yeyote.
Hata kama hukumu zinatolewa kwa kuzingatia maelezo ya upande wa mashtaka peke yake:
Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri
Ni nini thamani ya ushahidi wa Cpl. Hafidh Abdallah Mohammed?