Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa CPL. Abdallah ni Upi?

Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa CPL. Abdallah ni Upi?

huyo shahidi kazi yakesiyo kujuwa hiyo bastora imetumika kufanya nini kwa sababu kaletewa afanye uchunguzi wa silaha siyo kujuwa ina au ime tumika kufanya nini kwakuwa hakuwepo kwenye matukoo yote na yeye ni mtu wa ofisini tu wa kutambua hiyo ni silaha kweli na hizo ni risasi kweli na mambo mengine ni sawa na amkemia umpelekee madawa achunguze halafu uje umuulize kuwa je huyo aliyekamatwa nayo anahusika au hahusiki siyo kazi yake mbowe atanyooka tu nyie ukosoeni ushahidi tu
Umeandika nini tena
 
huyo shahidi kazi yakesiyo kujuwa hiyo bastora imetumika kufanya nini kwa sababu kaletewa afanye uchunguzi wa silaha siyo kujuwa ina au ime tumika kufanya nini kwakuwa hakuwepo kwenye matukoo yote na yeye ni mtu wa ofisini tu wa kutambua hiyo ni silaha kweli na hizo ni risasi kweli na mambo mengine ni sawa na amkemia umpelekee madawa achunguze halafu uje umuulize kuwa je huyo aliyekamatwa nayo anahusika au hahusiki siyo kazi yake mbowe atanyooka tu nyie ukosoeni ushahidi tu
... connect maelezo yako na title ya ripoti yake; "CONSIPARANCY to commit TERROLIST". Kwamba ameletewa achunguze tu "bila kujua hiyo bastola imetumika kufanya nini"! Unachekesha wewe!
 
hukumu itakapotoka ndiyo mtaanza kumuheshimu nyie mnangeni mnavyotaka kwa sasa

Tangu lini ulisikia tuliwekeza kwenye hisani za watu wenu na katika ubinafsi wao?

IMG_20211021_190628_385.jpg


Kwani hatujui waasisi wa kesi na hukumu hizi za kubambikiziana wachawi wenyewe ni ninyi?

Kama CCM siyo adui, mchawi wetu ni nani?

Hiiiiii bagosha!
 
Title na aya ya kwanza vinahusika:

View attachment 1991679

Within the curable errors za ACP Kingai, wakili msomi Malya ana hoja nzito:

"Yawezekana shahidi na exhibits zake ni kwa ajili kesi nyingine, siyo hii."

Ndiyo maana utopolo wote aliokuja nao, haumhusu mtu yeyote kwenye kesi hii.
Yote tisa, funga kazi ni heading,... TO COMMIT TERRORIST. Hivi ni lazima kuandika kingereza?
 
... nchi hii kuna majitu majinga sana yaliyokalia ofisi za umma Mkuu! Halafu huyo kilaza (niliyem-quote) kaandika maelezo mareefu utadhani kuna "something material" kumbe upumbavu mtupu!

Hao ndiyo wanayojinasibu kwenye kutuendeshea nchi wakiwa na ujasiri wa kuingilia hata sekta binafsi.

Angalia ATCL, TTCL, TRC, Tanesco, TPA, Tanroads, nk. Wapi kuna nafuu?

Ni bungeni, mahakamani, polisi, wizarani au wapi penye unafuu?

Wana nini cha kumwambia nani hawa kuhusu haki, usawa, ustawi, morals, etc, let alone ideas?
 
Mkuu Simbachawene alisema required maximum qualifications for police applicants ni Division IV (not less than 30 points):

Waziri Simbachawene, nadhani umeshapata jibu kuwa Jeshi la Polisi siyo "dumping site" ya" failures"

Tutegemee nini zaidi kwenye mazingira hayo [emoji16][emoji16]?
Hukumwelewa Simbamwenyewe. Alisema f4f wanao ajiriwa watakuwa na kazi ya kukamata tu, na hawatapanda vyeo. Naamini hawa ni maalum kuwa idara ya ffu ufuatiliaji wa mifugo ilio ibiwa.
 
Umesikika ushahidi wa Cpl. Hafidh Abdallah (shahidi #3) kutokea Police Forensic Bureau, Dar es Salaam.

Shahidi anadai alipokea bastola moja, risasi tatu na barua yenye maelekezo kutokea office ya DCI.

Kwenye taarifa yake rasmi shahidi anasema:

View attachment 1991648

Yaani ameshiriki kwenye kukagua na kutambua silaha za moto, milipuko, maganda ya risasi, risasi zilizo tumika na vifaa vya kufanyia kazi vijavyo dhaniwa kutumika kwenye matukio ya uhalifu kwa miaka 10 sasa."

Hata hivyo shahidi akawasilisha mahakamani peke yake bastola 1, risasi 1, maganda 2, na risasi 2 zilizotumika pamoja na ripoti yake.

Shahidi huyu:

1. Hana barua iliyotoka kwa DCI yenye kuonyesha alipewa nini na alitakiwa kufanya nini?

2. Orodha ya vitu alivyofanyia utambuzi na ukaguzi ni kubwa kuliko aliyowasilisha mahakamani.

3. Shahidi haonyeshi nyaraka yoyote kwanini alikabidhiwa risasi 3 naye kawasilisha risasi 1.

4. Shahidi haonyeshi popote ushahidi wake unahusiana vipi na mshitakiwa yeyote.

Hata kama hukumu zinatolewa kwa kuzingatia maelezo ya upande wa mashtaka peke yake:

Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri

Ni nini thamani ya ushahidi wa Cpl. Hafidh Abdallah Mohammed?
Ushahidi wa Cpl Abdalla ni muhimu kuonesha msh #2 alikutwa na silaha ili mzima inayoweza kuua ili kuishawishi Mahakama iamini watuhumiwa walijiandaa kufanya uhalifu.
Lakini katika kesi nzito kama hii Cpl Abdalla anatakiwa kupewa nafasi ndogo Sana siyo kumfanya SHAHIDI tegemeo.
Kwa kujiona SHAHIDI wa kutegemewa Sana Cpl Abdalla kaamua kutumia nafasi hiyo kuonesha ujuzi wa kucheza na lugha kumbe ndo anaharibu kabisa. Pili kitendo cha Cpl Abdalla kuharibu vielelezo Kwa lengo la kuviboresha kunaleta uharibifu wa lengo la kuitwa kwake. Umekamatwa na biskuti za wizi boksi 3, zinapelekwa Mamlaka ya chakula na dawa kuthibitisha. Wao wanakula boksi 2 halafu mahakamani wanaleta boksi tupu 2 na moja yenye biskuti kama vielelezo wakati Hati ya mashtaka inasema kitu kingine? Kama ingekuwa ni kielelezo kinachoharibika kama Nyanya sawa, lakini unaharibu risasi halafu unataka ziendelee kuwa vielelezo? Angesema huko maabara Yao kuna mitambo ya kupima risasi na bunduki Nani angembishia? Any way haya yote wa kulaumu ni Kingai aliyemdanganya Sirro kwamba ameshaandaa ushahidi feki wa kutosha Mbowe hachomoki, na yeye akatoka hadharani kututambia akisema tunadhani "Mbowe ni mungu" japo hatujawahi kusema hivyo tunajua ni binadamu anaweza kufanya uhalifu lakini si huu wa kutunga. Hii aibu imfikie Sirro kokote aliko na kupekea kumlisha MAMA Matangopori eti kuna wenzake na Mbowe walishafungwa Kwa kesi hiyo hiyo.
 
Hukumwelewa Simbamwenyewe. Alisema f4f wanao ajiriwa watakuwa na kazi ya kukamata tu, na hawatapanda vyeo. Naamini hawa ni maalum kuwa idara ya ffu ufuatiliaji wa mifugo ilio ibiwa.

Si kuwa hao ndiyo watakuwa wale mifugo wenyewe sasa 😁😁?
 
... Aya ya Kwanza; kwa miaka 10 amekuwa mtaalamu wa utambuzi wa zana zilizohisiwa kutumika kwenye uhalifu ingawa namna alivyoandika inaweza pia kutafsiriwa as if amekuwa mtaalamu wa zana zilizotumika kwenye uhalifu kwa miaka 10. Huyu inaelekea kwenye somo la "Sentence Structure" hakuwa darasani huyu!

Kwa ripoti muhimu kama hii (ya ugaidi) huwezi kujiandikia andikia tu! Kila herufi, kila neno, kila sentensi, kila paragraph lazima vioane na vijenge context yenye mashiko; isiyoacha utata wa aina yoyote ile. Walishindwa kum-consult editor mtaalamu akawasaidia ku-edit? Au editor naye ndio hivyo?
Mkuu. Rejea majibu ya waziri Simba sifa za kuajiri Kada hii , nmetembelea vituo vingi..sentensi nyingi hua znakua na Makosa mengi. Kule vyeo ni jinsi ulivokatili ndy hupanda. Kusoma sio kipaimbele chao!!
 
... connect maelezo yako na title ya ripoti yake; "CONSIPARANCY to commit TERROLIST". Kwamba ameletewa achunguze tu "bila kujua hiyo bastola imetumika kufanya nini"! Unachekesha wewe!
Mahakimu na majaji wanatakiwa wawe ni wazoefu wa utani na mizaha, vinginevyo kila mara wangekuwa ni wa kuangua vicheko mahakamani.
 
Ushahidi wa Cpl Abdalla ni muhimu kuonesha msh #2 alikutwa na silaha ili mzima inayoweza kuua ili kuishawishi Mahakama iamini watuhumiwa walijiandaa kufanya uhalifu.
Lakini katika kesi nzito kama hii Cpl Abdalla anatakiwa kupewa nafasi ndogo Sana siyo kumfanya SHAHIDI tegemeo.
Kwa kujiona SHAHIDI wa kutegemewa Sana Cpl Abdalla kaamua kutumia nafasi hiyo kuonesha ujuzi wa kucheza na lugha kumbe ndo anaharibu kabisa. Pili kitendo cha Cpl Abdalla kuharibu vielelezo Kwa lengo la kuviboresha kunaleta uharibifu wa lengo la kuitwa kwake. Umekamatwa na biskuti za wizi boksi 3, zinapelekwa Mamlaka ya chakula na dawa kuthibitisha. Wao wanakula boksi 2 halafu mahakamani wanaleta boksi tupu 2 na moja yenye biskuti kama vielelezo wakati Hati ya mashtaka inasema kitu kingine? Kama ingekuwa ni kielelezo kinachoharibika kama Nyanya sawa, lakini unaharibu risasi halafu unataka ziendelee kuwa vielelezo? Angesema huko maabara Yao kuna mitambo ya kupima risasi na bunduki Nani angembishia? Any way haya yote wa kulaumu ni Kingai aliyemdanganya Sirro kwamba ameshaandaa ushahidi feki wa kutosha Mbowe hachomoki, na yeye akatoka hadharani kututambia akisema tunadhani "Mbowe ni mungu" japo hatujawahi kusema hivyo tunajua ni binadamu anaweza kufanya uhalifu lakini si huu wa kutunga. Hii aibu imfikie Sirro kokote aliko na kupekea kumlisha MAMA Matangopori eti kuna wenzake na Mbowe walishafungwa Kwa kesi hiyo hiyo.

Hadi hapa si bunduki wala risasi alizopewa Cpl. Abdallah wala alizowasilishwa mahakamani zinaweza kufungamanishwa na mshitakiwa yeyote pasipo kuwa na kuacha shaka yoyote.
 
... connect maelezo yako na title ya ripoti yake; "CONSIPARANCY to commit TERROLIST". Kwamba ameletewa achunguze tu "bila kujua hiyo bastola imetumika kufanya nini"! Unachekesha wewe!

Kwa title hii ya ripoti, pamoja na hayo Kingai anaita 'curable mistakes'…. inaonesha wazi mchunguzi wa silaha alikuwa tayari anajua kuhusu UGAIDI.!
 
Back
Top Bottom