Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Umeandika nini tenahuyo shahidi kazi yakesiyo kujuwa hiyo bastora imetumika kufanya nini kwa sababu kaletewa afanye uchunguzi wa silaha siyo kujuwa ina au ime tumika kufanya nini kwakuwa hakuwepo kwenye matukoo yote na yeye ni mtu wa ofisini tu wa kutambua hiyo ni silaha kweli na hizo ni risasi kweli na mambo mengine ni sawa na amkemia umpelekee madawa achunguze halafu uje umuulize kuwa je huyo aliyekamatwa nayo anahusika au hahusiki siyo kazi yake mbowe atanyooka tu nyie ukosoeni ushahidi tu
... connect maelezo yako na title ya ripoti yake; "CONSIPARANCY to commit TERROLIST". Kwamba ameletewa achunguze tu "bila kujua hiyo bastola imetumika kufanya nini"! Unachekesha wewe!huyo shahidi kazi yakesiyo kujuwa hiyo bastora imetumika kufanya nini kwa sababu kaletewa afanye uchunguzi wa silaha siyo kujuwa ina au ime tumika kufanya nini kwakuwa hakuwepo kwenye matukoo yote na yeye ni mtu wa ofisini tu wa kutambua hiyo ni silaha kweli na hizo ni risasi kweli na mambo mengine ni sawa na amkemia umpelekee madawa achunguze halafu uje umuulize kuwa je huyo aliyekamatwa nayo anahusika au hahusiki siyo kazi yake mbowe atanyooka tu nyie ukosoeni ushahidi tu
hukumu itakapotoka ndiyo mtaanza kumuheshimu nyie mnangeni mnavyotaka kwa sasa
... connect maelezo yako na title ya ripoti yake; "CONSIPARANCY to commit TERROLIST". Kwamba ameletewa achunguze tu "bila kujua hiyo bastola imetumika kufanya nini"! Unachekesha wewe!
mtakuja kuwak
umbuka hao muda si mrefu ngoja waje mashahidi waishe bado sana mtakuja kuona thamani yao hao
... nchi hii kuna majitu majinga sana yaliyokalia ofisi za umma Mkuu! Halafu huyo kilaza (niliyem-quote) kaandika maelezo mareefu utadhani kuna "something material" kumbe upumbavu mtupu!Hahaahaaa wenyewe wanaita curable errors.
Bure kabisa!
Yote tisa, funga kazi ni heading,... TO COMMIT TERRORIST. Hivi ni lazima kuandika kingereza?Title na aya ya kwanza vinahusika:
View attachment 1991679
Within the curable errors za ACP Kingai, wakili msomi Malya ana hoja nzito:
"Yawezekana shahidi na exhibits zake ni kwa ajili kesi nyingine, siyo hii."
Ndiyo maana utopolo wote aliokuja nao, haumhusu mtu yeyote kwenye kesi hii.
... nchi hii kuna majitu majinga sana yaliyokalia ofisi za umma Mkuu! Halafu huyo kilaza (niliyem-quote) kaandika maelezo mareefu utadhani kuna "something material" kumbe upumbavu mtupu!
Hukumwelewa Simbamwenyewe. Alisema f4f wanao ajiriwa watakuwa na kazi ya kukamata tu, na hawatapanda vyeo. Naamini hawa ni maalum kuwa idara ya ffu ufuatiliaji wa mifugo ilio ibiwa.Mkuu Simbachawene alisema required maximum qualifications for police applicants ni Division IV (not less than 30 points):
Waziri Simbachawene, nadhani umeshapata jibu kuwa Jeshi la Polisi siyo "dumping site" ya" failures"
Tutegemee nini zaidi kwenye mazingira hayo [emoji16][emoji16]?
Ushahidi wa Cpl Abdalla ni muhimu kuonesha msh #2 alikutwa na silaha ili mzima inayoweza kuua ili kuishawishi Mahakama iamini watuhumiwa walijiandaa kufanya uhalifu.Umesikika ushahidi wa Cpl. Hafidh Abdallah (shahidi #3) kutokea Police Forensic Bureau, Dar es Salaam.
Shahidi anadai alipokea bastola moja, risasi tatu na barua yenye maelekezo kutokea office ya DCI.
Kwenye taarifa yake rasmi shahidi anasema:
View attachment 1991648
Yaani ameshiriki kwenye kukagua na kutambua silaha za moto, milipuko, maganda ya risasi, risasi zilizo tumika na vifaa vya kufanyia kazi vijavyo dhaniwa kutumika kwenye matukio ya uhalifu kwa miaka 10 sasa."
Hata hivyo shahidi akawasilisha mahakamani peke yake bastola 1, risasi 1, maganda 2, na risasi 2 zilizotumika pamoja na ripoti yake.
Shahidi huyu:
1. Hana barua iliyotoka kwa DCI yenye kuonyesha alipewa nini na alitakiwa kufanya nini?
2. Orodha ya vitu alivyofanyia utambuzi na ukaguzi ni kubwa kuliko aliyowasilisha mahakamani.
3. Shahidi haonyeshi nyaraka yoyote kwanini alikabidhiwa risasi 3 naye kawasilisha risasi 1.
4. Shahidi haonyeshi popote ushahidi wake unahusiana vipi na mshitakiwa yeyote.
Hata kama hukumu zinatolewa kwa kuzingatia maelezo ya upande wa mashtaka peke yake:
Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri
Ni nini thamani ya ushahidi wa Cpl. Hafidh Abdallah Mohammed?
Hukumwelewa Simbamwenyewe. Alisema f4f wanao ajiriwa watakuwa na kazi ya kukamata tu, na hawatapanda vyeo. Naamini hawa ni maalum kuwa idara ya ffu ufuatiliaji wa mifugo ilio ibiwa.
Mkuu. Rejea majibu ya waziri Simba sifa za kuajiri Kada hii , nmetembelea vituo vingi..sentensi nyingi hua znakua na Makosa mengi. Kule vyeo ni jinsi ulivokatili ndy hupanda. Kusoma sio kipaimbele chao!!... Aya ya Kwanza; kwa miaka 10 amekuwa mtaalamu wa utambuzi wa zana zilizohisiwa kutumika kwenye uhalifu ingawa namna alivyoandika inaweza pia kutafsiriwa as if amekuwa mtaalamu wa zana zilizotumika kwenye uhalifu kwa miaka 10. Huyu inaelekea kwenye somo la "Sentence Structure" hakuwa darasani huyu!
Kwa ripoti muhimu kama hii (ya ugaidi) huwezi kujiandikia andikia tu! Kila herufi, kila neno, kila sentensi, kila paragraph lazima vioane na vijenge context yenye mashiko; isiyoacha utata wa aina yoyote ile. Walishindwa kum-consult editor mtaalamu akawasaidia ku-edit? Au editor naye ndio hivyo?
Mkuu Simbachawene alisema required maximum qualifications for police applicants ni Division IV (not less than 30 points):
Waziri Simbachawene, nadhani umeshapata jibu kuwa Jeshi la Polisi siyo "dumping site" ya" failures"
Tutegemee nini zaidi kwenye mazingira hayo [emoji16][emoji16]?
Mahakimu na majaji wanatakiwa wawe ni wazoefu wa utani na mizaha, vinginevyo kila mara wangekuwa ni wa kuangua vicheko mahakamani.... connect maelezo yako na title ya ripoti yake; "CONSIPARANCY to commit TERROLIST". Kwamba ameletewa achunguze tu "bila kujua hiyo bastola imetumika kufanya nini"! Unachekesha wewe!
Ushahidi wa Cpl Abdalla ni muhimu kuonesha msh #2 alikutwa na silaha ili mzima inayoweza kuua ili kuishawishi Mahakama iamini watuhumiwa walijiandaa kufanya uhalifu.
Lakini katika kesi nzito kama hii Cpl Abdalla anatakiwa kupewa nafasi ndogo Sana siyo kumfanya SHAHIDI tegemeo.
Kwa kujiona SHAHIDI wa kutegemewa Sana Cpl Abdalla kaamua kutumia nafasi hiyo kuonesha ujuzi wa kucheza na lugha kumbe ndo anaharibu kabisa. Pili kitendo cha Cpl Abdalla kuharibu vielelezo Kwa lengo la kuviboresha kunaleta uharibifu wa lengo la kuitwa kwake. Umekamatwa na biskuti za wizi boksi 3, zinapelekwa Mamlaka ya chakula na dawa kuthibitisha. Wao wanakula boksi 2 halafu mahakamani wanaleta boksi tupu 2 na moja yenye biskuti kama vielelezo wakati Hati ya mashtaka inasema kitu kingine? Kama ingekuwa ni kielelezo kinachoharibika kama Nyanya sawa, lakini unaharibu risasi halafu unataka ziendelee kuwa vielelezo? Angesema huko maabara Yao kuna mitambo ya kupima risasi na bunduki Nani angembishia? Any way haya yote wa kulaumu ni Kingai aliyemdanganya Sirro kwamba ameshaandaa ushahidi feki wa kutosha Mbowe hachomoki, na yeye akatoka hadharani kututambia akisema tunadhani "Mbowe ni mungu" japo hatujawahi kusema hivyo tunajua ni binadamu anaweza kufanya uhalifu lakini si huu wa kutunga. Hii aibu imfikie Sirro kokote aliko na kupekea kumlisha MAMA Matangopori eti kuna wenzake na Mbowe walishafungwa Kwa kesi hiyo hiyo.
aliyeweka sera ya kuajiri polisi walioishia div 4 anatumia nini kufikiri.
Yote tisa, fungal kazi ni heading,... TO COMMIT TERRORIST. Hivi ni lazima kuandika kingereza?
... connect maelezo yako na title ya ripoti yake; "CONSIPARANCY to commit TERROLIST". Kwamba ameletewa achunguze tu "bila kujua hiyo bastola imetumika kufanya nini"! Unachekesha wewe!