Dots zipo. Bado hujaambiwa hizo silaha ni nani alikuwa akiwapa hao makomando wa kikosi cha vip protection squard. Nani hasa mmiliki wa hizo silaha za Luger 9mm pistols aliyesajiliwa na kadhalika. Hivyo vuta subira uhondo utajulikana taratibu.
Vuta subira. Umuhimu wake utauona muda utakapofika. Bado mashaidi 20 upande wa serikali. Mambo ya ku connect dots ni wachache tunayoyaweza ila hairuhusiwi kujadili maswala ambayo yako mahakamani.
Hakuna mashshidi 20 labda wakawaokoteze kina Mwijaku sasa huko mtaani maana si mama Mbege wala wenzake waliokuja na ushahidi wenye mashiko. Naona wanasutana tu sasa