Kesi ya Mbowe: Usalama wa Diary ya Msemwa unahakikiwa vipi?

Sasa mawakili wachache wasiozidi 20 wafanye nini au wangefanya nini kuhakikisha dayari inakuwa salama?
Hawa mawakili wakati mwingine wanatwishwa mzigo mzito kana kwamba wao ndio wanapaswa kuwa wakombozi wa nchi hii.

Tuelewane mkuu.

Hatuna lawama zozote kwa Mawakili wetu. Aya ya kwanza kabisa kwenye uzi ambatanishwa huu iko wazi:

Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Bure kwa Mawakili Wasomi - Utetezi

Hata hivyo kama wadau kubadilishana mawazo ni mambo ya afya tu.

Ninakazia:

1. Hatuwezi kuwa na utu kwao kama wao hawana kwetu.

2. Hatuwezi kuwaamini wao kwa maana wamedhihirisha kuwa hawaaminiki.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Mahakama imegeuka ukumbi wa sinema maana jaji na mawakili wa serikali wanacheza scene moja
 
Sio rahisi hivyo.
Utaratibu wa kuikagua hiyo simu ungeweza kuhitaji watu wengine zaidi na kuchukua hata zaidi ya wiki moja jambo ambalo ingekuwa ni kupoteza muda tu. Mawakili wamekuwa strategic kutotaka hili suala kuchukua muda adimu wa kesi yao.

Mkuu niweke extracts hii:



Kesi ya Mbowe: Tujipange zaidi kwenye kuuweka Uongo Peupe

Detention register hatukuikataa kwa Adamoo kwa kudhani Jaji atakuwa fair na sisi tuokoe muda kwani tuna hoja zaidi.

Angalia hizi pia:





Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Bure kwa Mawakili Wasomi - Utetezi

Ni mawazo tu - hatupashwi kuwa na haraka tena. We have to be thorough.
 
Sasa mawakili wachache wasiozidi 20 wafanye nini au wangefanya nini kuhakikisha dayari inakuwa salama?
Hawa mawakili wakati mwingine wanatwishwa mzigo mzito kana kwamba wao ndio wanapaswa kuwa wakombozi wa nchi hii.
Hii issue mbona simple sana, hapahitajiki nguvu za winchi kumsukumua jaji afanye kazi yao, ni suala la yeye kuangalia sheria na taratibu za kutimiza majukumu yake vinasemaje amalize hii vurugu, kinyume na hapo ijulikane wazi, hawa majaji wasiojielewa ndio chanzo cha kuhatarisha amani ya taifa letu.
 
Kilichofanyika pale ni kupunguzwa kwa uzito wa ushahidi kwa kuonesha mashaka.
Pili kwa ujumla wake inatilia shaka ukweli wa timu nzima ya walalamikaji (jamhuri) katika kuthibitisha bila shaka yoyote na kwa nia njema tuhuma dhidi ya washitakiwa.
 
Hii kesi automically inekuwa kesi ya kuangalia mapungufu ya katiba ya sasa na sheria mbalimbali kitu ambacho hakikutegmewa kabisa kwa upande wa polisi kuonekana mapungufu mengi ya kisheria, kesi hii inaenda kuleta mabadiliko makubwa katika utendaji wa Taasisi nyingi. Kesi imetoa mafunzo mengi sana katika jamii
 
Nakuunga mkono 100%. Iwe polisi, iwe mahakama lazima watarudi nyuma labda wawe vichwa ngumu.
 
Hili ni jambo la makusudi kabisa upande wa utetezi. Watajumuisha wasiwasi wao kuhusu diary hii kama walivofanya kwenye documents ileeee!!

Wanapaswa kujenga shaka! Hii ni moja ya mashaka!! Nisichoelewa ni kwanini shahidi alikuwa anaandika/kusoma wakati akiongizwa na upande wake - angeandika wakati wa cross examination ingeeleweka!!
 
Kesi ya nyani kapewa ngedere, kama MUNGU aliamua kumdondosha FARAO kwa mapigo 10, basi katika hili Mungu yupo, ni suala la muda tu.
 
Hivi Kibatala aliposema 'UTU' alikuwa na maana gani?
Huu uko wa shetani Lusifer kweli wanahitaji utu?
Sikupenda kabisa kutumia neno hili kwa huu ukoo uliobeba laana!
 
Hivi Kibatala aliposema 'UTU' alikuwa na maana gani?
Huu uko wa shetani Lusifer kweli wanahitaji utu?
Sikupenda kabisa kutumia neno hili kwa huu ukoo uliobeba laana!

Mkuu unasomeka. Ila inasemekana yataka ushupavu wa kutosha kuyatamka hayo kama alivyofanya Kibatala kuweza kumtuliza na kumkamua Simba maziwa.

Kumbuka lengo ni kujenga mashaka.

Shahidi wala mawakili wake hawakukanusha kuwa ana mengine mifukoni 😁😁.

Hiiiiii bagosha!
 
Ishabadilishwa tayari...Eti Mbowe gaidi, wapuuzi mbwa hawa
 
Ila hawa jamaa ni Wapuuzi mno
 
Diary waliikagua baada ya jaji kutoka, wasingeweza kuondoka bila kuikagua.

BTW hawakutaka kukaza sana maana japo ni kosa kukamatwa na kibomu lkn its just a minor thing.

Diary haikuwa imekaguliwa
 
nimeambiwa pages zote zilikaguliwa ndiyo ikakabidhiwa kwa karani.

Kama ulivyoona diary haikuwa imekaguliwa na kwa hakika iliyopo sasa yawezekana kabisa siyo, achilia mbali kuwa ukaguzi wake hauridhishi.
 
Kama ulivyoona diary haikuwa imekaguliwa na kwa hakika iliyopo sasa yawezekana kabisa siyo, achilia mbali kuwa ukaguzi wake hauridhishi.
diary ilikaguliwa kwa idadi ya pages that day, na leo wamezisoma pages husika, kati yake kumekutwa pages 3 zina Maswali na majibu kuhusu kesi hii.
Ni wazi mawakili wa serikali wamemuandikia maswali na majibu shahidi ndiyomaana wanakua wakali Mtobsya anapojaribu kutaka kuingia in datail mbele ya mahakama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…