Kesi ya Mbowe: Wake wapewe pesa na mali za waume zao

Kesi ya Mbowe: Wake wapewe pesa na mali za waume zao

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Mashahidi wa mwisho walikuwa wake wa watuhumiwa, kubwa lililoonekana kwenye kesi ni polisi kuchukua pesa na vitu ambavyo havihusiani na kesi kwani havikuwasilishwa mahakamani kama ushahidi.
Maadam wake wa washitakiwa wamefahamika ingekuwa jambo jema mahakama iamuru wakina mama hao ambao nawaona kwa sasa ni kama wajane wapewe pesa zilizochukuliwa toka kwa waume zao ili ziwasaidie kimaisha.

Nawasilisha.
 
Pesa wameshakwapua hao wakirudisha hapo ni kesi kwao itabidi wauchune tuu kama hawajui kitu hapo hata hiyo habari ya kuvunja nyumba kwa Adamoo wanaweza kumruka hata Mkuu wa Polisi Chalinze kuwa hawakwenda na ishu hiyo ni yake...
 
Pesa wameshakwapua hao wakirudisha hapo ni kesi kwao itabidi wauchune tuu kama hawajui kitu hapo hata hiyo habari ya kuvunja nyumba kwa Adamoo wanaweza kumruka hata Mkuu wa Polisi Chalinze kuwa hawakwenda na ishu hiyo ni yake...
Hivi karibuni kuna mama mmoja mfanyabiashara huko maeneo ya Tegeta nadhani alilalamika kuwa walichukua mgodoro yake ya biashara, alipoambiwa akayachukue alipewa magodoro chakavu yaliyotumika. Gari likiwekwa yadi yao litatoka na magurudumu chakavu na betri iliyochoka.
 
Hili likesi nalo DPP alifute tu, halina maana wala maslahi yeyote kwa Taifa kwa sasa! Kama ni mambo ya katiba mpya yanahusika basi wakae chini na bwana Mwamba waongee ni jinsi gani linaweza likashughulikiwa hilo bila kuligawa taifa or kuleta vilio na manung'uniko kwa wengine..
 
Hili likesi nalo DPP alifute tu, halina maana wala maslahi yeyote kwa Taifa kwa sasa! Kama ni mambo ya katiba mpya yanahusika basi wakae chini na bwana Mwamba waongee ni jinsi gani linaweza likashughulikiwa hilo bila kuligawa taifa or kuleta vilio na manung'uniko kwa wengine..
DAI la Katiba mpya linaletaje vilio na manung'uniko kwa wengine? Ni kwa CCM na wachumia tumbo kama "katelephone" na "lion cha mwene"? Maana hao ndio miongoni mwa wasiotaka kabisa kusikia habari za Katiba mpya.
 
Hili likesi nalo DPP alifute tu, halina maana wala maslahi yeyote kwa Taifa kwa sasa! Kama ni mambo ya katiba mpya yanahusika basi wakae chini na bwana Mwamba waongee ni jinsi gani linaweza likashughulikiwa hilo bila kuligawa taifa or kuleta vilio na manung'uniko kwa wengine..
Si miongoni wa mliotoa hukumu kabla ya kesi kuwa ni gaidi na hakubambikiwa pamoja na wengine,halafu unasema unaipenda Tanzania.Ipi?
 
Hili likesi nalo DPP alifute tu, halina maana wala maslahi yeyote kwa Taifa kwa sasa! Kama ni mambo ya katiba mpya yanahusika basi wakae chini na bwana Mwamba waongee ni jinsi gani linaweza likashughulikiwa hilo bila kuligawa taifa or kuleta vilio na manung'uniko kwa wengine..
Taifa halijajigawa
 
Mashahidi wa mwisho walikuwa wake wa watuhumiwa, kubwa lililoonekana kwenye kesi ni polisi kuchukua pesa na vitu ambavyo havihusiani na kesi kwani havikuwasilishwa mahakamani kama ushahidi. Maadam wake wa washitakiwa wamefahamika ingekuwa jamno jema mahakama iamuru wakina mama hao ambao nawaona kwa sasa ni kama wajane wapewe pesa zilizochukuliwa toka kwa waume zao ili ziwasaidie kimaisha.
Nawasilisha.
Pesa ni kitu kingine kwa Polisi wetu na viongozi wetu hawa huwa wanachanganyikiwa.
 
Back
Top Bottom