wafuasi wa Mbowe acheni kuwakashifu na kujenga chuki na askari wetu.
bila askari msinge kuwa mnalala na kuamka salama, mnatembea kutafuta riziki kwa uhuru bila bughudhiwa ni kwa sababu ya askari wetu.
Heshimuni askari wetu, acheni kuwakejeli na kuwadhihaki.
bila askari msinge kuwa mnalala na kuamka salama, mnatembea kutafuta riziki kwa uhuru bila bughudhiwa ni kwa sababu ya askari wetu.
Heshimuni askari wetu, acheni kuwakejeli na kuwadhihaki.