Kesi ya Mbowe: Wake wapewe pesa na mali za waume zao

Kesi ya Mbowe: Wake wapewe pesa na mali za waume zao

Hili likesi nalo DPP alifute tu, halina maana wala maslahi yeyote kwa Taifa kwa sasa! Kama ni mambo ya katiba mpya yanahusika basi wakae chini na bwana Mwamba waongee ni jinsi gani linaweza likashughulikiwa hilo bila kuligawa taifa or kuleta vilio na manung'uniko kwa wengine..
Asante kama umeliona hilo. Mama walimtisha kwamba Ukiacha harakati za katina utaondoka wewe. Mama ni kama yuko blackmailed.
 
DAI la Katiba mpya linaletaje vilio na manung'uniko kwa wengine? Ni kwa CCM na wachumia tumbo kama "katelephone" na "lion cha mwene"? Maana hao ndio miongoni mwa wasiotaka kabisa kusikia habari za Katiba mpya.
Kuikubali katiba mpya ni susaidoo.
 
Nina hakika kuwa mbowe hajawi kuwatafuta wake za hao makomando wake ili kuwatunza chochote kitu ..alikuwa busy na makongamano huku familia ikiadhirika vibaya ktk kipindi chote..
 
elvischirwa

Ni ukweli usiopingika. Walinzi wetu wa Raia na mali zao, wamegeuka genge la uporaji na rushwa tupu....suala lolote likifika huko kama huna pesa utapata shida sana...maadili ya kazi yao nyeti ni zero.

Mwl Nyerere aliwahi kusema, " Haki hainunuliwi, haki inauzwa Sh ngapi?" Ni vyema tukakumbushana haya maneno kuntu ya Baba wa Taifa.
 
Si miongoni wa mliotoa hukumu kabla ya kesi kuwa ni gaidi na hakubambikiwa pamoja na wengine,halafu unasema unaipenda Tanzania.Ipi?
Kati wa watu nawakubali TZ bwana Mwamba yupo, mengine huwa ni mabishano ya kisiasa tu!! Ni kama ambavyo kuna wapinzani wanamkubali Samia moyoni ila hadharani wanaongea shit
 
Asante kama umeliona hilo. Mama walimtisha kwamba Ukiacha harakati za katina utaondoka wewe. Mama ni kama yuko blackmailed.
Miezi hii 6 kadhihirisha yupo strong na anaweza kuongoza nchi, kayagusa makundi yote muhimu ya nchi negatively, kelele zimepigwa sana na kaweza kusimama imara!! Kama alivyosema alikuwa anawasoma watu hii miezi 6 ya kwanza, nadhani ni wakati muafaka sasa kuimplement yale anayoamini, mojawapo ni kufuta makesi ya hovyo aliyoyarithi kutoka kwa Bwana Yule..
 
Hivi karibuni kuna mama mmoja mfanyabiashara huko maeneo ya Tegeta nadhani alilalamika kuwa walichukua mgodoro yake ya biashara, alipoambiwa akayachukue alipewa magodoro chakavu yaliyotumika. Gari likiwekwa yadi yao litatoka na magurudumu chakavu na betri iliyochoka.
Si wanao ma-vehicle inspector
Rahisi sana
 
Pesa itokanayo na zao la uhalifu huwa hairudishwi bali inataifishwa.
bado kesi inaendelea.......
safari bado ndefu sana..........
 
Miezi hii 6 kadhihirisha yupo strong na anaweza kuongoza nchi, kayagusa makundi yote muhimu ya nchi negatively, kelele zimepigwa sana na kaweza kusimama imara!! Kama alivyosema alikuwa anawasoma watu hii miezi 6 ya kwanza, nadhani ni wakati muafaka sasa kuimplement yale anayoamini, mojawapo ni kufuta makesi ya hovyo aliyoyarithi kutoka kwa Bwana Yule..
Hawezi kesha onja asali sasa anachonga mzinga, dini ikae pembeni kwanza.
 
Hawezi kesha onja asali sasa anachonga mzinga, dini ikae pembeni kwanza.
Asali ipi mkuu? Kwenye utawala wake hamna kesi yeyote mpya ya uonevu aliyoianzisha yeye kama yeye, na mambo yanaenda poa tu!! Hayo makesi mengi yanayoendelea sasa siyo yake, ni wakati muafaka sasa wa kuifuta na hii kesi inayoleta kelele nyingi nchini!! Mbowe kaanza harakati za kisiasa 1990's mwanzoni kabisa, kipindi hicho chote hajafanya ugaidi, aje afanye 2020?? Ni kesi ya hovyo na ifutwe
 
Hii imeonyesha wazi kabisa kwenye kamata kamata wananchi wanadhalilishwa na wanapoteza mali zao nyingi sana, ila hawana pa kusemea - ukisema unabadilishiwa mashitaka ili ukome.

Sidhani kama kuna Police anaruhusiwa kuvunja mlango ili anisachi wakati mimi sipo kwangu - hii si HAKI kabisa.
 
Asali ipi mkuu? Kwenye utawala wake hamna kesi yeyote mpya ya uonevu aliyoianzisha yeye kama yeye, na mambo yanaenda poa tu!! Hayo makesi mengi yanayoendelea sasa siyo yake, ni wakati muafaka sasa wa kuifuta na hii kesi inayoleta kelele nyingi nchini!! Mbowe kaanza harakati za kisiasa 1990's mwanzoni kabisa, kipindi hicho chote hajafanya ugaidi, aje afanye 2020?? Ni kesi ya hovyo na ifutwe
Hivi hua unazisikia kwa undani kauli za Sirro, anakauli za kujikweza zenye ubabe na upotoshaji, wale vijana 500 wa Moshi ni kelele za raia wema ziliwanusuru vinginevyo walitaka wawaunganishe na ugaidi walipodai wanapewa mafunzo yasiyojulikana! Kwanini Moshi, kwa sababu kesi ya Mbowe ilianzia huko.
 
Hivi hua unazisikia kwa undani kauli za Sirro, anakauli za kujikweza zenye ubabe na upotoshaji, wale vijana 500 wa Moshi ni kelele za raia wema ziliwanusuru vinginevyo walitaka wawaunganishe na ugaidi walipodai wanapewa mafunzo yasiyojulikana! Kwanini Moshi, kwa sababu kesi ya Mbowe ilianzia huko.
Hahaha, ni kweli Sirro sometimes ana kauli tata sana
 
Taifa halijajigawa
Anazungumzia baada ya hukumu ambapo upande mmoja unaweza ukapata ushindi kwa hisani ya jaji.
Tumeshuhudia upande wa mashitaka wakifanya mzaha kwenye maswali wakijua hisani itapstikana na hao wengine wataambiwa kama hamridhiki kateni rufaa, na ndicho kimewahi kutokea huko nyuma ambapo Mbowe alifungwa lakini mwisho wa siku mahakama ikamuachia na kusema alifungwa kimakosa!
 
Kingai aneuchuna tu utafikiri hakukwapua pesa za makomandoo
th

Kingai huyo hapo; sura kama PaKa
 
th

Kingai huyo hapo; sura kama PaKa
Kumbe naye anamlinzi binafsi! Askari analindwa na askari! Nilidhani askari anatakiwa amlinde raia. Sasa ukipeleka askari kumi kwenye uwanja wa mapambano itabidi upeleke na askari kumi wa kuwalinda!
 
Itabidi ifunguliwe kesi nyingine kwa ajili hiyo, mahakama haiwezi kukupa ambacho hukuiomba.
Hapa ndo polisi wataelewa uzuri na ubaya wa kufanya kazi kwa kufuata ama kutofuata sheria...

Utaratibu wa polisi kuingia kwa mtu kwenda kumsachi uwekwa kisheria kuwasaidia wao polisi wasije kujikuta ktk matatizo kama haya...

Kama mwenye nyumba hayupo kwa sababu maalumu na hakuna uwezekano wa kumpata na sababu ya kusachi ni urgent, basi upo utaratibu maalumu pia wa polisi kuisachi nyumba ya namna hiyo ambao ni kwa kibali cha mahakama pekee...

Lakini ni ajabu kuwa polisi wetu hupuuza kila kitu [taratibu na sheria] na kutekeleza majukumu yao kwa fikra za vichwani mwao tu...

Sasa kutakuwa na ajabu gani iwapo mwenye nyumba [ADAMOO & MKEWE] waliyoingia kuisachi pasipo mwenyewe kuwepo wakitoa madai ya kuibiwa vitu vingine zaidi ya hati ya nyumba/kiwanja na kadi ya Pikipiki...?

Kiukweli itakuwa hakuna ajabu na polisi aliyehusika atalazimika kurudisha vitu hivyo na penalty ya kisheria juu yake...!
 
Back
Top Bottom