elvischirwa
Polisi wetu linapokuja swala la pesa am sorry to say wanakuwa hawana tofauti na upigaji mwingine
Kingai aneuchuna tu utafikiri hakukwapua pesa za makomandoo
Tanzania hatuna jeshi lapolisi. Hili ni genge la Ziro na wezi wenzake. Halafu, wanatumika vibaya na masisiemelvischirwa
Umesahau hati ya kiwanja na kadi ya pikipiki mali za Adamoo na mkewe. Sijui hata walivipeleka wapi hivyo vitu?!
We jinga kweli,yaani polisi wanaiba mali za raia unataka tukae kimya?wafuasi wa Mbowe acheni kuwakashifu na kujenga chuki na askari wetu.
bila askari msinge kuwa mnalala na kuamka salama, mnatembea kutafuta riziki kwa uhuru bila bughudhiwa ni kwa sababu ya askari wetu.
Heshimuni askari wetu.
Hawa watu walikwapua nyama Buguruni na ushahidi wakaficha ngumu sana kuwaaminiWe jinga kweli,yaani polisi wanaiba mali za raia unataka tukae kimya?
Upumbavu na uchama unakupofusha.
Mpaka siku yamkute mamaako ndiyo utajua kutetea haki.
Aliwanunulia kiti........ njiani maana wangekuwa hawajala mpaka kufika kwenye hiyo safari walioianzaKingai aneuchuna tu utafikiri hakukwapua pesa za makomandoo
Miss Rayol Tour akisikia mambo ya katiba mpya anakimbilia kwenye agenda ya kuonewa kwa wanawake katika uongozi.Hili likesi nalo DPP alifute tu, halina maana wala maslahi yeyote kwa Taifa kwa sasa! Kama ni mambo ya katiba mpya yanahusika basi wakae chini na bwana Mwamba waongee ni jinsi gani linaweza likashughulikiwa hilo bila kuligawa taifa or kuleta vilio na manung'uniko kwa wengine..
Kwani Wewe uliwatafuta?!Nina hakika kuwa mbowe hajawi kuwatafuta wake za hao makomando wake ili kuwatunza chochote kitu ..alikuwa busy na makongamano huku familia ikiadhirika vibaya ktk kipindi chote..
Hii kesi ya magodoro sio Tegeta ni huko MeraraniHivi karibuni kuna mama mmoja mfanyabiashara huko maeneo ya Tegeta nadhani alilalamika kuwa walichukua mgodoro yake ya biashara
Zile simu za Zitto kabwe walishazirudishaelvischirwa
Polisi wetu linapokuja swala la pesa am sorry to say wanakuwa hawana tofauti na upigaji mwingine
Kingai aneuchuna tu utafikiri hakukwapua pesa za makomandoo
Maeneo mengi hayajawahi kumuona askari, na wakimuona mtaa mzima hutoka kumuangalia nani huyo kapotea njia, wanajilinda wenyewe hata hao askari wakipigiwa simu hawaji ng'o.wafuasi wa Mbowe acheni kuwakashifu na kujenga chuki na askari wetu.
bila askari msinge kuwa mnalala na kuamka salama, mnatembea kutafuta riziki kwa uhuru bila bughudhiwa ni kwa sababu ya askari wetu.
Heshimuni askari wetu, acheni kuwakejeli na kuwadhihaki.