William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Ukweli mchungu NI kuwa toka mama arudi ameingia kwenye dira za kimataifa za diplomasia. Ameenda ughaibuni na amekuja na Zawadi kibao.
Inchi inarudi kwenye furaha. Mama anajaribu kuonesha kuwa nchi inarudi kwenye utawala wa sheria. Tena Sheria zinazotenda haki. Sio Sheria hizi za juzi juzi za mitandao zilizolalamikiwa ndio ziondoke na mwanasiasa mashuhuri itaonesha wazi kuwa ilipangwa. Mmsaidie kwenye Hilo. Kupitia mahakama, Mandela alifungwa. Nyerere kwenye harakati alifungwa, Mugabe alifungwa lkn haki ilikuja kupatikana.
Tukifosi ushaidi finyu hukumu yetu kesho itabaki kuwa kumbukumbu kubwa duniani. Leo mahakamani dunia nzima ipo kufatilia kesi ya Mbowe kupitia mabalozi wao. Siku ya hukumu nakala za hukumu hiyo, ushaidi na kilakitu vitachukuliwa na kuchambuliwa dunia nzima. Kupitia hukumu hiyo dunia itajua Ubora wa mahakama zetu.
Mi si mwanasheria lkn mh!
1. kwa kiongozi "jambazi" aliyetaka kudhuliwa(kwa mujibu wa kibatala).
2. Kwa ushaidi wa kubambikia watu kesi kwa mashaidi muhimu
3. Kwa maelezo ya kudhuru viongozi(wengi) Ila mpaka leo anayetajwa NI kiongozi 1.
4. Kwa ushaidi wa maneno ya wasiri. Kwanini wasiri wasije wenyewe waelezee Hali alisi.
5. Kwa sprey isiyokuwepo.
6. Kwa vilipuzi pisto 1 na risasi 3.
Njooni na ushaidi mzito Mbowe asitoboe. Muwe siliasi. Msitupeleke vikwazoni Kama Zimbabwe.
Inchi inarudi kwenye furaha. Mama anajaribu kuonesha kuwa nchi inarudi kwenye utawala wa sheria. Tena Sheria zinazotenda haki. Sio Sheria hizi za juzi juzi za mitandao zilizolalamikiwa ndio ziondoke na mwanasiasa mashuhuri itaonesha wazi kuwa ilipangwa. Mmsaidie kwenye Hilo. Kupitia mahakama, Mandela alifungwa. Nyerere kwenye harakati alifungwa, Mugabe alifungwa lkn haki ilikuja kupatikana.
Tukifosi ushaidi finyu hukumu yetu kesho itabaki kuwa kumbukumbu kubwa duniani. Leo mahakamani dunia nzima ipo kufatilia kesi ya Mbowe kupitia mabalozi wao. Siku ya hukumu nakala za hukumu hiyo, ushaidi na kilakitu vitachukuliwa na kuchambuliwa dunia nzima. Kupitia hukumu hiyo dunia itajua Ubora wa mahakama zetu.
Mi si mwanasheria lkn mh!
1. kwa kiongozi "jambazi" aliyetaka kudhuliwa(kwa mujibu wa kibatala).
2. Kwa ushaidi wa kubambikia watu kesi kwa mashaidi muhimu
3. Kwa maelezo ya kudhuru viongozi(wengi) Ila mpaka leo anayetajwa NI kiongozi 1.
4. Kwa ushaidi wa maneno ya wasiri. Kwanini wasiri wasije wenyewe waelezee Hali alisi.
5. Kwa sprey isiyokuwepo.
6. Kwa vilipuzi pisto 1 na risasi 3.
Njooni na ushaidi mzito Mbowe asitoboe. Muwe siliasi. Msitupeleke vikwazoni Kama Zimbabwe.