Naomba kutangaza mgongano wa maslahi. Mimi ni miongoni mwa watu wakubwa tu serikalini. Katika kesi hii kuna moja ya kielelezo (exhibit) jaji huyu alikikataa kwa madai kuwa shahidi alikipata kwa nia za panya kutoka kwenye masjala ya mahakama.
Haijulikani mpaka leo ni nani alikiiba toka kwenye masjala au maktaba ya mahakama na kumpa yule shahidi. Baada ya kukikataa kile kielelezo hakimu huyu ametishiwa kupoteza kazi muda wowote au la ameambiwa atahamishiwa Tandahimba.
Sielewi Tandahimba kuna nini kibaya cha kumtishia mtu kupelekwa huko. Taratibu za mahakama zipo wazi kwamba ama umekitumia au hujakitumia huruhusiwi kupanda kizimbani na kitu chochote zaidi ya nyaraka za mahakama unazozikuta pale ikiwemo vitabu vya dini.
Huyu shahidi aliingia na majibu ya maswali atakayoulizwa na upande wa mawakili wa serikali. Huyo Jaji yupo upande wa mwajiri wake ambaye ni serikali. Hapo alipo anajua alivyokoromewa kwa kukataa kile kielelezo.
Mwanzo hakujua kuwa hii kesi ina maslahi ya serikali kuhalalisha kufungwa kwa Mbowe. Ndiyo maana Mama alitamka wazi kabisa kwamba Mbowe ni gaidi na washirika wake walishafungwa kitambo. Kwamba alikuwa anasubiriwa yeye tu.
Haijulikani mpaka leo ni nani alikiiba toka kwenye masjala au maktaba ya mahakama na kumpa yule shahidi. Baada ya kukikataa kile kielelezo hakimu huyu ametishiwa kupoteza kazi muda wowote au la ameambiwa atahamishiwa Tandahimba.
Sielewi Tandahimba kuna nini kibaya cha kumtishia mtu kupelekwa huko. Taratibu za mahakama zipo wazi kwamba ama umekitumia au hujakitumia huruhusiwi kupanda kizimbani na kitu chochote zaidi ya nyaraka za mahakama unazozikuta pale ikiwemo vitabu vya dini.
Huyu shahidi aliingia na majibu ya maswali atakayoulizwa na upande wa mawakili wa serikali. Huyo Jaji yupo upande wa mwajiri wake ambaye ni serikali. Hapo alipo anajua alivyokoromewa kwa kukataa kile kielelezo.
Mwanzo hakujua kuwa hii kesi ina maslahi ya serikali kuhalalisha kufungwa kwa Mbowe. Ndiyo maana Mama alitamka wazi kabisa kwamba Mbowe ni gaidi na washirika wake walishafungwa kitambo. Kwamba alikuwa anasubiriwa yeye tu.